Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

Haya malizia story usiendele kuivuuuuta otherwise hamishia HM au Lile la mahusiano
 
Inaendelea..
Ndugu zangu tatizo sio mimi tatizo umeme,tanesco wanazingua sana alafu wanataka iwe nchi ya viwanda.

Sawa twende pamoja.
Niliishia hapa👇

Basi toka aje Dar hakuna hata ndugu yake aliyekuja kukucheki,na kumpa hongera kwa kupata mtoto nikasema ishalaah yote DUA basi mzee Baba nikaendelea kumlea vyema bila hata ya tabu yeyote.
Basi,akaendelea na vituko vyake nikawa na mvumilia na kipindi chote hicho sijawahi mpiga hata Kofi moja,maana nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke maana nilishampigaga mdogo wangu wa kike mpaka nikamzimisha kosa aliniwekea mchanga kwenye pilau nikampa bonge la kofi akazimia,basi kwanzia siku hiyo nilijiapia sitampiga mwanamke yeyote yule,mapembe ya kamuota akawa ananidharau na kufosi nimpige,kweli nikawa najikaza sana kutompiga nikitoka kazini anasachi pochi nakuchukua pesa zangu nikimuuliza ananiambia hajui aliyechukia,aisee hakuna kitu kinakera kama unamjua mwinzi wako ila hauna cha kumfanya.

Mwanamke akawa ananifikisha serikali za mtaa eti simuhudumii,aisee naangaika kila siku yeye na mtoto wale ,wavae vizuri,ila nachokifanya Kwake hakina maana yeyote kila akitoka kwa Dada ake kaa ukijua siku hiyo utatukanwa mpaka huchoke,akinitukana huwa najiondokea zangu maana uvumilivu unaweza kuisha nikajikuta jela bure.

Nikajua ni mimi pekee ananifanyia hivyo,kumbe hata majirani anagombana nao,nikawa kila nyumba nayo panga napewa notice ya kuama,nikawa baada ya miezi 2 au 3 naandikiwa notice,ela ikawa haikai tena.

Mtoto alipofikisha miaka 2 akabeba mimba nyingine,basi baada ya kubeba huo ujauzito akawa hafanyi kazi yeyote,anashinda ndani na kufungulia Radio kwa saut ya juu nyumba niliiona chungu.

Hivi mwanamke anakwambia kaka zangu ni police,mwingine ni mpiga karate siku nikiwaambie waje utakoma,ni kweli wapo hivyo ila sio kitu cha kufanya kutoni heshimu,wanawake wa kinyakyusa wababe sana,mwanamke anakudindishia kama anakuweza daah.

Kama Leo mtu akiniambia anataka kuoa,aisee namwambia ajipange,asikurupuke wanawake wa sasa hivi sio wa kuoa ni wakuwazalisha tu,Lea mtoto wako ila kuishi Naye ndani ni kifo unakitafuta,kwanza hawana akili ya maisha wanachokijua ni kujichubua na kufuga makope,shida hawajui,akipata shida kidogo anakimbilia kwao.
Daah tuyaache hayo..

Kuna siku nilikuwa na ugeni wangu,nikamwachia pesa ya kupika chakula kinzuri,mzee baba nimeenda kuwafuata wageni wangu ile narudi nao namkuta anakula kuku mnzima na chips huku anacheki season aisee nilichukia ila nikapotezea,nikawachukua wageni wangu tukaenda kula hotelini,ila kaka akaniuliza huyu mwanamke kabila gani nika mwambie mnyakyusa,akaguna nakusema hapo hakuna mwanamke.

Siku nyingine kachukua nguo zangu zote na kuzichoma moto,ile kumuuliza akanijibu kahamua kuzichoma kwani nitamfanyaje??
Unajua kuishi na mwanamke inahitaji uvumilivu sana,nakumbuka babu yangu alishaniambia wanawake akili zao zipo matakoni,wakishakunya mavi zinatoka.na kudumbukia chooni basi ndo maana nawavumilia.

Nikawa mtu wa mawanzo sana,kipato kikapunguwa,nikimwachia ela ya kupika nakuta hajapka,nikatamani kumkimbia na kumbwagia mtoto ila roho ikawa ngumu nikimcheki mtoto alivyofanana nami kila kitu nikashindwa wazeeya.

Mimi ni mpambanaji sana,nikaamua kuanza kuuza kuku wa boiler wa kukaanga,nikawa napiga pesa Mungu sio athumani nimekusanya pesa vinzuri nikanunue kiwanja,kaka yake akapata kesi kubwa, nikaenda kumuwekea dhamana basi ela ndo ikapotea hivyo.

Nikapata kazi ya kukata miwa kiwanda cha sukar ilovo basi niakazama chimbo,kweli nimeenda nimepigika miezi 4 nikapata laki 4,kuna mshikaji wangu akanipigia simu nakuniambia kuna msitu upo Dodoma watu wanachoma mkaa na kuusafirisha zanzibar,biashara inalipa sana basi mzee Baba nikatimba kweli tumechoma awamu ya kwanza imeenda vyema,tukapata pesa kidogo awamu ya pili ndio ilikula kwetu,maana tulipakia mkaa kwenye matenga ya nyanya ,yakakamatwa yote kweli mbuzi ma masikini hazai,tukawekwa kitu cha polisi kwa siku 4 brother akaja akatuwekea dhamana.

Kipindi natoka dar, nilimuachia pesa ya kula sasa ikawa inaisha na dalil za kurud sina,nikamwambia hauze tv akauza kwa mtu laki 4 nikamwambia Anitumie laki 3 akanitumia laki 2 na nusu eti mgawanyo nilishangaa sana TV nmenunua kwa pesa zangu tena kazikuta,Leo hii ananiambia tugawane aisee.

Siku kata tamaa,nikarudi chuga kupumzisha akili kidogo,katika kukaa chuga ikaja wazo lakusafirisha bangi kuzileta dar,basi katika kusikuti nikazama olkokora moja,bangi kutoka inapolimwa mpaka town chuga ni simple sana,ishu ipo kuileta dar,nikawaza nitumie mbinu gani maana nilichukua debe 3 za ganja,nikaona mbinu pekee ya kuchanganya bangi na bidhaa nyingine ili isishutukiwe.

Basi katika kutafakari mbinu pekee,ya kuifanya isinukie kwenye gari nkaona niipige mifuko meupe ya lailon tighit,basi nikaifunga vyema na nikaweka kitungu saumu kilichochomwa jikoni aisee kinanukia hatari,kweli awamu ya kwanza kuleta Dar nikafanikiwa vyema mpaka nashukia pale shekilango hakuna aliyenishitukia hiyo ilikuwa 2019 bado kidogo wife ajifungue mtoto wa 2.

Nashukuru nilifika salama bila kushitukiwa na police yeyote,nikazama chimbo manzese kwa msela angu mmoja anayeuza ganja kama biashara yake,basi zile debe 3 tukazifunga kwa bei ya kila peace moja kwa 500,zikatoa peace 760.

Nikamuelekeza mimi ntachukua 350 kila peace yeye achukue 150,basi akakomaa baada ya week 2 mzigo umekata na watu wanahitaji kwa wingi,tena wameongezeka nawafanya biashara wengine wanataka mzigo.

Kama kuna mtu hajui bangi yana olkokora ngoja niwape mwangaza kidogo muijue vyema,bangi ya olkokora ni safi sana,hata kwa mtu anayevuta kwa siku ya kwanza haimuumizi kifua,tena ni kali sana,alafu inachelewa kutoka kichwani inachukua masaa 4 kutoka,inakufanya unapata hamu ya kula,basi vitu hivyo vimefanya izidi kupendwa na watu wa chuga na tanzania nzima.
Bangi nilinunua 15000 kwa debe 3 kila debe 5000 faida niliyoipata 350000 hebu check ilivyo nafaida ila ina risk ya kukamatwa na kufungwa,nikajiapia kuwa lazima nilete gunia 2 za kilo 50 dar.

Usikosee kwa muendelezo maana mambo ndo yanazidi kuwa hatari.....
🙏

Hili jamaa fala sana, linaleta asali alafu linakunukisha harufu tu, wewe unayejiita nebuchadneza na story yako fake ya kutunga, 😜😜😜😜
Jina lenyewe kitombileee
 
Leta vitu acha mbambamba.
 
Nitaisomabaadae
 
Huna akili dogo unaanza life na chumba cha 35k na huna kitu ndani ni hizo tako tu unazipangishia chumba cha mfanyakazi wa mamlaka kabisa.

Huwezi kujenga kama hutabadili mfumo wako wa matumizi ya pesa na nn kitangulie kwa wakati gani.
 
Huna akili dogo unaanza life na chumba cha 35k na huna kitu ndani ni hizo tako tu unazipangishia chumba cha mfanyakazi wa mamlaka kabisa.

Huwezi kujenga kama hutabadili mfumo wako wa matumizi ya pesa na nn kitangulie kwa wakati gani.
Ila kwa hapa bongo vyumba vipo juu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…