King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Kuna hoja gani hapo za kujibu babu? Baada ya miaka 10 tutawaita tuwaulize kiko nyie wapinga maendeleo? Sana mtaishia kupata aibu tu Kwa upumbavu mnaofanya.Waarabu waje hata kesho ila Maaskofu na kanisa Katoliki tunasema No kwa mikataba ya kilaghai halafu ungejibu hoja kwanza na sio kukurupuka kama umetoka usingizini.
Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.
Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.
Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
What is Vatican bwana mdogo? Acha hiyo slave mentality. We are Tanzanians we can't be driven by Vatican. After all Vatican is corrupt with priest sodomizing their fellowsMpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,
Muulize Joseph Kabila!Tuambie kwa mfano nini kinaweza kutokea na ni wapi walikaidi mambo ya vatican na nini kiliwatokea.
Na mbaya zaidi ameandika kimihemko zaidi sijaona siasa yoyote kwenye ule warakaIle tu nakusoma umeandika walaka badala ya waraka moja kwa moja hoja yako ni ya kipuuzi. Una mtazamo finyu kuhusu ushawishi wa taasisi hiyo. Hata wakishupaza shingo wakaendelea na mkataba wao wa kijuha still taasisi hiyo itaendelea kuwa na ushawishi daima
Sawasawa vingi vilivyobinafsishwa vimeendelea kwa kishindo.Serikali haiwezi kutishiwa nyau na kijiwaraka uchwara cha Tec, bandarini mwarabu atakuja na baada ya siku kadhaa watakuja kupata aibu ya Karne kwani bandari itakuwa imepiga hatua kubwa na mapato yataongezeka!!
Hiyo ni dhana tu,kama Vatican ingekuwa na nguvu kiasi hicho imeshindwa Nini kumaliza migogoro inayoendelea katika nchi mbalimbali ulimwenguni kote?Yaani kile walichokisema TEC kiachwe kufuatwa halafu hao walioelekezwa wabaki salama??
Hivi unaijua TEC vizuri???
Walakini wa walichokisema ni nini...?
Siasa za dunia hii hazipo kama ukatoliki haupo!!!
Just imagine viongozi wote wakubwa dunia hii wanapoingia madarakani, breki ya kwanza ni vatican city kwa pope!!!
Nchi imeuzwa, ndicho wanachohoji, unataka uhalisia gani zaidi ya huo?Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.
Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.
Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
Kwani katika hilo tamko lao kuna mahali wamesema ni kazima hayo mapendekezo yao yafuatwe? Tuanzie hapa kwanza.Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.
Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.
Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
Haya ndiyo matatizo ya kukimbia shule. Mwisho wa siku unajikuta umekuwa mzushi na mtu usiye na kumbukumbu.Hao walishapotena kitambo hawakuwah kutoa waraka kwa raisi akiwa mkristo hao jk kila mwezi walikuwa wanatoa waraka
Taasisi hiyo imejaa maaskofu na mapdre wazinzi mtaani Wana vimada wamewazalisha watoto wa kutosha halafu waumini tunadanganywa kanisa haliruhusu mapdre kuoa wala kuzini.
Tuonyeshe huo walakini na siasa katika tamko lao.Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.
Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.
Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.
Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.
Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
Nyinyi ndugu zetu kweli mmenyimwa akili! Sasa hiki ulichokiandika hapa kina uhusiano gani na hilo tamko lao la kutaka huo mkataba wa bandari kuboreshwa, ili uwe na manufaa kwa nchi?Taasisi hiyo imejaa maaskofu na mapdre wazinzi mtaani Wana vimada wamewazalisha watoto wa kutosha halafu waumini tunadanganywa kanisa haliruhusu mapdre kuoa wala kuzini.
Naona Sheikh amepaniki kweli kweli. Ameona bora ajikite tu kuwajadili watu, badala ya tamko.Yaani ni hivi, hatiwajadili wao mmoja mmoja, jadili walicho andika ama walichomisema.
Tukianza kumjadili mtu, tena mmoja mmoja hata hao wanaounga mkono mkataba, nao wana vimada kila mtaa
Mbona wakati wa kugombea uhuru,walijitenga,Mwalimu Nyerere akaenda kuombewa dua na Masheikh(hotuba ipo).Na uhuru ukapatikana.Kwa miaka mingi kanisa Katoliki limekuwa na ushawishi wa namna yake ndani ya nchi. Wakiongea wao, basi jua wamemulika ukweli na uhalisia wa kile wanachokiongea.
Juzi baraza la maaskofu limekuja na waraka ambao unatia walakini kidogo, umekaa kisiasa zaidi tofauti na uhalisia.
Ikitokea mapendekezo yao hayatafuatwa, huu ndio utakuwa mwisho wa ushawishi wake?
Hiyo ni dhana tu,kama Vatican ingekuwa na nguvu kiasi hicho imeshindwa Nini kumaliza migogoro inayoendelea katika nchi mbalimbali ulimwenguni kote?
Mpaka kufikia TEC kutoa walaka huo tambua kuwa wana baraka zote kutoka Vatican,, endapo Serikali itashupaza shingo kitakacho fuata pengine mimi na wewe tusingependa kuona,, tusiombee itokee hivyo hasa kwa kutambua kuwa hakuna nchi duniani ambayo Vatican waliweka mguu wao na wakashindwa,, tusilitazame hili jambo juu juu tu tajaribu kulitizama kwa ukubwa wake halisi,, Catholic ni zaidi ya unavyoijua,, busara itumike ili tuvuke salama,,