Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Na wewe acha kuombaomba uchi. Hamna mwanamke atakaye kuomba hela kama hujamuomba uchi

Kwan wenyewe hawana hisia? raha tunapata wanaume tu? Aisee wapunguze kutuuzia ndo mana wana nyanyaswa sanaa
 
Pointless.

Kwani nani anatongoza dunia ya sasa wanawake wako kimaslahi
 
Wanawake tunahitaji sana financial freedom. Kwa namna moja au nyingine Comment yako imemtukana hadi mama yako mzazi
 
Clue mojawapo ya ukosefu wa akili,,ni kutushushia thread yenye uhakika wa 0.05%
 
Umeandika ushubwadu.

Wala hauna Hela yoyote unajimwambafai tu
 
Habari,

Hakuna mwanaume anayeweza kumaliza shida zote katika ukoo wako.

Wanawake wa sasa wanapenda sana hela.

Hapohapo kijana wa watu anayejitafuta bado wanataka mara ajenge kwao mwanamke,sijui amsaidie baba mkwe hela ya nini ,mara mdogo wangu kaishiwa ada.

Kiukweli hakuna mwanaume wa kumaliza shida zako zote.

Jiongezee muache usumbufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…