Siwezi kufa kisa mwanaume, aisee na ugali ulivyomtamu huu [emoji16][emoji16]. Kwani si ndo mana Kuna neno "kuachana" my dear?. Na kama ulisoma vizuri, nimesema kwamba "ukiona manyanyaso na mateso yamezidi ni haki yako kujisogeza pembeni na kulea watoto wako,ni marufuku kuvumilia manyanyaso na mateso. Ni sawa kuachia ngazi lakini si sawa kutenda Yale ambayo yeye anatenda ukifikiri kwamba unamkomoa mwanaume kumbe unajiharibia mwenyewe sifa yako mtaani. Kwa sababu mwanaume ni malaya na ww unageuka malaya, utakufa kwa magonjwa. Ilhali una uwezo wa kusogea pembeni ukafanya mambo yako. Kamwe usivumilie ukatili katika ndoa, imekushinda, basi sogea pembeni.