Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hii kasi ya 50/50 haitowaacha salama athari yake ni kubwa sana miaka ijayo hasa kwenye ndoa. uhamasishaji na makongamano yamekuwa mengi sana nowdays na vinavyofundishwa huko kwa asilimia kubwa ni upotoshaji mtupu.Ndo shida inapoanzia tukipata vihela baasi tunajiona tuko juu
Hamna nisipo kucheki yani wewe hata usumbuki kabisa
Pepo Iko chini ya nyayo ya mama Yako ,ukiolewa mumeo Ndo Pepo yako,mwanaume Ndo Pepo yake Iko chini ya mama yake ht akioaMsemo halisi ni kuwa pepo yako iko chini ya unyayo wa mama yako....
Nisamehe bure rafiki.Hamna nisipo kucheki yani wewe hata usumbuki kabisa
Ok
Femenist mwengine in the making huyo. Sii unaona maswali ya kuhuni hanipi heshima kama kidume yote hasyo kwa sababu nilimtongoza akanipiga kibutiHahahahaha Kelsea jamani
Njisikia furaha sana Kwa Mwanaume kama Mimi mwenye chembechembe za ukoloni kuona kwamba Kuna Wanawake wananielewa nachotaka hata bila kuwaambia 😆😆😆
Barikiwa sana ,,nilitakiwa Leo jioni nikupe Mtoko wa nguvu !!.
Ahsante mama D kabisaa yaani kizazi chetu ht dini hatufati
Lakini wameusomaHuu uzi wataupita kama hawauoni, [emoji28]View attachment 2571915
Tufanye kweli 🥰Carlos The Jackal😍🙏
KabisaTufanye kweli 🥰
Feminist tena? Wapi nimekukosea heshima na wewe ebu amka huko usingiziniFemenist mwengine in the making huyo. Sii unaona maswali ya kuhuni hanipi heshima kama kidume yote hasyo kwa sababu nilimtongoza akanipiga kibuti
Ongeza sautiiiiiiiHeshima hailazimishwi, muhimu ni mawasiliano na upendo, ukiona baba anatoka analala nje siku mbili bila maelezo ya kutosha au mwanamke haagi kwa sababu jana mme hukuaga, hakuna ndoa hapo mnapoteza muda tuu na tafuta pa kutokea kabla hamjauana
Ndo ivo.Mmekuelewa dear!!!ila kujiua kaàhhh hapana!!
Excuse me
Hapo sawaaa umeelewekaa.Siwezi kufa kisa mwanaume, aisee na ugali ulivyomtamu huu [emoji16][emoji16]. Kwani si ndo mana Kuna neno "kuachana" my dear?. Na kama ulisoma vizuri, nimesema kwamba "ukiona manyanyaso na mateso yamezidi ni haki yako kujisogeza pembeni na kulea watoto wako,ni marufuku kuvumilia manyanyaso na mateso. Ni sawa kuachia ngazi lakini si sawa kutenda Yale ambayo yeye anatenda ukifikiri kwamba unamkomoa mwanaume kumbe unajiharibia mwenyewe sifa yako mtaani. Kwa sababu mwanaume ni malaya na ww unageuka malaya, utakufa kwa magonjwa. Ilhali una uwezo wa kusogea pembeni ukafanya mambo yako. Kamwe usivumilie ukatili katika ndoa, imekushinda, basi sogea pembeni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman dear umechachukaaa vibayaaa.Kungwi mchepukoo,kungwi kkaachika kwenye ndoa [emoji38][emoji38][emoji38]kwa kosa la kufumaniwa
Unategemea Nini!???mfyuuuu
Kwahyo ni Kuachanaa tyuuh.Haisaidii kitu, iwe kwa mwanaume au mwanamke. Mimi leo mwanamke akinisaliti na mimi nikalipiza kwanjia yeyote ile hata kwakusaliti, kisasi hakitanibadilishia taswira iliyojijenga kuwa mwanamke amenifanyia dharau mno. Yaani hata nilale na wanawake wa dunia nzima hiyo trauma haitanitoka kamwe maana ni point of failure ambayo kila nikiikumbuka sitaweza ibadilisha. Hivyo hata kumuangalia au kumsogelea sitaweza tena maana atakuwa alama ya udhaifu wangu. Kilichobora kwangu ni kukaa naye mbali sana ambapo sitamsikia wala kumuona, hivyo nitajitenga naye. Labda kwanyie wenzetu ni tofauti ila kisasi huangamiza roho, ni kama tone moja la mvua kwenye jangwa kubwa. Itakuuwa baadaye kwa guilt.
Mambo mrembo. Nimeamka nakuna pumbuz tuu hapa sina pakwenda hii wikendFeminist tena? Wapi nimekukosea heshima na wewe ebu amka huko usingizini
Sent using Jamii Forums mobile app