hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 399
- 992
Mkuu ndio maana nimesema uende ukapewe maelekezo hospital, utakataa mtoto wako bure. Kwenye vipimo kuna umri wa kiumbe na umri wa mimba, hivyo ni vitu viwili tofauti (gestational age na age of the fetus) kawaida kuna tofauti ya wiki mbili (tazama screenshot). Tangu ukutane nae ni wiki saba na siku tatu, ndio maana umeambiwa wiki tisa na siku tatu. The kid is yours boss no escaping😆😆😆😆😆😆Niwe muwazi kabisa wiki 9 na siku 3 zilizopita nilikuwa hata simfahamu huyu bibie kwa maana sijawahi hata kumuona ,nimemfahamu tarehe 24 desemba tarehe 28 tukanyanduana
Yani kuanzia tarehe 28 na kuendeleaMwezi wa 12 ulikutana nae siku moja?
Andaa kamati ya harusi.Yani kuanzia tarehe 28 na kuendelea
Exactly hiki ndio nimemwambia pia, mtoto ni wake asikimbie majukumu 😆😆😆😆Mimba inatungwa siku Kati ya 11 -17 Toka siku ya kwanza ya hedhi Kwa mzunguko wa mwezi husika.
Mwanamke aloingia hedhi tarehe 1/12 ... Huyu mimba inaingia kuanzia tarehe 11/12 Hadi 17/12 .
Mwanamke ambaye hedhi kaingia tarehe 14/12 mimba itaingia kuanzia tarehe 25-30/12 .
Nitawaelezea hapa kama atakua ameingia kuanzia tarehe 14 /12 👇
Sasa kama imeingia tarehe za kuanzia 25-30/12 .
Kwenye Ultrasound , ili kujua Umri wa mimba, Mtaalam ataingizia tarehe ya mwisho ya hedhi yake ambayo ni 14/12 , mpaka kufikia tarehe 28/12 ulipomtomba wewe ,maana yake Kuna wiki 2 .
Kuanzia Tarehe 28/12 ulipomtomba wewe,mpaka Jana ulipopima ni kama wiki 7 na siku 3.
Chukia wiki 7 na siku 3, jumlisha wiki 2 ambazo ninkipindi Toka tarehe 14/12 mpaka tarehe 28/12 ulipomtomba wewe
Utagundua ni wiki 9 na siku 3 unazozipigia wewe kelele.
Kwahiyo Tafuta kwanza kujua Tarehe ya Hedhi.
Sasa mbona bado ni wiki 10 na siku mojahiyo mimba ni yako jamaa angu, kama akili za kuhesabu huna hata chatgpt huijui?View attachment 3241068
Hii hesabu huwa ngumu sana kwa watuMimba haipimwi kuanzia siku ya mwisho nyie kukutana kimwili. Inapimwa kuanzia siku ya kwanza ya mzunguko wake wa mwisho wa hedhi
Ndiyo maana nimekuja kwa wataalamuHii hesabu huwa ngumu sana kwa watu
Unatuchosha! Watu zaidi ya 5 tumekuambia mtoto ni wako lakini unauliza maswali ya kitoto.Sasa mbona bado ni wiki 10 na siku moja
tangu mkutane ni wiki kumi ila mimba ni wiki tisa, hiyo ni kawaida kabisa ,hiyo damu yako acha mambo mengiSasa mbona bado ni wiki 10 na siku moja
Sasa usinifokeeUnatuchosha! Watu zaidi ya 5 tumekuambia mtoto ni wako lakini unauliza maswali ya kitoto.
Wakati mwingine kama hutaki kuzaa na mtu tumia condom sio unalilia kumwagia ndani.
Ngoja tuoneMtoto ni wako buana
Sawa mkuu! Wifi ashapokea simu?Sasa usinifokee
Inawezekana hii?!!View attachment 3241013
Ushapigwa na kitu kizito... Ila karibia siku zingeendana