hawa wanajuana cv zao πππEehe kumekuchaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukipenda mdada jiandae kuhudumia hila mm naangalia nimekupata mazingira gani kama bar uwezi kupata ata 50000 na kutokana na bar hazi yake lakini mdada unakutana nae seaclif uyo unajua huwezi kusumbuana nae sana kukuomba hela nadra sana mpaka unaona aibu unatuma tu ata ka laki anunue mboga lakini mdada umekutana nae kitambaa cheupe 20000 inatosha sanaWatu nawaambia humu kama wanaona wanasumbuliwa wadada wanataka hela si waachane nao? Hawataki ila kutwa kufungua manyuzi humu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sielewi ni ushenzi gani ume-comment hapo.Upumbavu gani unaongea hapa
π€£π€£π€£π€£π€π½π€π½Mtu unapitia mengi ila kulia lia mtandaoni for unnecessary reasons haipendezi.Na tuna lipa na kodi lakini bado tunapangiwa siku za kwenda na hatuwazi tuna endelea kuhudumia kelele za nini?
Waandalien notes labda wataelewa.Na tuna lipa na kodi lakini bado tunapangiwa siku za kwenda na hatuwazi tuna endelea kuhudumia kelele za nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1675][emoji1675]Mtu unapitia mengi ila kulia lia mtandaoni for unnecessary reasons haipendezi.
Tushawazoea humu [emoji23][emoji23]Wanawake hawapumui humu [emoji16][emoji16][emoji16]
Dah tuwapumzishe kdogo
Huwa wanakuomba kwa Kukulazimisha?Hello.
Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?
Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.
Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.
Mbadilike.
Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa wewe unaweza kumuelewesha kijana wa buza akakuelewa?
Wao washazoea kitonga
Ndo umuumbue mwenzio...!!,[emoji23][emoji23][emoji23] nawaambiaga watu humu sio pa kujishaua kuna watu wanatujua nje ya hapa ooh wengi hawaelewag. Kuna watu wanajishaua humu jaman ukija jua maisha yao huko nje unabaki mdomo wazi hahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa mtu akishoboka mpe invoice tu asilete mazoea ya kijinga π
Kama mnataka financial freedom ndo mpambane to have enough income to cover your living expenses and of your beloved ones.Wanawake tunahitaji sana financial freedom. Kwa namna moja au nyingine Comment yako imemtukana hadi mama yako mzazi
Hapa ndo utajua wengi ni wavulana tu ππ hawaji ng'ooNyie watu naombeni hela
Ee watu wakichefukwa wanakuumbua kukukomesha.Ndo umuumbue mwenzio...!!