Waraka wa Kanisa Katoliki: Je huu utakuwa mwisho wa ushawishi wa taasisi hii kubwa?

Waraka wa Kanisa Katoliki: Je huu utakuwa mwisho wa ushawishi wa taasisi hii kubwa?

don-mike

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
600
Reaction score
1,178
Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.

Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.

Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
 
Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.

Juzi baraza la maaskofu limekuja na walaka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.

Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
Mpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,
 
Mpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,
Wanadai mwarabu ni tajiri dunia nzima, waendelee kukaza fuvu.
 
Ile tu nakusoma umeandika walaka badala ya waraka moja kwa moja hoja yako ni ya kipuuzi. Una mtazamo finyu kuhusu ushawishi wa taasisi hiyo. Hata wakishupaza shingo wakaendelea na mkataba wao wa kijuha still taasisi hiyo itaendelea kuwa na ushawishi daima
 
Mpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,
Umemaliza Kila kitu mkuu wa kazi
 
Ile tu nakusoma umeandika walaka badala ya waraka moja kwa moja hoja yako ni ya kipuuzi. Una mtazamo finyu kuhusu ushawishi wa taasisi hiyo. Hata wakishupaza shingo wakaendelea na mkataba wao wa kijuha still taasisi hiyo itaendelea kuwa na ushawishi daima
kikubwa tunaendelea kuelewa kina nani wapo kwa ajili ya maslahi ya nani,
 
Mpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,
Tuambie kwa mfano nini kinaweza kutokea na ni wapi walikaidi mambo ya vatican na nini kiliwatokea.
 
mama amekua kama mti wa mpapai wakati wa upepo hataki kuwa kama matete ya mtama ainame kulingana na upepo unapoenda amegoma kabsa .... lazima avunjikee tena usiku wa manene...
 
Tuambie kwa mfano nini kinaweza kutokea na ni wapi walikaidi mambo ya vatican na nini kiliwatokea.
Broo rejea hapo Kongo tu.. umoja wa maaskofu wakisema hatuna Imani na huyo rais ujue wamemaliza mchezo, hao akina ksekedi wapo pale madarakan sio Kwa sababu ya kura tu,,Bali mapendekezo ya hizo taasisi za dini..but Kwa nchi yetu huwezi ukagundua hili live mpka uwe mwelewa San,.
 
Mpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,
Acha kututishia,mbona awamu iliyopita wakati watu wanapotezwa mfululizo na wengine kupigwa risasi mchana kweupe hatukuona waraka wowote toka hiyo jumuiya wala hata Vatican hawakutia mguu,au wanachagua matukio?
 
Mpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,
Mnamtisha nani hapa.
Fanyeni mnaloweza kufanya.

THE MATCH BOX IS FULL.
 
Acha kututishia,mbona awamu iliyopita wakati watu wanapotezwa mfululizo na wengine kupigwa risasi mchana kweupe hatukuona waraka wowote toka hiyo jumuiya wala hata Vatican hawakutia mguu,au wanachagua matukio?
Walikua wanaunga mkono, ndio tafsiri yake.
KAFIRI hata akiua, akitesa akidhulumu ni sawa tu kwao kwa sababu J'2 anaenda kwa padri kuungama na padri hapo hapo anamfutia madhambi yake, anaondoka hapo akiamini ndani ya nafsi yake kwamba madhambi yameshafutwa yote.
 
Mwisho wa ushawishi au ndo wanazidi kuimarika?
Kwa hili mimi naona halitaongeza wala kupunguza.

Ila natamani Serikali ya Tanzania kwakua imeshajipambanua kua haina dini, basi iachane na kujikomba komba kwa hizi dini.

Waache kualika viongozi wa dini kwenye hafla zao, nao viongozi wa Serikali wasiende kwenye mialiko yao, anaeenda aende kama muumini wa kawaida sio Kiongozi wa Serikali.

Hata kujipendekeza kwa kutoa misamaha ya Kodi waache maana haiwanufaishi wananchi.

Serikali inatoa misamaha ya Kodi ili wanyonge wanufaike lakini HUDUMA na BIDHAA zilizosamehewa kodi wazitolewi kwa unafuu wowote wanalipia sawa na zile zilizokosa misamaha.

Unaambiwa Serikali haina dini, huku Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Baraza la Idi, mara Rais kaenda kumsimika Askofu Mlasusa mara Vice kaenda kuzindua harambee ya ujezi wa jengo la Ibada.
Huku wameitwa Ikulu kushuhudia uapisho wa viongozi wa Serikali mara kule wameitwa kusoma Dua mara waombwe waombe mvua zimechelewa.

Lazima wajione superior na bila wao nchi haitawaliki.
 
Taasisi hiyo imejaa maaskofu na mapdre wazinzi mtaani Wana vimada wamewazalisha watoto wa kutosha halafu waumini tunadanganywa kanisa haliruhusu mapdre kuoa wala kuzini.
 
Serikali haiwezi kutishiwa nyau na kijiwaraka uchwara cha Tec, bandarini mwarabu atakuja na baada ya siku kadhaa watakuja kupata aibu ya Karne kwani bandari itakuwa imepiga hatua kubwa na mapato yataongezeka!!
 
Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.

Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.

Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?

Yaani kile walichokisema TEC kiachwe kufuatwa halafu hao walioelekezwa wabaki salama??
Hivi unaijua TEC vizuri???
Walakini wa walichokisema ni nini...?
Siasa za dunia hii hazipo kama ukatoliki haupo!!!
Just imagine viongozi wote wakubwa dunia hii wanapoingia madarakani, breki ya kwanza ni vatican city kwa pope!!!
 
Hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha yaani kondoo za bwana mnachekesha Sana, nyie subiri muda si mrefu mtaona tu DP world keshaanza kuchapa kazi.
Yaani kile walichokisema TEC kiachwe kufuatwa halafu hao walioelekezwa wabaki salama??
Hivi unaijua TEC vizuri???
Walakini wa walichokisema ni nini...?
Siasa za dunia hii hazipo kama ukatoliki haupo!!!
Just imagine viongozi wote wakubwa dunia hii wanapoingia madarakani, breki ya kwanza ni vatican city kwa pope!!!
 
Serikali haiwezi kutishiwa nyau na kijiwaraka uchwara cha Tec, bandarini mwarabu atakuja na baada ya siku kadhaa watakuja kupata aibu ya Karne kwani bandari itakuwa imepiga hatua kubwa na mapato yataongezeka!!

Waarabu waje hata kesho ila Maaskofu na kanisa Katoliki tunasema No kwa mikataba ya kilaghai halafu ungejibu hoja kwanza na sio kukurupuka kama umetoka usingizini.
 
Back
Top Bottom