Wapinzani pelekeni hoja nzito kwa wananchi, sio blaa blaa za Bandari

Wapinzani pelekeni hoja nzito kwa wananchi, sio blaa blaa za Bandari

tumia logic, tofauti kuchumbia na ndoa. Huu mkataba tunaouona ni kama uchumbia na kukubaliwa au kukataliwa, lakini kabla ya kufunga ndoa lazima kuna mambo mengine utatakiwa uyatimize kabla na baada ya ndoa. Hivi nyieee!! mnadhani serikali yooooooote, wabunge woooooooote na mwanasheria wao mkuu ni wajinga saaana kiasi hicho?
Bungeni huwa kunapelekwa mikataba au makubaliano? Danganyweni tu na sijui uchumba na ndoa..!!
 
Bungeni huwa kunapeekwa mikataba au makubaliano? Danganyweni tu na sijui uchumba na ndoa..!!
Iliyoandikwa imeandikwa!!! Katiba imetoa mamlaka kwa bunge na wabunge kuamua kwa niaba ya wananchi, kupinga hilo ni kuvunja katiba, na anaevunja katiba ambayo watu wameapa kuilinda lazima aadhibiwe. Hiyo ndio maana ya utawala wa sheria, hakuna kujiropokea tu barabarani. Muulize Mh Job Ndugai kuhusu hili atakwambia kuhusu mkubwa ni nani kati ya Rais, Bunge na Mahakama.
 
Iliyoandikwa imeandikwa!!! Katiba imetoa mamlaka kwa bunge na wabunge kuamua kwa niaba ya wananchi, kupinga hilo ni kuvunja katiba, na anaevunja katiba ambayo watu wameapa kuilinda lazima aadhibiwe. Hiyo ndio maana ya utawala wa sheria, hakuna kujiropokea tu barabarani. Muulize Mh Job Ndugai kuhusu hili atakwambia kuhusu mkubwa ni nani kati ya Rais, Bunge na Mahakama.
Hili swali hujaliona au limekushinda? Bungeni huwa kunapelekwa mikataba au makubaliano?
 
tumia logic, tofauti kuchumbia na ndoa. Huu mkataba tunaouona ni kama uchumbia na kukubaliwa au kukataliwa, lakini kabla ya kufunga ndoa lazima kuna mambo mengine utatakiwa uyatimize kabla na baada ya ndoa. Hivi nyieee!! mnadhani serikali yooooooote, wabunge woooooooote na mwanasheria wao mkuu ni wajinga saaana kiasi hicho?
Swali fikirishi sana !
 
Iliyoandikwa imeandikwa!!! Katiba imetoa mamlaka kwa bunge na wabunge kuamua kwa niaba ya wananchi, kupinga hilo ni kuvunja katiba, na anaevunja katiba ambayo watu wameapa kuilinda lazima aadhibiwe. Hiyo ndio maana ya utawala wa sheria, hakuna kujiropokea tu barabarani. Muulize Mh Job Ndugai kuhusu hili atakwambia kuhusu mkubwa ni nani kati ya Rais, Bunge na Mahakama.
Mkuu wa Nchi = Locuta causa finita ! Kwa kilatini !
 
Hili swali hujaliona au limekushinda? Bungeni huwa kunapelekwa mikataba au makubaliano?
Wacha mahakama itoe tafsiri juu ya hilo. Utawala wa sheria unakataa kujichukulia sheria mkononi ya kutuhumu na kuhukumu mitandaoni. Kusema bandari inaunzwa ni sawa na kujichukulia sheria mkononi kutuhumu na kuhukumu mwenyewe. Kifupi ni uchochezi dhidi ya Rais, serikali na bunge. Kumbuka kuwa kama utafanikiwa kuwachochea sawasawa wananchi wanaweza kuichukia serikali Yao na bunge lao, wanaweza ama kuipundua serikali, au kuharibu mali za watu na umma au kusababisha vifo. Ndio maana nasema Kuna Nia ovu kwenye jambo hili kwa baadhi ya wapingaji.
 
Vyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.

Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.

2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.

3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.

4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.

5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.

6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.

Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.

Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.

Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.

Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu.

Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi vya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.

Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.

Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo.
Kwahiyo kwako wewe suala la bandari ni blaa blaa? Kweli "Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo."
 
Mimi kazi yangu ni ndogo tu, kuwakumbusha kuwa nchi yetu inaongozwa kwa sheria, na sheria yetu kuu ni katiba. Mamlaka, kazi na majukumu ya Rais, serikali, bunge na mahakama yamo kwenye katiba. hakuna uhuru usiokuwa na mipaka na uhuru wako wewe unakomea pale wajibu na mamlaka ya serikali, bunge, mahakama, taasisi na watu wengine unapoanzia. Kuna watanzania wengi wanaopenda bandari yao ikodishwe na kuna watanzania wanaokataa bandari yao isikodishwe, lakini wale wanaopenda bandari yao ikodishwe wameshinda, na hiyo ndio kanuni ya demokrasia, wengi wape, na wachache watasikilizwa tu kule mahakamani, nje ya hapo ni nuisance tu.
Maelezo mengi lakini hujasema kifungu kipi cha Sheria au Katiba kimevunjwa. Usione Serikali imekaa kimya inajua Sheria haipo upande wake kwenye hili suala labda watumie nguvu tu. Na hilo wanaogopa sababu Mama yako anapenda kwenda Ulaya.
 
Maelezo mengi lakini hujasema kifungu kipi cha Sheria au Katiba kimevunjwa. Usione Serikali imekaa kimya inajua Sheria haipo upande wake kwenye hili suala labda watumie nguvu tu. Na hilo wanaogopa sababu Mama yako anapenda kwenda Ulaya.
Mimi ni muumini wa matumizi ya sheria. Nina hate watu kujichukulia sheria mkononi kindezindezi. Mtu anakwenda mbele ya camera na kusema nchi inauzwa!! Toa ushahidi basi Hana!! Ni watanzania wangapi wanaopinga bandari kubinafsishwa hajui, wako wangapi? kimyaa!!!, wamekutuma?
 
Mimi ni muumini wa matumizi ya sheria. Nina hate watu kujichukulia sheria mkononi kindezindezi. Mtu anakwenda mbele ya camera na kusema nchi inauzwa!! Toa ushahidi basi Hana!! Ni watanzania wangapi wanaopinga bandari kubinafsishwa hajui, wako wangapi? kimyaa!!!, wamekutuma?
Kama unaamini Sheria na unaona wanazivunja una jukumu kuwapeleka Mahakamani kama raia mwema wa hili Taifa.
 
Wacha mahakama itoe tafsiri juu ya hilo. Utawala wa sheria unakataa kujichukulia sheria mkononi ya kutuhumu na kuhukumu mitandaoni. Kusema bandari inaunzwa ni sawa na kujichukulia sheria mkononi kutuhumu na kuhukumu mwenyewe. Kifupi ni uchochezi dhidi ya Rais, serikali na bunge. Kumbuka kuwa kama utafanikiwa kuwachochea sawasawa wananchi wanaweza kuichukia serikali Yao na bunge lao, wanaweza ama kuipundua serikali, au kuharibu mali za watu na umma au kusababisha vifo. Ndio maana nasema Kuna Nia ovu kwenye jambo hili kwa baadhi ya wapingaji.
We kavulata unazunguka tu wala hujibu swali..!!
 
Maelezo mengi lakini hujasema kifungu kipi cha Sheria au Katiba kimevunjwa. Usione Serikali imekaa kimya inajua Sheria haipo upande wake kwenye hili suala labda watumie nguvu tu. Na hilo wanaogopa sababu Mama yako anapenda kwenda Ulaya.
Na alama mojawapo ya kujua wanajiona wamekiuka kitu, wamepeleka muswada bungeni ili kuhalalisha wayatakayo
 
Wacha mahakama itoe tafsiri juu ya hilo. Utawala wa sheria unakataa kujichukulia sheria mkononi ya kutuhumu na kuhukumu mitandaoni. Kusema bandari inaunzwa ni sawa na kujichukulia sheria mkononi kutuhumu na kuhukumu mwenyewe. Kifupi ni uchochezi dhidi ya Rais, serikali na bunge. Kumbuka kuwa kama utafanikiwa kuwachochea sawasawa wananchi wanaweza kuichukia serikali Yao na bunge lao, wanaweza ama kuipundua serikali, au kuharibu mali za watu na umma au kusababisha vifo. Ndio maana nasema Kuna Nia ovu kwenye jambo hili kwa baadhi ya wapingaji.
Haya soma katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, ibara ya 63, kifungu cha 3, kifungu kidogo e. Bungeni kunapelekwa mkataba. Hilo neno makubaliano, wewe taja kifungu kiachosema bungeni unaweza kupeleka makubaliano. Kisome hicho kifungu hapo chini;

1689165494413.png

Kwa kifungu hiki, maana yake ule ni mkataba. Mkataba huo kuuita MAKUBALIANO, ni kutafuta unafuu tu wa kulaumiwa kwamba wamefanya makosa makubwa.
 
tumia logic, tofauti kuchumbia na ndoa. Huu mkataba tunaouona ni kama uchumbia na kukubaliwa au kukataliwa, lakini kabla ya kufunga ndoa lazima kuna mambo mengine utatakiwa uyatimize kabla na baada ya ndoa. Hivi nyieee!! mnadhani serikali yooooooote, wabunge woooooooote na mwanasheria wao mkuu ni wajinga saaana kiasi hicho?
1689166020815.png
 
Wala sio wajinga hata kidogo wanajuwa sana watendalo,ndomana waliambizana pale bungeni ataepinga ahame ccm ,nawalishangilia sana bunge zima,, lakini jiulize wewe kazi ya mbunge niipi? nakwanini wabunge wanapingana na wapiga kura wao? Bunge letu lina historia yakuwa upande wa serikali badala yawananchi,,
 
Wala sio wajinga hata kidogo wanajuwa sana watendalo,ndomana waliambizana pale bungeni ataepinga ahame ccm ,nawalishangilia sana bunge zima,, lakini jiulize wewe kazi ya mbunge niipi? nakwanini wabunge wanapingana na wapiga kura wao? Bunge letu lina historia yakuwa upande wa serikali badala yawananchi,,
Alisikika mmoja akisema, wale ni;
1. RUBERSTAMP
2. NDIYOOOO
 
Haya soma katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, ibara ya 63, kifungu cha 3, kifungu kidogo e. Bungeni kunapelekwa mkataba. Hilo neno makubaliano, wewe taja kifungu kiachosema bungeni unaweza kupeleka makubaliano. Kisome hicho kifungu hapo chini;

View attachment 2685847
Kwa kifungu hiki, maana yake ule ni mkataba. Mkataba huo kuuita MAKUBALIANO, ni kutafuta unafuu tu wa kulaumiwa kwamba wamefanya makosa makubwa.
Wewe bilashaka ni msomi, mkataba ni nini? makubaliano ni nini? kuna tofauti gani kati ya mkataba na makubaliano? kuna aina ngapi za mikataba/makubaliano?
 
Wala sio wajinga hata kidogo wanajuwa sana watendalo,ndomana waliambizana pale bungeni ataepinga ahame ccm ,nawalishangilia sana bunge zima,, lakini jiulize wewe kazi ya mbunge niipi? nakwanini wabunge wanapingana na wapiga kura wao? Bunge letu lina historia yakuwa upande wa serikali badala yawananchi,,
Kama wabunge hawana sifa, hadhi na uwezo peleka hilo mahakamani kisha subiri hukumu ya wanasheria wako na mahakama.
 
Back
Top Bottom