Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Thank you,Mmoja wapo ni mimi Tajiri mwenye Watoto wengi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you,Mmoja wapo ni mimi Tajiri mwenye Watoto wengi sana.
Watu kama nyie ndo kutwa kusumbua ndugu kuomba misaada mara watoto hawajala, mara hawana ada........tumia vizuri hilo fuvu.Ukishindwa kuzaa,unatulia wanazaa wengine,msiwe na wivu,weng wenu mnajikuta uzaz umegoma ndo mkawaonea wivu wengne
Sindano imechoma mfupa, punguzeni presha kwa wengine basi kuombaomba misaada kwa kuelemewa na familia ambazo hamuwezi kuzimudu, tumia vizuri hilo fuvu.Hata asipojaa ufukara lini uliwahi kuwezesha hao wasio mafukara ilihali bado hupambana wenyewe kujipatia rizki kuliko kuwashwa washwa na maisha ya Watu?
ah ah job hapa tuna mpemba ajira ya kawaida tu kaweka wake wanne..wakati mi huyo mmoja tu shida.....hawa wadau wana maamuzi magumu...utasikia wanamstiri mwanamkeAhaaaaa
Ila Pemba nao wametisha ila uzuri
Huko mbeya nadhani vyakula ni vingi
Mimi naona kama mtu unajimudu hali zaa hata mia mbili, lakini siyo kazi yako kufyatua na kuwa mzigo kwa ndugu na kwa jamii, maana haya mambo huwa yanaleta hadi migogoro kwenye familia, mtu ananuna kisa kuna ndugu kakataa kumsaidia ada ya mtoto wake.ah ah job hapa tuna mpemba ajira ya kawaida tu kaweka wake wanne..wakati mi huyo mmoja tu shida.....hawa wadau wana maamuzi magumu...utasikia wanamstiri mwanamke
Inabidi na hao wanawake wawe wachakarikaji ili mpemba awe anajazia bajeti tu.Hawaogopi hao
Ukoo au kabila lako nan anawazidi na huo uzazi wampango wako!?Hao ni bilionaire au millionaire?
Point yako ni nini ? Kama ungetumia akili hata usingeandika ulichoandika. Ovu linalofanyika katik watu wachache ni rahis kuonekana kuliko maovu meng yanayofanywa palipo na watu weng, ni vgm kuyafichua.Dar ina zaidi ya watu Milioni 5
Pemba ina watu chini ya laki 7
Una uhakika?Utapiamlo haupo Tanzania
Manaake ukoo wenu ndio wajinga , wewe na huo uzazi wa mpango umekuwa hata na access ya 500mil.We ni mjinga
Mwanamke asiyejua kalenda yake ya hedhi unapata picha moja kwa moja kuwa hana elimu,mtoto anazaa au kuolewa na miaka 16 moja kwa moja mwamko wa elimu hakuna.Vipi kuhusu mwamko wa elimu kwa wanawake wa maeneo hayo ?
Sherehee n watu.Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Ambao angalau tunajua A B C, tukomae na Kalenda ingawa inahitaji Uzalendo.Njia za uzazi wampango zina mtu na mtu, unaweza ukatumia zikakupa athar ukajutia ila zikikuendea sawa unatumia tu, lakini mkuu wengine hawataki wanakwambia tu aka tumeambiwa tujaze dunia na kila mwana huja na rizikie