๐MUNGU niepushe na wakaka wenye tabia kama za wajamii forum๐
,๐๐
Sina hofu sababu sababu I know my worth and i have set firm boundaries ata akija wa ovyo nafasi hawezi ata kupata chembeThen why una mashaka eneo la mahusiano sasa? Why uhofie kuvutia watu wa hovyo kama wewe uko poa?
Ona sasa ๐๐๐๐๐ una affiliate na mashetani halafu unataka upendo na msaada wa MUNGU.A she toxic demon
Vingi ulivyolist hapa ni tabia za kujiendekeza na zinaweza kuratibika kwa mtu ambaye ameshafikia level ya maturity na utu uzima kitabia.Kilamtu anapitia kadri Mungu alivomkadiria mtoammada upo sahihi wengi wanajutia ndoa kuliko wanaofurahia
Kuna mood swings๐
But Kuishi na mwanamke pia ni kazi sana Jamani
Kuna mood swings๐
Kuna nature ya kuongea ongea ๐
Kuna kutumia hisia kuliko akili ๐ nature yetu ni usumbufu ukiona mwanaume kaweza kumfanya mkewe akawa mwanamke wa kueleweka Mpe heshima yake ๐คฃ๐คฃ
Nkihitaji msaada zaidi ntabadilisha ila saizi sitaki๐๐Ona sasa ๐๐๐๐๐ una affiliate na mashetani halafu unataka upendo na msaada wa MUNGU.
Mzee amesema ni demonic woman so still unaongea alichokijibu.๐๐๐Ni Ex wa Adam,Adam alikua na mwanamke Anaitwa Lilith before Eva
So unajua nini kumhusu huyo Adam's ex- woman hadi ukarithi jina lake? Unaweza mwita mtoto wako jina la mtu muovu unayemfahamu?Adam's ex wife
Huyo single mama yupi huyo?? Huo ni wivu wake yaan nione wivu ow mtu na mahusiano yake sijui anayopitia huko bado nimuonee wivuSingle women hawapendi kuona wanawake wengine wanakuwa na mahusiano sababu wanajua kuwa hiyo hali inaweza waua kwa upweke ndio maana wanapambana kutwa kucha kuharibu mitazamo ya wanawake wenzao na kutoa ushauri wa kupotosha wanawake.
Haya sawa. Uwe unazingatia kalenda na saa visikuache kwenye mataa. Maana mimi kama mweka hazina wa department ya psychology napenda kukwambia kuwa too much standards in you life can create a tall Wall that blocks you from seeing and getting to your future. Be careful.Sina hofu sababu sababu I know my worth and i have set firm boundaries ata akija wa ovyo nafasi hawezi ata kupata chembe
So unajua nini kumhusu huyo Adam's ex- woman hadi ukarithi jina lake? Unaweza mwita mtoto wako jina la mtu muovu unayemfahamu?
You meAn I should lower my standards so I can get to.my future?Haya sawa. Uwe unazingatia kalenda na saa visikuache kwenye mataa. Maana mimi kama mweka hazina wa department ya psychology napenda kukwambia kuwa too much standards in you life can create a tall Wall that blocks you from seeing and getting to your future. Be careful.
Sawa. Ukiwa unamchezea MUNGU utacheka sana mbingu zikianza kukuchezea wewe unaanza kulia. Haya endelea kucheza maisha ni comedy kwako.Nkihitaji msaada zaidi ntabadilisha ila saizi sitaki๐๐
MWandiko wake unaonyesha alivyo na wasiwasi๐Hapa hakuna presha yeyote Lillian
Utakuwa mwanamke wa kwanza kutokuwa na wivu na wanawake wenzako ambao wapo katika mahusiano wakati wewe upo bila mahusiano.Huyo single mama yupi huyo?? Huo ni wivu wake yaan nione wivu ow mtu na mahusiano yake sijui anayopitia huko bado nimuonee wivu
Nonsense ....
Aisee, Kuna wanaune humu JF ni kuomba tu kutokutana nao ever in real life.You meAn I should lower my standards so I can get to.my future?
Una uhakika na hiki ulichosema au unataka kujifunza kuwa smart?๐คJina ni jina sidhani kama Lina madhara yoyote
Haha hii ndio Jf๐๐Uzi wameitwa wanawake wamejazana wanaume wanachamba
Mweh๐
Sawa๐Endelea kutunza upwiru sasa