Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Eti ananuka ninii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo unataka tukubaliane na fikra zako, wapo mabinti walioolewa na 20 au chini ya hapo na wanaume wanaowazidi, miaka 10-20 na wakadumu,,
Ijapokuwa umri huo 20-25, ni umri sumbufu kwa wanawake maana anakuwa hot hivyo rika lake wwtamsumbua lakini watamchezea tu na kumdampo hapo, akiongeza miaka 2-3 mingine akili inamkaa ndo atajua mwanaume wa kweli yukoje na Yuko wapi,, Sasa Basi Kama mwanamke unamzidi sana na unamuhitaji kwq mahusiano marefu,, mtafute akiwa kwenye late 20's mpk mid 30's, hawezi kukuletea drama za kijinga, sababu kashavuka umri wenye ujinga mwingi,
Binafsi yangu kitu sikiwezi Ni kuwa na mwanaume mdogo naelingana nae au namzidi sababu sijui kumfundisha mwanaume kabisa na sio asili ya mwanamke kumfundisha mwanaume,, pia sie akili yetu ktk mahusiano iko mbele kww miaka 10 zaidi ya wanaume, Yani binti mwenye miaka 25 anaweza kuhimili akili ya mwanaume wa miaka 40 na zaidi tofautu na mwanaume mwenye miaka 25 bado ananuka hata pumbu,,
Fambaf zako[emoji16]