Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Ni hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.

Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.

Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji

1623733992181.png

 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
 
Hahahaaa hili ni janga kubwa kipindi hiki nadhan na wadada nao wamejua labda wanaume tunataka ngono sanaaa sikuiz so nao wanaona wasijetoa utamu afu wakaachwa hivihiv so wanaona nao wafaidike kidogo mapemzi yamekuwa kama mchezo wa kuviziana hivi.
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
kuanzia leo ntakua natuma maneno tu maana pesa zinakukera.
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Hahaha sasa huyo sii anauejua majukumu yake.
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Pesa imeongea na ndio maana ukaelewa kuwa hajatongoza, kitendo cha kuipokea tu kinahakikisha kuwa wewe umeafikiana na nia yake njema ya kukujali na upendo anaokuonesha...

Anyways ni tabia ambayo KE wengi mmeijenga sikuhizi kuona kwamba mtu anayekupa pesa ndio mwenye mapenzi ila anayetoa maneno matupu ni tapeli tu.
 
Back
Top Bottom