WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini



Rais anasema Eti anaomba muendelee kumuombea ili Urais usimpe kiburi na jeuri
 
Sawa wale wanaopenda kusifia nguvu ya usalama wa TAIFA na waje sasa walishambulie Kanisa Katoliki.
 
dokta Slaa njoo huku....ona sasa Wakatoliki wenzio wanamletea chokochoko partner ako bana!
 
Duh!
 
Mara nyingi nyaraka za wakatoliki huwa zinatetemesha sana serikali
Hahaaahaaaa mkuu hasa ukitilia maanani kuwa mkulu ni mshirika huko asije tu akaghaili au kususa kwenda kusali.
 
Hahaaahaaaa mkuu hasa ukitilia maanani kuwa mkulu ni mshirika huko asije tu akaghaili au kususa kwenda kusali.
Kwanza akatubu ndipo mambo mengine yafuatie!

Sijui Kwanini Yule askofu mkubwa wa kanisa anashindwa kumshauri Swahiba wake atubu!
.msimamo wa TEC sometimes huwa unatofautiana na msimamo wa kanisa!
 
Hapa kadinali pengo sijui atasema nn maana yeye kila jambo hujiweka upande wa serikali utafikiri kanisa katoliki ni tawi la CCM kama ilivyo UVCCM au jumuiya ya wazazi.

Pengo atasema nini wakati sahihi yake kwenye waraka ni jina la tatu.
 
Hahaaahaaaa mkuu hasa ukitilia maanani kuwa mkulu ni mshirika huko asije tu akaghaili au kususa kwenda kusali.

Alishaghairi na kanisa halisumbuki na watu kama yeye. Si unamuona huwa wanaenda kwa TB Joshua.
 
Inatia moyo sana kuona Baraza la Maaskofu nchini limeanza kulaani na kukemea huu UdU wa kutisha unaoendelea nchini katika awamu hii.

Waliokuwa wanaikosoa Serikali hii dhalimu walitusiwa majina mbali mbali ikiwemo wasaliti, majizi, wapiga madili na matusi mengine chungu nzima.

Sasa hata Baraza hili la Maaskofu limechoka kuendelea kukaa kimya huku UdU nchini ukizidi kushamiri kwa kasi ya kutisha na hivyo kutishia amani ya nchi yetu.

DU apingwe kwa nguvu zote za Watanzania wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu ili aheshimu katiba, Bunge, mahakama, sheria za nchi, sheria za manunuzi ya Serikali, sheria za kutoa fedha hazina etc.

Naendelea kusema huyu jamaa ni janga kubwa sana la Taifa letu na ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu.

Nzi Elli Tetty Sky Eclat Salary Slip zitto junior MENGELENI KWETU tindo Saint Ivuga Erythrocyte lusungo Retired
 
dokta Slaa njoo huku....ona sasa Wakatoliki wenzio wanamletea chokochoko partner ako bana!
Yeye ameshauri upinzani upitie njia ya mahakama kupinga huu udhalimu. Nafikiri mkakati huu ni wakutilia nguvu. Najua mwanzo walisema wangeenda mahakamani sijui iliishia wapi?
 
Wananchi tuusomeni huu Waraka unaujumbe mzito, jitaidini kuusoma wote... naona Kanisa limeamua kugeuzwa kichaka cha maficho ya waonezi, wakandamizaji na wasio na hofu kuu ya mungu. Kwa hili nawapongeza sana na kuwasha taa katika hili giza....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…