Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Hata asipojaa ufukara lini uliwahi kuwezesha hao wasio mafukara ilihali bado hupambana wenyewe kujipatia rizki kuliko kuwashwa washwa na maisha ya Watu?
Sindano imechoma mfupa, punguzeni presha kwa wengine basi kuombaomba misaada kwa kuelemewa na familia ambazo hamuwezi kuzimudu, tumia vizuri hilo fuvu.
 
China pekee ina 1.3 bilioni ndiyo nchi inayokuwa kwa kasi kiuchumi kutokana na ukuwaji wa soko/watu.

Nyie hao wazungu mwaka 1974 England walikuwa zaidi ya miaka 80 leo Tanzania mupo 60 mil mnajiona mpo wengi.

Mmetawaliwa na wazungu
 
ah ah job hapa tuna mpemba ajira ya kawaida tu kaweka wake wanne..wakati mi huyo mmoja tu shida.....hawa wadau wana maamuzi magumu...utasikia wanamstiri mwanamke
Mimi naona kama mtu unajimudu hali zaa hata mia mbili, lakini siyo kazi yako kufyatua na kuwa mzigo kwa ndugu na kwa jamii, maana haya mambo huwa yanaleta hadi migogoro kwenye familia, mtu ananuna kisa kuna ndugu kakataa kumsaidia ada ya mtoto wake.
 
ah ah job hapa tuna mpemba ajira ya kawaida tu kaweka wake wanne..wakati mi huyo mmoja tu shida.....hawa wadau wana maamuzi magumu...utasikia wanamstiri mwanamke
Hawaogopi hao
 
Dar ina zaidi ya watu Milioni 5
Pemba ina watu chini ya laki 7
Point yako ni nini ? Kama ungetumia akili hata usingeandika ulichoandika. Ovu linalofanyika katik watu wachache ni rahis kuonekana kuliko maovu meng yanayofanywa palipo na watu weng, ni vgm kuyafichua.
 
mwaka 2014 mwezi wa 12 nilifanikiwa kua mgumu..ni bonge ya expirience...nashauri kila anayeweza aende hata kuja jilaumu
 

Attachments

  • 417065_3148265959298_1610340338_n.jpg
    109.9 KB · Views: 4
  • 423745_3148260239155_89959155_n (1).jpg
    64.7 KB · Views: 3
Vipi kuhusu mwamko wa elimu kwa wanawake wa maeneo hayo ?
Mwanamke asiyejua kalenda yake ya hedhi unapata picha moja kwa moja kuwa hana elimu,mtoto anazaa au kuolewa na miaka 16 moja kwa moja mwamko wa elimu hakuna.
Hakuna mwanamke msomi atakubali kuzaa kila mwaka
 
Kusema kweli ni kuomba Mungu kama kakujalia chakula unakula na wanao ushukuru niliwahi kufika shinyanga vijijini kipindi Cha kiangazi kwenye Kijiji Fulani nikaona nikashuhudia watt walivyochoka nikajua ni kwann watt wengi kule wanakataa kwenda kidato Cha kwanza..... Boda boda miaka 24 wake wawili na ana wtt SITA.
 
Sherehee n watu.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Njia za uzazi wampango zina mtu na mtu, unaweza ukatumia zikakupa athar ukajutia ila zikikuendea sawa unatumia tu, lakini mkuu wengine hawataki wanakwambia tu aka tumeambiwa tujaze dunia na kila mwana huja na rizikie
Ambao angalau tunajua A B C, tukomae na Kalenda ingawa inahitaji Uzalendo.

Hawa wengine tuwaelimishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…