Wapinzani pelekeni hoja nzito kwa wananchi, sio blaa blaa za Bandari

Wapinzani pelekeni hoja nzito kwa wananchi, sio blaa blaa za Bandari

Wewe bilashaka ni msomi, mkataba ni nini? makubaliano ni nini? kuna tofauti gani kati ya mkataba na makubaliano? kuna aina ngapi za mikataba/makubaliano?
Mimi kuweza kujibu au kushindwa kujibu maswali haya hakuondoi ukweli kuwa bungeni hakupelekwi makubaliano. Ukishaona mjadala wa namna hii umepelekwa bungeni, ujuwe huo ni mkataba. Nimeshakupa Ibara gani kwenye katiba ya Tanzania inatamka hayo.
 
Mimi kuweza kujibu au kushindwa kujibu maswali haya hakuondoi ukweli kuwa bungeni hakupelekwi makubaliano. Ukishaona mjadala wa namna hii umepelekwa bungeni, ujuwe huo ni mkataba. Nimeshakupa Ibara gani kwenye katiba ya Tanzania inatamka hayo.
Unatia huruma kaka, makubaliano ni mkataba na mkataba ni makubaliano.
 
Vyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.

Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.

2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.

3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.

4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.

5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.

6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.

Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.

Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.

Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.

Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu.

Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi vya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.

Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.

Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo.
huna akili.
 
Wapinzani wa Tanzania hawajiongezi kabisa badala ya kuaddress issues sensitive kama hizi kodi na hali halisi ya uchumi wao wako bize na DP world. Ivi ni kweli hakuna mazuri yatakayoletwa na dp world kwamba yooote ni mabaya kwa taifa?

Upinzani acheni cheap politics....wekeza kwenye kushika dola ili yote mnayoyaona hayafai muyatengue.....sio kutafuta simple majority kwa kupotosh umma.
 
Unatia huruma kaka, makubaliano ni mkataba na mkataba ni makubaliano.
Sasa hapa ndo unazidi kutia huruma. Inakuwaje kama maana yake ndo hiyo mje mseme kuwa ULE SI MKATABA BALI NI MAKUBALIANO? Huoni kuwa mnajikontradikti wenyewe...???
 
Wapinzani wa Tanzania hawajiongezi kabisa badala ya kuaddress issues sensitive kama hizi kodi na hali halisi ya uchumi wao wako bize na DP world. Ivi ni kweli hakuna mazuri yatakayoletwa na dp world kwamba yooote ni mabaya kwa taifa?

Upinzani acheni cheap politics....wekeza kwenye kushika dola ili yote mnayoyaona hayafai muyatengue.....sio kutafuta simple majority kwa kupotosh umma.
Kweli wewe ni Kaka pembe
 
Vyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.

Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.

2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.

3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.

4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.

5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.

6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.

Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.

Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kama mikipewa uongozi wa nchi kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.

Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi wapinzani mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi badala ya kujikita kwenye hoja na mbinu za kuwasaidia watanzania kwenye shida zao za msingi zinazowatafuna. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.

Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu badala ya kuokoteza matukio.

Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi ya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.

Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.

Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo, shida za wananchi zinabakia palepale vilevile hata wakibadilisha vyama tawala na viongozi wakuu. Hii inamaana kuwa tatizo sio katiba zao wala tume zao za UCHAGUZI wala rasilimali wala vyama tawala wala viongozi peke yake, bali tatizo liko nje ya bara la afrika na ndani ya mindsets za watu wetu.
Unafikiri ni kwanini wahindi hawataki kuchangamana na sisi waafrika, wala hawataki kuoana au kuzaa na muafrika. Ni kwasababu hawataki kupata uzao wenye AKILI KIFUU KAMA HII YAKO.

Halafu hayo unayoona hayafanywi na hao wapinzani NI KWANINI USIFANYE WEWE MAANA HUJAZUILIWA KUANZISHA CHAMA AU KUWA MWANAHARAKATI.
NCHI HII INA WAJINGA WENGI SANA, YAANI UNAWALALAMIKIA WATU WASIOKUWA NA DOLA WALA MAMLAKA YOYOTE.
 
Unafikiri ni kwanini wahindi hawataki kuchangamana na sisi waafrika, wala hawataki kuoana au kuzaa na muafrika. Ni kwasababu hawataki kupata uzao wenye AKILI KIFUU KAMA HII YAKO.

Halafu hayo unayoona hayafanywi na hao wapinzani NI KWANINI USIFANYE WEWE MAANA HUJAZUILIWA KUANZISHA CHAMA AU KUWA MWANAHARAKATI.
NCHI HII INA WAJINGA WENGI SANA, YAANI UNAWALALAMIKIA WATU WASIOKUWA NA DOLA WALA MAMLAKA YOYOTE.
Mimi nina akili nyingi kuliko zako, uhakika huo ninao. Matatizo ya Afrika hayatokani na kuwa na vyama tawala vibovu, katiba mbaya au viongozi wabaya bali matatizo yetu kwanza yalisababishwa na babu zetu kwa wakoloni, na pili wakoloni wetu waliondoka kwa mpingo sio kiboyaboya. Viongozi wetu wamebanwa kwenye kona mbaya na wazungu. Lazima wakakope WB, IMF na kwa wakoloni. Masoko hayako hayako wazi kwa watu wote kwa usawa.

Mtu kama Dr. Slaa na wengine ni vibaraka.
 
Mimi nina akili nyingi kuliko zako, uhakika huo ninao. Matatizo ya Afrika hayatokani na kuwa na vyama tawala vibovu, katiba mbaya au viongozi wabaya bali matatizo yetu kwanza yalisababishwa na babu zetu kwa wakoloni, na pili wakoloni wetu waliondoka kwa mpingo sio kiboyaboya. Viongozi wetu wamebanwa kwenye kona mbaya na wazungu. Lazima wakakope WB, IMF na kwa wakoloni. Masoko hayako hayako wazi kwa watu wote kwa usawa.

Mtu kama Dr. Slaa na wengine ni vibaraka.
Rejea katika maharishi ya tafiti zenye kupima IQ ya mtu. Kimsingi tafiti zinakukataa kuwa huwezi kuwa na akili hata za wastani. Mtu yeyote mwenye IQ kubwa hawezi kujisemea au kujiita kuwa ana akili nyingi. Hata tajiri hawezi kusimama kusema ni tajiri.
 
Unafikiri ni kwanini wahindi hawataki kuchangamana na sisi waafrika, wala hawataki kuoana au kuzaa na muafrika. Ni kwasababu hawataki kupata uzao wenye AKILI KIFUU KAMA HII YAKO.

Halafu hayo unayoona hayafanywi na hao wapinzani NI KWANINI USIFANYE WEWE MAANA HUJAZUILIWA KUANZISHA CHAMA AU KUWA MWANAHARAKATI.
NCHI HII INA WAJINGA WENGI SANA, YAANI UNAWALALAMIKIA WATU WASIOKUWA NA DOLA WALA MAMLAKA YOYOTE.
wahindi ni wajinga tu, hata wao kwa wao wanabaguana tu, wanazo high, middle na lower classes (untouchables). Waafrika wana akili nyingi sana, wamekuwa Rais na makamo Rais wa Marekani. Hivyo mfano wako wa kihindi ni wa hovyo
 
Rejea katika maharishi ya tafiti zenye kupima IQ ya mtu. Kimsingi tafiti zinakukataa kuwa huwezi kuwa na akili hata za wastani. Mtu yeyote mwenye IQ kubwa hawezi kujisemea au kujiita kuwa ana akili nyingi. Hata tajiri hawezi kusimama kusema ni tajiri.
kigezo cha kuwa na akili au tajiri sio hicho unachokisema, reasoning capacity yako sio superb
 
Vyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.

Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.

2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.

3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.

4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.

5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.

6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.

Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.

Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kama mikipewa uongozi wa nchi kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.

Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi wapinzani mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi badala ya kujikita kwenye hoja na mbinu za kuwasaidia watanzania kwenye shida zao za msingi zinazowatafuna. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.

Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu badala ya kuokoteza matukio.

Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi ya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.

Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.

Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo, shida za wananchi zinabakia palepale vilevile hata wakibadilisha vyama tawala na viongozi wakuu. Hii inamaana kuwa tatizo sio katiba zao wala tume zao za UCHAGUZI wala rasilimali wala vyama tawala wala viongozi peke yake, bali tatizo liko nje ya bara la afrika na ndani ya mindsets za watu wetu.
hii nchi ina chawa wa ajabu sana
 
hii nchi ina chawa wa ajabu sana
kwaakili yako nyepesi, hivi kuna mtu anaweza kufanikiwa kuuza kipande chetu cha ardhi milele daima dumu? Ukweli wanaopinga ni ama wametumwa, wanatumiwa au ni mazuzu tu wenyewe.
 
Hebu wapinzani wa Tz wajaribu hii waone idadi ya casualties itakuwa ngapi!!!
 
Back
Top Bottom