Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Msemo halisi ni kuwa pepo yako iko chini ya unyayo wa mama yako....
Pepo Iko chini ya nyayo ya mama Yako ,ukiolewa mumeo Ndo Pepo yako,mwanaume Ndo Pepo yake Iko chini ya mama yake ht akioa
Kuna kisa Cha yule mwanamke aliyebashiriwa Pepo Kwa kumtii mumewe,alimzuia asitoke ndani mpk arudi safari,akauguliwa na baba yake ,akaambiwa hakwenda maana mmewe hakuwepo,mpk amekufa baba hakwenda Kwa kua Hana ruhusa ya mmewe,Baadae akarudi akasafiri tena akapewa tena wosia ule ule ,akauguliwa na mama ake mpk akafa hakwenda Kwa kua hana ruhusa ya mmewe....
Yule mwanamke alibashiriwa Pepo Kwa utiii wa kumtii mume...
Nadhani km sijakosea ntasahihishwa na wajuzi zaidi
 
Hahahahaha Kelsea jamani
Femenist mwengine in the making huyo. Sii unaona maswali ya kuhuni hanipi heshima kama kidume yote hasyo kwa sababu nilimtongoza akanipiga kibuti
 
Umemaliza kila kitu dada, shida ni kwamba wanawake tunataka kubeba majukumu ya wanaume, hasa hili jukumu la KUPENDA, mwanamke wake mi UTII, Kupenda sio Kazi yetu....kabla sijalijua hili niliteseka sana...
Mwanamke ukijifanya unampenda mwanaume utataka umcontrol, umpe pesa...which ni makosa makubwa sana (it is like you womanize him) we mtii mumeo, hakikisha unamtunza kuanzia jicho lake (ujiweke vizuri wewe na nyumba yako), pua yake (unukie vizuri), tumbo lake(mpikie chakula kizuri), mwili wake (mavazi yake yawe masafi) na masikio yake (asisikie maneno ya kero kutoka kwako)...
Hapo mwanaume asipokupenda huyo mgonjwa.
Tatizo Sisi tunajifanya haki Sawa, tunataka na Sisi tupende mwisho tunaishia kugombania password za simu...
NB. Hakuna usawa Kati ya mwanamke na mwanaume na hautokuja kutokea.... ukiona unatoka nyumbani huombi ruhusa Bali unatoa taarifa na ukirudi mume hata hakukosi Kosi na kibao, ujue hapo huna ndoa, tafuta shughuli nyingine ya kufanya
 
Heshima hailazimishwi, muhimu ni mawasiliano na upendo, ukiona baba anatoka analala nje siku mbili bila maelezo ya kutosha au mwanamke haagi kwa sababu jana mme hukuaga, hakuna ndoa hapo mnapoteza muda tuu na tafuta pa kutokea kabla hamjauana
Ongeza sautiiiiiii
 
Hapo sawaaa umeelewekaa.
 
Kwahyo ni Kuachanaa tyuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…