Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Bungeni huwa kunapelekwa mikataba au makubaliano? Danganyweni tu na sijui uchumba na ndoa..!!tumia logic, tofauti kuchumbia na ndoa. Huu mkataba tunaouona ni kama uchumbia na kukubaliwa au kukataliwa, lakini kabla ya kufunga ndoa lazima kuna mambo mengine utatakiwa uyatimize kabla na baada ya ndoa. Hivi nyieee!! mnadhani serikali yooooooote, wabunge woooooooote na mwanasheria wao mkuu ni wajinga saaana kiasi hicho?
Iliyoandikwa imeandikwa!!! Katiba imetoa mamlaka kwa bunge na wabunge kuamua kwa niaba ya wananchi, kupinga hilo ni kuvunja katiba, na anaevunja katiba ambayo watu wameapa kuilinda lazima aadhibiwe. Hiyo ndio maana ya utawala wa sheria, hakuna kujiropokea tu barabarani. Muulize Mh Job Ndugai kuhusu hili atakwambia kuhusu mkubwa ni nani kati ya Rais, Bunge na Mahakama.Bungeni huwa kunapeekwa mikataba au makubaliano? Danganyweni tu na sijui uchumba na ndoa..!!
Hili swali hujaliona au limekushinda? Bungeni huwa kunapelekwa mikataba au makubaliano?Iliyoandikwa imeandikwa!!! Katiba imetoa mamlaka kwa bunge na wabunge kuamua kwa niaba ya wananchi, kupinga hilo ni kuvunja katiba, na anaevunja katiba ambayo watu wameapa kuilinda lazima aadhibiwe. Hiyo ndio maana ya utawala wa sheria, hakuna kujiropokea tu barabarani. Muulize Mh Job Ndugai kuhusu hili atakwambia kuhusu mkubwa ni nani kati ya Rais, Bunge na Mahakama.
Swali fikirishi sana !tumia logic, tofauti kuchumbia na ndoa. Huu mkataba tunaouona ni kama uchumbia na kukubaliwa au kukataliwa, lakini kabla ya kufunga ndoa lazima kuna mambo mengine utatakiwa uyatimize kabla na baada ya ndoa. Hivi nyieee!! mnadhani serikali yooooooote, wabunge woooooooote na mwanasheria wao mkuu ni wajinga saaana kiasi hicho?
Mkuu wa Nchi = Locuta causa finita ! Kwa kilatini !Iliyoandikwa imeandikwa!!! Katiba imetoa mamlaka kwa bunge na wabunge kuamua kwa niaba ya wananchi, kupinga hilo ni kuvunja katiba, na anaevunja katiba ambayo watu wameapa kuilinda lazima aadhibiwe. Hiyo ndio maana ya utawala wa sheria, hakuna kujiropokea tu barabarani. Muulize Mh Job Ndugai kuhusu hili atakwambia kuhusu mkubwa ni nani kati ya Rais, Bunge na Mahakama.
Wacha mahakama itoe tafsiri juu ya hilo. Utawala wa sheria unakataa kujichukulia sheria mkononi ya kutuhumu na kuhukumu mitandaoni. Kusema bandari inaunzwa ni sawa na kujichukulia sheria mkononi kutuhumu na kuhukumu mwenyewe. Kifupi ni uchochezi dhidi ya Rais, serikali na bunge. Kumbuka kuwa kama utafanikiwa kuwachochea sawasawa wananchi wanaweza kuichukia serikali Yao na bunge lao, wanaweza ama kuipundua serikali, au kuharibu mali za watu na umma au kusababisha vifo. Ndio maana nasema Kuna Nia ovu kwenye jambo hili kwa baadhi ya wapingaji.Hili swali hujaliona au limekushinda? Bungeni huwa kunapelekwa mikataba au makubaliano?
Kwahiyo kwako wewe suala la bandari ni blaa blaa? Kweli "Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo."Vyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.
Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.
2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.
3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.
4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.
5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.
6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.
Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.
Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.
Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.
Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu.
Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi vya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.
Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.
Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo.
Maelezo mengi lakini hujasema kifungu kipi cha Sheria au Katiba kimevunjwa. Usione Serikali imekaa kimya inajua Sheria haipo upande wake kwenye hili suala labda watumie nguvu tu. Na hilo wanaogopa sababu Mama yako anapenda kwenda Ulaya.Mimi kazi yangu ni ndogo tu, kuwakumbusha kuwa nchi yetu inaongozwa kwa sheria, na sheria yetu kuu ni katiba. Mamlaka, kazi na majukumu ya Rais, serikali, bunge na mahakama yamo kwenye katiba. hakuna uhuru usiokuwa na mipaka na uhuru wako wewe unakomea pale wajibu na mamlaka ya serikali, bunge, mahakama, taasisi na watu wengine unapoanzia. Kuna watanzania wengi wanaopenda bandari yao ikodishwe na kuna watanzania wanaokataa bandari yao isikodishwe, lakini wale wanaopenda bandari yao ikodishwe wameshinda, na hiyo ndio kanuni ya demokrasia, wengi wape, na wachache watasikilizwa tu kule mahakamani, nje ya hapo ni nuisance tu.
Mimi ni muumini wa matumizi ya sheria. Nina hate watu kujichukulia sheria mkononi kindezindezi. Mtu anakwenda mbele ya camera na kusema nchi inauzwa!! Toa ushahidi basi Hana!! Ni watanzania wangapi wanaopinga bandari kubinafsishwa hajui, wako wangapi? kimyaa!!!, wamekutuma?Maelezo mengi lakini hujasema kifungu kipi cha Sheria au Katiba kimevunjwa. Usione Serikali imekaa kimya inajua Sheria haipo upande wake kwenye hili suala labda watumie nguvu tu. Na hilo wanaogopa sababu Mama yako anapenda kwenda Ulaya.
Kama unaamini Sheria na unaona wanazivunja una jukumu kuwapeleka Mahakamani kama raia mwema wa hili Taifa.Mimi ni muumini wa matumizi ya sheria. Nina hate watu kujichukulia sheria mkononi kindezindezi. Mtu anakwenda mbele ya camera na kusema nchi inauzwa!! Toa ushahidi basi Hana!! Ni watanzania wangapi wanaopinga bandari kubinafsishwa hajui, wako wangapi? kimyaa!!!, wamekutuma?
We kavulata unazunguka tu wala hujibu swali..!!Wacha mahakama itoe tafsiri juu ya hilo. Utawala wa sheria unakataa kujichukulia sheria mkononi ya kutuhumu na kuhukumu mitandaoni. Kusema bandari inaunzwa ni sawa na kujichukulia sheria mkononi kutuhumu na kuhukumu mwenyewe. Kifupi ni uchochezi dhidi ya Rais, serikali na bunge. Kumbuka kuwa kama utafanikiwa kuwachochea sawasawa wananchi wanaweza kuichukia serikali Yao na bunge lao, wanaweza ama kuipundua serikali, au kuharibu mali za watu na umma au kusababisha vifo. Ndio maana nasema Kuna Nia ovu kwenye jambo hili kwa baadhi ya wapingaji.
Na alama mojawapo ya kujua wanajiona wamekiuka kitu, wamepeleka muswada bungeni ili kuhalalisha wayatakayoMaelezo mengi lakini hujasema kifungu kipi cha Sheria au Katiba kimevunjwa. Usione Serikali imekaa kimya inajua Sheria haipo upande wake kwenye hili suala labda watumie nguvu tu. Na hilo wanaogopa sababu Mama yako anapenda kwenda Ulaya.
ohoo ! siyo kutukana tu~~~ Amini usiamini---Nchi na Bandari yetu ni muhimu kuliko maisha yetuSasa mkitukana ndo mtazuia nchi kuuzwa!?
Haya soma katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, ibara ya 63, kifungu cha 3, kifungu kidogo e. Bungeni kunapelekwa mkataba. Hilo neno makubaliano, wewe taja kifungu kiachosema bungeni unaweza kupeleka makubaliano. Kisome hicho kifungu hapo chini;Wacha mahakama itoe tafsiri juu ya hilo. Utawala wa sheria unakataa kujichukulia sheria mkononi ya kutuhumu na kuhukumu mitandaoni. Kusema bandari inaunzwa ni sawa na kujichukulia sheria mkononi kutuhumu na kuhukumu mwenyewe. Kifupi ni uchochezi dhidi ya Rais, serikali na bunge. Kumbuka kuwa kama utafanikiwa kuwachochea sawasawa wananchi wanaweza kuichukia serikali Yao na bunge lao, wanaweza ama kuipundua serikali, au kuharibu mali za watu na umma au kusababisha vifo. Ndio maana nasema Kuna Nia ovu kwenye jambo hili kwa baadhi ya wapingaji.
tumia logic, tofauti kuchumbia na ndoa. Huu mkataba tunaouona ni kama uchumbia na kukubaliwa au kukataliwa, lakini kabla ya kufunga ndoa lazima kuna mambo mengine utatakiwa uyatimize kabla na baada ya ndoa. Hivi nyieee!! mnadhani serikali yooooooote, wabunge woooooooote na mwanasheria wao mkuu ni wajinga saaana kiasi hicho?
Wala sio wajinga hata kidogo wanajuwa sana watendalo,ndomana waliambizana pale bungeni ataepinga ahame ccm ,nawalishangilia sana bunge zima,, lakini jiulize wewe kazi ya mbunge niipi? nakwanini wabunge wanapingana na wapiga kura wao? Bunge letu lina historia yakuwa upande wa serikali badala yawananchi,,
Alisikika mmoja akisema, wale ni;Wala sio wajinga hata kidogo wanajuwa sana watendalo,ndomana waliambizana pale bungeni ataepinga ahame ccm ,nawalishangilia sana bunge zima,, lakini jiulize wewe kazi ya mbunge niipi? nakwanini wabunge wanapingana na wapiga kura wao? Bunge letu lina historia yakuwa upande wa serikali badala yawananchi,,
Wewe bilashaka ni msomi, mkataba ni nini? makubaliano ni nini? kuna tofauti gani kati ya mkataba na makubaliano? kuna aina ngapi za mikataba/makubaliano?Haya soma katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, ibara ya 63, kifungu cha 3, kifungu kidogo e. Bungeni kunapelekwa mkataba. Hilo neno makubaliano, wewe taja kifungu kiachosema bungeni unaweza kupeleka makubaliano. Kisome hicho kifungu hapo chini;
View attachment 2685847
Kwa kifungu hiki, maana yake ule ni mkataba. Mkataba huo kuuita MAKUBALIANO, ni kutafuta unafuu tu wa kulaumiwa kwamba wamefanya makosa makubwa.
Kama wabunge hawana sifa, hadhi na uwezo peleka hilo mahakamani kisha subiri hukumu ya wanasheria wako na mahakama.Wala sio wajinga hata kidogo wanajuwa sana watendalo,ndomana waliambizana pale bungeni ataepinga ahame ccm ,nawalishangilia sana bunge zima,, lakini jiulize wewe kazi ya mbunge niipi? nakwanini wabunge wanapingana na wapiga kura wao? Bunge letu lina historia yakuwa upande wa serikali badala yawananchi,,