Wapinzani wa Rais Samia waanza kutumia silaha ya Uzushi na uongo kumshambulia baada ya njia zao kushindwa.


what goes around comes around kama alitwaa madaraka kama ulivyoandika basi na yeye wajanja wenzake watamtwaa pia ni swala la muda tu …
 
Mbwashambwa andaa shamba ili kuanzia 2026 uwe na shughuli nyingine ya kufanya hii ya sasa hautakuwa nayo tena kwasababu huyo bibi lazima tumfurushe 2025
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.kwa ufupi ni Kuwa tunaendelea kutamba na kudunda na Rais Samia Suluhu Hasssan hadi 2030.
 
Wewe si ndio walewale waongo na wazushi? Unaweza vipi zusha habari ya uongo pasipo ushahidi halafu useme mtu akanushe kwa vithibitisho? Huoni huo unakuwa ni uwendawazimu na ukichaa?
Umeomba ushahidi ukanyimwa ndio ukafikia conclusion kwamba ni uzushi na uongo kwa Samia? Sasa hili zaidi liko kwenye ukweli kwamba hakuna mtu mwenye akili atakutumia ushahidi vuvuzela kama wewe, hata ukiomba, lakini hilo halimaanishi kwamba ushahidi haupo.
 
Uwezo wa mzalendo mpina ni mkubwa sana kuzidi wabunge wengine wote wa ccm pamoja na mwenyekiti wao ambaye anazidi kuifisadi tu Nchi.
 
Kwamba Samia anahitaji utetezi wako ?; Huo muda ungeutumia kumtetea mlipa kodi na mwananchi ambaye hapati value for his/her hard earned cash ningekuona wa maana
 
Zee jinga linaloishi. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Kazi ya uzushi na uongo mnayofanya kwa sasa inaendelea kuwaangamiza wenyewe.ndio maana mnaendelea kupuuzwa na watanzania.kwa kuwa wameshatambua mia yenye ovu mliyonayo.
 
nadhani ni muhimu zaidi,
tena kwa haraka sana, wakamuondoa huyo chambo wa kutunga uzushi na uongo dhidi ya serikali sikivu ya CCM na waandamizi wake, alie jaa chuki binafsi na wivu baada ya kutoswa kwenye baraza la mawaziri kwasabb ya ujuaji, jeuri na kiburi chake...

wambandue CCM, ili akaendelee kurubuniwa kwa kulambishwa sukari ya makampuni ya sukari ili akomae kusema uongo kua ni kweli kama anavyofanya sasa πŸ’

kirusi hiki cha kubuni usushi na uongo kutoka Kisesa, kikibaduliwa tu, mambo yatakua bam bam tuπŸ’
 
CHADEMA haina uwezo wala ubavu wala nguvu ya kuweza kushindana na CCM katika sanduku la kura.iwa sasa inaendelea kusambaratika na kupasuka vipande vipande kama kioo
Lini CCM ilishinda kwenye Sanduku la Kura bila wizi wa kura?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…