Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii

Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀

JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀

MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?

AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?

Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Hiyo inaitwa "marking your territory".

Anaweka alama sehemu zake.

Hata mbwa huwa wanakojolea sehemu zao wakirimudi waweze kuzijua kwa harufu.

It's an old animal instinct.
 
Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii

Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀

JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀

MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?

AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?

Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Hahah hilo jibu ulilopewa kuwa kuna shida ulichukua uamuzi gani mkuu?
 
Kama alikuja usiku mashambilizi yanaanz Asubuhi..
Anachemsha mayai sita ili mle matatu Kama una unga wa ngano anapika chapati za kumimina hapo ataweka mayai sukari cjui unga hapo bado ajacheza na hizo NIDO sa nne nne hv anaruka na ka juisi mchana ndo kabisaaa

Yaani anahakikisha Kila kinacholika anakigusa afu hapo anavoondoka anabeba Sweta lako afu una mpa na nauli

WANAWAKE WANA ROHO NGUMU SANA
 
Kama alikuja usiku mashambilizi yanaanz Asubuhi..
Anachemsha mayai sita ili mle matatu Kama una unga wa ngano anapika chapati za kumimina hapo ataweka mayai sukari cjui unga hapo bado ajacheza na hizo NIDO sa nne nne hv anaruka na ka juisi mchana ndo kabisaaa

Yaani anahakikisha Kila kinacholika anakigusa afu hapo anavoondoka anabeba Sweta lako afu una mpa na nauli

WANAWAKE WANA ROHO NGUMU SANA
Anabeba sweta lako ana acha kanga yake
 
Back
Top Bottom