Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

Wasanii wa bongo kwanza wengi hawaendi kwenye vikao,na mishe kama hizo nyingi Steve ameingia baada ya kuona wasanii wanajivuta yeye anajichomeka kushtuka kumbe ni fursa kwa jamaa
Wasanii wengi chenga sana.. acha Steve awanyooshe
 
Hiv hizi mambo za vyama hata Marekani zipo, wakina nani kule ulaya wanahudhuriaga hivi vikao
 
Kwa hiyo Steve Nyerere ndio msemaji wa wasanii?

Kazi ya kukusanya rambirambi na kuzitafuna atamuachia nani?

Tuache utani kabisa.
Mkuu,kitu gani unaona hakipo sawa kwa Steve kua msemaji wa wasanii?
Weka hoja yako hapo ili tuijadili.
 
Swadakita kabisa lakini kuna wengine hapo wanaweza kuwa bora kwa mitazamo ya Watu lakini wao binafsi wakabolonga.

Sema Steve Nyerere kashaingia gundu kwa watu wengi na ndio sababu ya hayo yote.

Mkuu, yeyote hata mwenye IQ number ya kiatu anachovaa ni bora katika hili zaidi ya Steve Nyerere.
 
Binafsi naona msemaji ni bora angekuwa ashawahi kujihusisha na mziki, ingependeza awe Mike tee, Tid, P funk, Master J, lady jay dee, Enika, n.k.

Huyu Steve hapana kwakweli, njaa kali sana hadi ikafika kipindi kila msiba ukitokea anajipa cheo cha kukusanya rambi rambi, pia ni mtu ambae hupenda kutumia watu kama ngazi.
Tid?

Acha utani bwashee!
 
Fareed Kubanda kaonyesha maturity na leadership skill ya hali ya juu kwenye hii situation.

1. Collective responsibility
2. Utulivu na usikivu

Angeweza ku-dictate kila kitu lakini anapokea mawazo ya watu nakuyafanyia kazi bila kuchukulia personal.

Big up sana Ngosha kwa ilo, ingekuwa wasanii wengine navyowajua pangenuka haswa.
lingekuwa bifu kbsa
 

Shirikisho la Muziki Nchini Tanzania ambalo Fid Q Ni katibu Mkuu, lilimtangaza Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki Wote nchini.

Wasanii wamaupinga huu uteuzi na kudai wanataka Kusemewa na Mtu anaejua Changamoto zao na sio Steve ambae ni Mwanasiasa na Muigizaji.

Wasanii Wameonekana kutokua na imani na Steve kwa kigezo kuwa Haujui Muziki wa Tanzania na nafasi hiyo inamfaa mtu ambae yupo relevant na Muziki,

Wasanii waliopinga ni pamoja na Nay Wa Mitego, Diamond, Wakazi, Adam Mchomvu, Q Chief, Afande Sele, n.k

Imependekezwa Mchakato Urudiwe ili apatikane mtu sahihi wa kuwasemea wanamuziki
Tivu ametisha amemtandika FA za mbavu
 
instagram.jpg


Ni vema tukamfahamu mtu huyo na cheo chake, huenda tutafahamu pia vigezo alivyotumia, na bila shaka tutaijua hata akili yake ilivyo.

Ni aibu sana kuteua mtu asiye na vigezo na anayepingwa na watu wote, Je huyu mteuaji alilenga nini kuteua mtu asiyetakiwa hata kwao?


Kwanini tunatengeneza migogoro ya kijinga isiyo na tija yoyote?
 
View attachment 2161034

Ni vema tukamfahamu mtu huyo na cheo chake , huenda tutafahamu pia vigezo alivyotumia , na bila shaka tutaijua hata akili yake ilivyo .

Ni aibu sana kuteua mtu asiye na vigezo na anayepingwa na watu wote , Je huyu mteuaji alilenga nini kuteua mtu asiyetakiwa hata kwao ?


Kwanini tunatengeneza migogoro ya kijinga isiyo na tija yoyote ?
Kumjadili mjinga na wajinga wenzake walimchagua ni kupoteza muda, tuna mambo mengi ya kufanya, jamaa hata hajui muziki ukoje mbali ya kuigiza sauti ya baba wa taifa hana kingine kipya zaidi ya kuishi mjini kwa kujikomba na kujipendekezakwa wanasiasa, kufanya ukuwadi kwa pisi za bongo movie, zaidi ya hapo hana kazi yoyote inayomuweka mjini ,sana sana anakuwa mweka hazina asiye rasmi wa misiba ya nyota wa filamu. Kajitu ka hovyo sana haka kajamaa na kana jiona kana connection ya kuingia na kuonana na vigogo wa kisiasa mbalimbali
 
Back
Top Bottom