Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Anazeeka, wakati wakielekea uzeeni pamoja ni vyema msaidizi akapatikana, miili ya wanawake ukuaji wao unajulikana, binti wa miaka 20 sikuhizi ukimuona unaweza kumsalimia
Kakwambia nani? Mbona wakishatangulia mke huku nyuma anapata bby kabisa mpaka unajiuliza mbona wakati mmewe yupo alikuwa kazeeka? Kumbe Mme alikuwa anamfuja tu sasa kampata wakumtuliza


Ndiyo maana mke akiachika, mtaraka hapendi aolewe tena anajua akipendeza ataonekana yeye ndiye alikuwa anamtesa [emoji3][emoji3]
 
Kakwambia nani? Mbona wakkshangulia mke huku nyuma anapata bby kabisa mpaka unajiuliza mbona wakati mmewe yupo alikuwa kazeeka? Kumbe Mme alikuwa anamfuja tu sasa kampata wakumtuliza


Ndiyo maana mke akiachika, mtaraka hapendi aolewe tena anajua akipendeza ataonekana yeye ndiye alikuwa anamtesa [emoji3][emoji3]
Basi huyo hakuwa mke alikuwa kahaba aliyejificha kwenye ndoa
 
Watu tunaoa wanawake tumewazidi nusu ya umri tulionao au robo tatu na hao wanawake wanakua haraka na kuzeeka sawa na waume zao tu. Unakuta jibaba lina miaka arobaini linaoa mdada wa miaka ishirini na maisha yanaenda freshi tu. Habari za kufa mapema si za kufikiria kwani hakuna mtu ajuaye lini atakufa
 
Halafu wanaume kwanini mnajifanyaga hamzeeki? Hamzeeki wapi? Tuwaambie au tuwaache! 😆

Binafsi age 2-5, huko kwingine siwezi, aanze kunipigia story za Y2K wakati mi Y2K sikuwepo! 😂 wacha nipambane na kijana wangu, anisuguane mpaka itoke cheche!

Siku akianza kuchoka na mimi naitafuta Menopause.
 
Watu tunaoa wanawake tumewazidi nusu ya umri tulionao au robo tatu na hao wanawake wanakua haraka na kuzeeka sawa na waume zao tu. Unakuta jibaba lina miaka arobaini linaoa mdada wa miaka ishirini na maisha yanaenda freshi tu. Habari za kufa mapema si za kufikiria kwani hakuna mtu ajuaye lini atakufa
Are you comfortable with her?? Hilo ndio swali la msingi.
 
Ama kweli maisha ni kama mapumbu ya mbuzi. Yanaenda mbele na kurudi nyuma
Enzi hizo Clouds hawakuwa na TV, walikuwa na Radio FM tuuu. TV channels zilikuwa ni TVT, C2C, ITV , etc kila mara unatoka nje kwenda kutingisha antena ili chenga ziondoke na kuwe na clarity.
 
Ama kweli maisha ni kama mapumbu ya mbuzi. Yanaenda mbele na kurudi nyuma
Enzi hizo Clouds hawakuwa na TV, walikuwa na Radio FM tuuu. TV channels zilikuwa ni TVT, C2C, ITV , etc kila mara unatoka nje kwenda kutingisha antena ili chenga ziondoke na kuwe na clarity.
 
Are you comfortable with her?? Hilo ndio swali la msingi.
No matter she is too young to me, regardless comfortable, kwa umri huo mkubwa unawezaje kuoa mwanamke ambaye naye ana umri mkubwa hata uzazi umefika mwisho hazai tena nawe unataka upate watoto angalau mmoja wa kuhitimisha uzee?. Kuoa mzee mwenzako maana yake hutaki kupata mtoto
 
Back
Top Bottom