Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Nooo sikumblock mimi na aliblock yeye na labda aliofia ntamuanzishia status, wakati sina hizo tabia kabisa
Ooh. Ameshajua siku hizi baadhi wanaume hawana vifua vya kuhifadhi jambo hivyo akaamua kujiongeza.

Kumbe hajakujua kwamba best we mzungu unamnyima halafu maisha yanaendelea. [emoji2]
 
Wakaka wakware tuwe makini unaeza kudhani unachat na mdada kumbe ni dume hilo.

Saiv kuna wakaka kibao huko mitandaoni wanakula vichwa kwa profile zenye picha za kinadada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooh. Ameshajua siku hizi baadhi wanaume hawana vifua vya kuhifadhi jambo hivyo akaamua kujiongeza.

Kumbe hajakujua kwamba best we mzungu unamnyima halafu maisha yanaendelea. [emoji2]
Ni mrembo sana tu na ni mfanyakazi na alijua ntapiga mascreen shot nipost but tabia za kijinga uwaga sina hizo
 
Mie mzima wa afyaaaa,
Vipi weekend lakini.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Namshukuru mungu inakwenda vizuri nipo nyumbani naimalizia malizia mdogo wangu.

Japokuwa najua mdogo wangu kwa upande wako ndio kwanza unawaza pa kwenda kuimalizia jumapili yako
 
Hali ni mbaya zaidi kuliko maelezo ,,,,!
d668240e5216a37afcf4357c22fa37c7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namshukuru mungu inakwenda vizuri nipo nyumbani naimalizia malizia mdogo wangu.

Japokuwa najua mdogo wangu kwa upande wako ndio kwanza unawaza pa kwenda kuimalizia jumapili yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] me sio mtu wa mitoko dada hua natoka kwa sababu.... most of the time nakua tu home watching movies with friends or alone baasi tu.

Mualiko wa biriani veeeep.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] me sio mtu wa mitoko dada hua natoka kwa sababu.... most of the time nakua tu home watching movies with friends or alone baasi tu.

Mualiko wa biriani veeeep.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.

Kama hivyo hapo sawa mdogo wangu.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nikajua ushasahau mdogo wangu kumbe bado nakukaribisha sana sana sana.
 
We unasema 10,000! Chipsi kuku na soda unatoboa mboga, yaani wallah kipindi hiki kama hujaitwa mume basi una gundu, yaani unakutana na mtu sasa hivi jioni unasikia mume upo wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha [emoji23][emoji23][emoji23] mie ntakuwa na gundu sijawahi itwa mume[emoji13]
 
Kama hivyo hapo sawa mdogo wangu.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nikajua ushasahau mdogo wangu kumbe bado nakukaribisha sana sana sana.
Najaaaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Ila Jamani mjue baadhi ya wanawake wanatuponza wanawake wote tunaonekana ovyo sana kiukweli tusitetee ujinga mpaka sasa ndoa zimekuwa mtihani mwanaume anashindwa kujua yupi kitabia anamfaa mwanaume anakutongoza Jamani hamjuani hamjaonana unakimbilia kuomba pesa kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije sometimes hatakama mwanaume alikuwa anania yakweli anakudharau Mimi siku zote nipo upande Wa wanawake wenzangu nikweli wanaume nimatapeli ila hii mwanaume kakufwata mambo poa unaomba hela anaweza akakupa akakuita akakutafuna ndoimetoka mwaname mvutie kasi kidogo nasio unamuomba direct unaji Fanya kuingizia kitu chako kimekwama unawaza utakisove vip yeye mwenyewe atajiongeza mpaka unamuomba mwanaume pesa mshakaa ata miez 3 au unajua mwanaume Wa kibongo wengi hawajui kutenga bajeti kila mwezi kumpa mwenzi wake mpaka waombwe Mimi kiukweli Jamani wanawake tubadilikeni sometimes tunajitakia kuzalauliwa Jamani mwanamke unambembesha mzigo mwanaume kama mzazi wako Mimi mwanaume kunihonga kila siku sitaki bwana ela unayonipa yamatumizi nifungulie genge ela izunguuke matumiz yatatoka hapa kiukweli mwanaume atakuona una akili sana kama anauwezo anakufumgulia kila siku vibomu mtu hatakukujulia hali inafika hatua anaogopa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekomaaa now bigup[emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom