Waraka wa Kanisa Katoliki: Je huu utakuwa mwisho wa ushawishi wa taasisi hii kubwa?

Waraka wa Kanisa Katoliki: Je huu utakuwa mwisho wa ushawishi wa taasisi hii kubwa?

Nyinyi ndugu zetu kweli mmenyimwa akili! Sasa hiki ulichokiandika hapa kina uhusiano gani na hilo tamko lao la kutaka huo mkataba wa bandari kuboreshwa, ili uwe na manufaa kwa nchi?
Maaskofu wazinzi kuna sababu ya msingi ya kutilia maanani wanachozungumza
 
Sasa Ninejua why Roma itawala dunia. TEC wametoa tamko la kuokoa Bandari na architecture zetu .lakini kuna Taasisi zimekaa kimya. Dini na makanisa mengine wako wapi acha yashupaze shingo yatapoteza waumini wote kazi yao ni kuchukua sadaka
 
Ukiangalia comments za waroma humu inaonyesha waumini wengi hili kanisa ni watumwa wa fikra kuliko hata wale wa Mwamposa na wenzake.
 
Back
Top Bottom