Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Bado mnajiuliza ni kwa nini babu zetu walikua wanaoa mke zaidi ya mmoja, majibu yake ndio hayo, huyo aliyefikisha 40 unampandisha cheo, then unamtafutia msaidizi mwenye 30 years, mmoja anakuwa manager mwingine CEO familia inastawi vyema kabisa
Sasa kama mwenye 40yrs amekushinda sasa huyo mdogo utamfanyia nini akuelewe!
 
Kwani lazima mpige story za zamani?
 
Sizani kama Mme anatimiza wajibu wake mke mwenye utimamu aanze tu kupiga makelele tu! Baadhi ya wanaume hawasimami kwenye nafasi zao mke akiongea anaonekana anampigia kelele .
 
Sasa mwanaume ukishazeeka kumzidi mke wako yeye ananza kumtafuta kijana wakutimiza mahitaji, Aisee mimi Naona Ni vyema Kuoana Mliolanga Hamna Tabu, Kwan Unataka ufanye mapenz mpaka Ukiwa na miaka 70 au? kuna mambo mengine
Waache ndiyo wale Mme umri umeenda na magonjwa juu maana ujana wake kachapa sana, umri ndiyo huo, mke damu inachemka ndiyo ile peshen anaenda nunua kijana ili atimiziwe haja zake
 
Umeona eee mke kila siku analia na kuumizwa halafu hapo anategemea aendelee kuwa msichana
 
Amina Chifupa enzi zile na kipindi chake cha African Bambataa Clouds FM kuanzia saa moja usiku nlikuwa sibanduki kwenye redio.
 
Usimsingizie Vunja Bei, Huyo ni wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…