Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni siri ya kambi hii 😁Au mnaacha kutukomoa, au tuwakumbuke?
Tuma kwa namba hii 😁😀nikupe mji gani utoboe siri
..Utafata mwenyewe aisee .. si tulisema viwepo lakin au? HahNot makusudically.. ni bahati mbaya.
Tunaviacha huko huko ama unaniletea kesho 😂
Au basi..Utafata mwenyewe aisee .. si tulisema viwepo lakin au? Hah
Ndo mkija mtumie NIDO mdogo mdogo kibaharia chai ya rangi mnaita ya kitu,NIDo mpaka nyingine mnalamba🤣🤣🤣🤣 ladies nyie,Kwa kuwa ma 🌺 yetu poa tuMams wako mlafi
Afu hajui kununua NIDO
Yan Nido gram 900 inauzwa tu elf 29-33k na unatumia muda mrefu.
Sio suala la Ladies.. tutoe hapo.
Hiyo inaitwa "marking your territory".Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii
Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀
JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀
MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?
AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?
Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Naunga mkono hoja yaani mtu akikaa siku 2 anakula bajet yako ya wiki nzimaNaongezea hapo ladies mkikuta blue band, tray za mayai na makopo ya maziwa hasa NIDO Kwa nini mnatumia Kwa fujo kama kesho hamji tena?
🤣🤣🤣🤣Kuna na ile ya mchuchumio akasema amavaa akiwa anabadilisha bulb, wanaumeee🙌
🤣🤣🤣🤣 hatareee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini lakini?
Umenikumbusha hiyo moja nilisoma mahali...Demu alikuta highheels kwa jamaa...
Akamuulizia ni za nani? Jamaa akamjibu huwa anavaa wakati anaanika nguo sababu kamba ziko juu sana[emoji1]
Awe maalumu asiwe maalum kitendo cha kupelek madem tofauti tofauti ghetoni mwako si jambo jema kua na mtu wako mmoja tu anayekuja hapo ila sio ufanye danguro.Kabla ya kutoa povu umeelewa topic? Huyo maalum anayekuja kuna vitu kaacha au?
Hahah hilo jibu ulilopewa kuwa kuna shida ulichukua uamuzi gani mkuu?Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii
Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀
JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀
MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?
AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?
Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Wengine wanabeba kabisa[emoji38][emoji38]Naongezea hapo ladies mkikuta blue band, tray za mayai na makopo ya maziwa hasa NIDO Kwa nini mnatumia Kwa fujo kama kesho hamji tena?
[emoji23][emoji23][emoji23]Yule dada alikuja na picha mbili za ukutani moja alibandika sebulen nyingine akaweka chumbani. Ya sebuleni ilikuwa ya fremu ya chumbani ilikua ukutani yaani ukiibandua inachanika.
Jirani sio vizuri kutoa siri za watu 😂Tunaweka ulinzi shirikishi!
Kuna mmoja aliacha khanga kwa mwanaume, sasa demu wake na jamaa alivyokuja akamuuliza hii khanga ya nani?
Jamaa akajibu, “Ya kwangu navaa nikiwa nasikiliza taarabu” 🤣🤣🤣
Anabeba sweta lako ana acha kanga yakeKama alikuja usiku mashambilizi yanaanz Asubuhi..
Anachemsha mayai sita ili mle matatu Kama una unga wa ngano anapika chapati za kumimina hapo ataweka mayai sukari cjui unga hapo bado ajacheza na hizo NIDO sa nne nne hv anaruka na ka juisi mchana ndo kabisaaa
Yaani anahakikisha Kila kinacholika anakigusa afu hapo anavoondoka anabeba Sweta lako afu una mpa na nauli
WANAWAKE WANA ROHO NGUMU SANA