Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mimi kuweza kujibu au kushindwa kujibu maswali haya hakuondoi ukweli kuwa bungeni hakupelekwi makubaliano. Ukishaona mjadala wa namna hii umepelekwa bungeni, ujuwe huo ni mkataba. Nimeshakupa Ibara gani kwenye katiba ya Tanzania inatamka hayo.Wewe bilashaka ni msomi, mkataba ni nini? makubaliano ni nini? kuna tofauti gani kati ya mkataba na makubaliano? kuna aina ngapi za mikataba/makubaliano?
Unatia huruma kaka, makubaliano ni mkataba na mkataba ni makubaliano.Mimi kuweza kujibu au kushindwa kujibu maswali haya hakuondoi ukweli kuwa bungeni hakupelekwi makubaliano. Ukishaona mjadala wa namna hii umepelekwa bungeni, ujuwe huo ni mkataba. Nimeshakupa Ibara gani kwenye katiba ya Tanzania inatamka hayo.
huna akili.Vyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.
Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.
2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.
3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.
4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.
5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.
6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.
Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.
Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.
Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.
Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu.
Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi vya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.
Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.
Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo.
Sasa hapa ndo unazidi kutia huruma. Inakuwaje kama maana yake ndo hiyo mje mseme kuwa ULE SI MKATABA BALI NI MAKUBALIANO? Huoni kuwa mnajikontradikti wenyewe...???Unatia huruma kaka, makubaliano ni mkataba na mkataba ni makubaliano.
Kweli wewe ni Kaka pembeWapinzani wa Tanzania hawajiongezi kabisa badala ya kuaddress issues sensitive kama hizi kodi na hali halisi ya uchumi wao wako bize na DP world. Ivi ni kweli hakuna mazuri yatakayoletwa na dp world kwamba yooote ni mabaya kwa taifa?
Upinzani acheni cheap politics....wekeza kwenye kushika dola ili yote mnayoyaona hayafai muyatengue.....sio kutafuta simple majority kwa kupotosh umma.
Kwani chawa wote wana akili ndogo hivyo?Peleka wewe hzo hoja , kama rasilimali zinagawiwa hovyo Kwa watu wengine hayo maji utayapataje we kiazi
wapinzani wetu hawajui nini maana ya mkataba na makubaliano. hawajui kuwa Mkataba ni makubaliano na makubaliano ni mkataba pia, hovyo kabisa.Kweli wewe ni Kaka pembe
Ni kweli hamna wapinzani, lakini je na wewe kwa nafasi yako umefanya nini maana hujazuiliwa kufanya unachoona hakifanywi na wenzako.Hamna wapinzani nchi hii CCM itatawala mpaka ichoke
Unafikiri ni kwanini wahindi hawataki kuchangamana na sisi waafrika, wala hawataki kuoana au kuzaa na muafrika. Ni kwasababu hawataki kupata uzao wenye AKILI KIFUU KAMA HII YAKO.Vyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.
Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.
2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.
3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.
4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.
5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.
6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.
Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.
Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kama mikipewa uongozi wa nchi kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.
Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi wapinzani mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi badala ya kujikita kwenye hoja na mbinu za kuwasaidia watanzania kwenye shida zao za msingi zinazowatafuna. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.
Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu badala ya kuokoteza matukio.
Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi ya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.
Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.
Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo, shida za wananchi zinabakia palepale vilevile hata wakibadilisha vyama tawala na viongozi wakuu. Hii inamaana kuwa tatizo sio katiba zao wala tume zao za UCHAGUZI wala rasilimali wala vyama tawala wala viongozi peke yake, bali tatizo liko nje ya bara la afrika na ndani ya mindsets za watu wetu.
Mimi nina akili nyingi kuliko zako, uhakika huo ninao. Matatizo ya Afrika hayatokani na kuwa na vyama tawala vibovu, katiba mbaya au viongozi wabaya bali matatizo yetu kwanza yalisababishwa na babu zetu kwa wakoloni, na pili wakoloni wetu waliondoka kwa mpingo sio kiboyaboya. Viongozi wetu wamebanwa kwenye kona mbaya na wazungu. Lazima wakakope WB, IMF na kwa wakoloni. Masoko hayako hayako wazi kwa watu wote kwa usawa.Unafikiri ni kwanini wahindi hawataki kuchangamana na sisi waafrika, wala hawataki kuoana au kuzaa na muafrika. Ni kwasababu hawataki kupata uzao wenye AKILI KIFUU KAMA HII YAKO.
Halafu hayo unayoona hayafanywi na hao wapinzani NI KWANINI USIFANYE WEWE MAANA HUJAZUILIWA KUANZISHA CHAMA AU KUWA MWANAHARAKATI.
NCHI HII INA WAJINGA WENGI SANA, YAANI UNAWALALAMIKIA WATU WASIOKUWA NA DOLA WALA MAMLAKA YOYOTE.
Rejea katika maharishi ya tafiti zenye kupima IQ ya mtu. Kimsingi tafiti zinakukataa kuwa huwezi kuwa na akili hata za wastani. Mtu yeyote mwenye IQ kubwa hawezi kujisemea au kujiita kuwa ana akili nyingi. Hata tajiri hawezi kusimama kusema ni tajiri.Mimi nina akili nyingi kuliko zako, uhakika huo ninao. Matatizo ya Afrika hayatokani na kuwa na vyama tawala vibovu, katiba mbaya au viongozi wabaya bali matatizo yetu kwanza yalisababishwa na babu zetu kwa wakoloni, na pili wakoloni wetu waliondoka kwa mpingo sio kiboyaboya. Viongozi wetu wamebanwa kwenye kona mbaya na wazungu. Lazima wakakope WB, IMF na kwa wakoloni. Masoko hayako hayako wazi kwa watu wote kwa usawa.
Mtu kama Dr. Slaa na wengine ni vibaraka.
wahindi ni wajinga tu, hata wao kwa wao wanabaguana tu, wanazo high, middle na lower classes (untouchables). Waafrika wana akili nyingi sana, wamekuwa Rais na makamo Rais wa Marekani. Hivyo mfano wako wa kihindi ni wa hovyoUnafikiri ni kwanini wahindi hawataki kuchangamana na sisi waafrika, wala hawataki kuoana au kuzaa na muafrika. Ni kwasababu hawataki kupata uzao wenye AKILI KIFUU KAMA HII YAKO.
Halafu hayo unayoona hayafanywi na hao wapinzani NI KWANINI USIFANYE WEWE MAANA HUJAZUILIWA KUANZISHA CHAMA AU KUWA MWANAHARAKATI.
NCHI HII INA WAJINGA WENGI SANA, YAANI UNAWALALAMIKIA WATU WASIOKUWA NA DOLA WALA MAMLAKA YOYOTE.
kigezo cha kuwa na akili au tajiri sio hicho unachokisema, reasoning capacity yako sio superbRejea katika maharishi ya tafiti zenye kupima IQ ya mtu. Kimsingi tafiti zinakukataa kuwa huwezi kuwa na akili hata za wastani. Mtu yeyote mwenye IQ kubwa hawezi kujisemea au kujiita kuwa ana akili nyingi. Hata tajiri hawezi kusimama kusema ni tajiri.
hii nchi ina chawa wa ajabu sanaVyama vyetu vya upinzani nchini ni reactive sio proactive. Watanzania wanazo shida zao zilizogandamana na ngozi ya miili yao utadhani wameumbwa na kuzaliwa nazo.
Mpaka leo watanzania Wana shida zifuatazo:.
1. Chakula: hadi Leo watu wetu wengi hawana chakula Cha kuwatosha kula Milo 3 kwa siku kwa mwaka mzima. 90% ya wakulima bado wanatumia jembe la mkono kulima, mbegu za hovyohovyo na kutegemea mvua.
2. Uchumi: Hakuna masoko na bei za uhakika ya kuuzia mazao, mifugo, na samaki wao. Watu wetu wengi ni maskini sana hata kama wanavuja jasho jingi sana.
3. Ajira: vijana wetu wengi hawana ajira na wenye ajira wanalipwa hela kidogo sana. Hii inasababisha rushwa na huduma mbovu.
4. Elimu: Elimu yetu ni duni sana kutokana na ukosefu wa fedha za kulipa walimu vizuri na wakutosha, kununua vifaa vya kufundishia na kuwa na walimu wenye sifa na ujuzi.
5. Maji: mpaka Leo watu wetu hawana maji ya kunywa.
6. Wizi wa fedha na mali za wananchi unaofanywa na wenye mamlaka.
Mambo yote haya hayana uhusiano wa moja kwa moja na katiba mpya, tume ya uchaguzi Wala ukodishaji wa bandari.
Jengeni hoja ni kwa vipi mtaondoa shida hizi za wananchi kwa njia nyepesi na rahisi sana kama mikipewa uongozi wa nchi kuliko wanavyofanya CCM kwa miaka 60 ya Uhuru.
Sisi watanzania tunawaona hata nyinyi wapinzani mnababaisha TU kuwaona kama mko tayari kufa, kufungwa au kuitukana serikali kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi badala ya kujikita kwenye hoja na mbinu za kuwasaidia watanzania kwenye shida zao za msingi zinazowatafuna. Kuna nchi duniani hazina uchaguzi lakini maisha ya wananchi wao yanakwenda vizuri.
Tuambieni namna mtakavyotafuta fedha za kuindesha nchi, namna mtavyokuwa na mahakama zinazomua kwa haki, mtavyobadilisha kilimo, mtakavyotafuta masoko ya mazao mifugo na samaki, mtakavyoleta ajira na mishahara mikubwa kwa watumishi na mtakavyokuza elimu badala ya kuokoteza matukio.
Kule Kenya wapinzani wanahoja kwakuwa wanapinga ukubwa wa Baraza la mawaziri na matumizi ya hovyo, hawapingi uwekezaji wao ambao 95% ni wakoloni wanaomiliki uchumi wao.
Wapinzani wetu sisi wanapinga mambo ya kadhi, bandari kupewa mwarabu, katiba na tume ya uchaguzi mpya inayoweza kuwaingiza na wao madarakani ili wale.
Hatujaona nchi ya Afrika iliyopata nafuu za kiuchumi, kielimu, kihuduma baada ya wapinzani kuingia Ikulu, haipo, shida za wananchi zinabakia palepale vilevile hata wakibadilisha vyama tawala na viongozi wakuu. Hii inamaana kuwa tatizo sio katiba zao wala tume zao za UCHAGUZI wala rasilimali wala vyama tawala wala viongozi peke yake, bali tatizo liko nje ya bara la afrika na ndani ya mindsets za watu wetu.
Wewe IQ yako ni nyuzi joto -003kigezo cha kuwa na akili au tajiri sio hicho unachokisema, reasoning capacity yako sio superb