Demu mwizi tu huyoCase closed.
Tukio limefanyika April 2021...kwanini leo?
RB no na Case no huko polisi April 21 viko wapi?.
Taarifa hizi alipeleka ubalozi wa Nigeria April 21?
Wakati wa tukio alipiga kelele.?
Kwanini mhudumu alifuata Condom na wote wanakubaliana katika hili?.
Gold diggerNilivyosoma Tu. Ile Stori Yake Nilikua Yule ni Bitch.
Demu kanjanja huyoAlikataa kwa kua hana ushahidi.
Mahakamani asingeweza kushinda kwa kua hana ushahidi wa kikicho tokea ndani. Ushahidi wote ni wa baada ya tukio ambao haujastify kua kweli tukio lilikuepo ukiachia mbali nani kafanya hili tukio.
Wameona swa wakati wao ndiyo walioripoti polisi?Upuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.
Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
I stand with Warere Hotel
😂😂😂😂😂😂
Kabisa, no visa entry kwa Nigeria mi nafikiria hata Bara tuwapige BANHamna kuwakaribisha hao watu wanaogopewa dunia nzima kwa wizi,ulaghai,uongo hata Kwenye madanguro ya kuwapeleka waAfrica nje kujiuza wao ndio wanayoyaendesha,,,anyways Zanzibar tourism inabid iwaangalie sana hawa watu!!!No visa kwa wanigeria mpaka Hii ishu iwe sort out wamechafua sana Zanzibar kwa tukio la mtu mmoja!
Point kubwa Sana hii, yaani hii story isingemake headlines kama huyo mtu asingekuwa staff hapo... Ni kosa Kufanya ngono kazini na ukibainika ni Kosa la kufukuzwa kaziUpuuzi tu, tuhuma za uhalifu wa ngono sio mpya Zanzibar.
Hao wenye hotel wanaona ni sawa wafanyakazi wao kufanya ngono na wageni?? Hakuna work ethics huko visiwani?
Jamani 😂😂😂😂Aisee!
Wawe wanahoji nationality ya wageni..
Wakigundua ni mnigeria aelekezwe tu kwa upole akalale Central huko
Kwa tamko hili ndiyo kwanza Management ya hotel imemwaga petrol kwenye moto.Point kubwa Sana hii, yaani hii story isingemake headlines kama huyo mtu asingekuwa staff hapo... Ni kosa Kufanya ngono kazini na ukibainika ni Kosa la kufukuzwa kazi
Wanaijeria walio wengi matapeli.Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.
Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.
But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuhaidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.
Kama kinapanda soma hapo chini[emoji1484];
View attachment 2190611
Mkuu wabongo kwa free sex unawajua? Hua hafikiri hata kutimuliwa kazi
Sema mlinzi alikosea kwenya ananuka angeoga kwanza[emoji23][emoji23][emoji16]Kwa ufupi ni kuwa yule dada wa kinigeria alimpenda mlinzi wa kimakua na akaona haiwezekani kulala mwenyewe ila baadae akamgeuka, na walifikishana mpaka kwa mkuu wa wilaya ili kusuluhisha.
Lakini yuke binti wa kiniger akagoma mpaka alipwe kitita cha US dollar 10,000 takribani 23.5mil ili kulimaliza.
But Warere Owner walipokataa kumpa kiasi hicho akaondoka kwa jazba na kuhaidi ataichafua na kuiharibia hoteli kupitia mitandaoni na waniger wenzake.
Kama kinapanda soma hapo chini[emoji1484];
View attachment 2190611
Nakuunga mkono 800% manaija ni mataptaaa hatari..Wa niger wengi ni matapeli wanatengeneza fursa ya kulipwa pesa nyingi maeneo mbali mbali hasa Afrika kusini
Nadhani Zanzibar wako too soft na masuala ya work ethics...Kwa tamko hili ndiyo kwanza Management ya hotel imemwaga petrol kwenye moto.
Kwaiyo kuhusishwa watu awo kwako wewe ni evidence tayari?Which Tanzanians are inferior?Did you read, hear, check all the evidence put forward by the lady? Would you have the same opinion had it been your sister, mother, daughter?
This issue has been collaborated by the hotel, police, Russians that she took refuge to.The responsible organs need to come out and give out answers.