Wanawake wengi bila urembo hawavutii! Sio wazuri

Yan mwanamke ni lazima uwe mzuri nashangaa sana mwanamke unaanzaje kuwa mbaya,
kwangu mm demu ukiwa na taco kubwa halafu sura mbovu aisee ww pita kushoto tuu tusijuane, lkn taco la kawaida halafu sura mzuri aisee ntakupendaje mie
 
Wabongo ndo zaidi wanaitaji sopsop sana
 
Unajaribu kutuaminisha Ndevu ni make up????
ndevu sio make up bali ni natural, na pengine ukavutiwa nazo kwasababu zinaonesha masculinity features kwa wanaume
 
Yan mwanamke ni lazima uwe mzuri nashangaa sana mwanamke unaanzaje kuwa mbaya,
kwangu mm demu ukiwa na taco kubwa halafu sura mbovu aisee ww pita kushoto tuu tusijuane, lkn taco la kawaida halafu sura mzuri aisee ntakupendaje mie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani ni shidaa akiwa na sura mbovu uwezekano wa kuendelea nae baada ya kula ni mdogoo sanaa
 
Labda wako ,mi mbona navutia
 
Lakini Mheshimiwa jokate! hayooo yooote hana!! maskini yeye nivilevile tu!! anapendeza natural!
 
Haya mambo ya kufosi nimeyaona sku hizi ... Media zimefanya kazi nzuri Sana kubadilisha akili za dada zetu ili biashara zao ziende ila majuto huja baada ya umri fulani kufika na kujua wangependwa bila hayo maurembo.
#USIFATE HY MANENO
 
Watafiti wanasema tukitoa makeup na urembo wanaotumia wanawake, basi wanaume wengi ni wazuri wa sura kuliko wanawake
Dah! Umenikumbusha Mfalme Zumaridi, week mbili tu za kukaa selo yaani hata Mimi pamoja na weusi wangu ukituweka pamoja mi bado niko bomba sana kuliko Zumaridi! Ila akiwa kinisani utazani Malaika kwa jinsi anavyo waka!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya kufosi nimeyaona sku hizi ... Media zimefanya kazi nzuri Sana kubadilisha akili za dada zetu ili biashara zao ziende ila majuto huja baada ya umri fulani kufika na kujua wangependwa bila hayo maurembo.
#USIFATE HY MANENO
Hivi ni kweli hampendi wanawake tujirembe kabisa jaman ama ni kamba tu hizi mnatupiga hapa?
 
[emoji23][emoji23]
 
Hivi ni kweli hampendi wanawake tujirembe kabisa jaman ama ni kamba tu hizi mnatupiga hapa?
Wamekuaminisha bila urembo huwezi pendwa.
Urembo ni condition tu siku ukikukataa ina maana soko limededi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…