Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uteuzi unatafutwa sanaKila siku wanazichezea. Wakupe tu uteuzi uishi kwa utulivu.
Wizara ya aridhi walishavimbiwa tayari mpaka wakajisahau.Aliagiza mawaziri wasile wakavimbiwa,wale kwa urefu wa kamba zao.
Anzeni na Biswalo tuone kama mnamaanisha, msituletee michezo tuu ya karata tatuHakuna atakayebakia salama akibainika Kuchezea Fedha za umma
acha uchawa nduguCCM na serikali Yake ni imara Sana ndio maana imekuwa ikichukua hatua za haraka na Kali kwa yeyote atakayebainika kwenda kinyume na maadili ya utumishi wa umma
Watakiona Cha Moto watakao Bainika,Nafikiri uliona baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri licha ya vyeo vyao lakini waliburuzwa mahakamani kujibu mashitaka yaoZinapigwa sana vipi wewe hazijakutembelea?
Suala la mfumuko wa Bei na mikakati ya kupambana nalo Rais Samia anapaswa kupongezwa maana alipambana kijasiri na kuibuka shujaa,mfano kwenye mafuta serikali ilianzisha utaratibu wa makusudi wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi hatua iliyoleta ahueni ya Bei hapa nchini,Na Ikumbukwe kuwa mafuta hayakupandishwa Bei na serikali ya CCM Bali uliotokana na kupanda katika sokonla Dunia kulikosababishwa na Vita ya ukreinWatanzania tunachezewa mno.
Hatujawahi kuwa serious
Mfano mafuta ya diesel ambayo ndiyo yanatumika kwenye mashine na vyombo vya usafiri bei ipo juu.
Gharama za maisha zitaachaje kuwa juu??
Bado tupo kimya na viongozi wetu hawataki kuwajibika wala sisi hatutaki kuwawajibisha.
Wewe kijana acha kuota. Ungekua unaota basi hata vitu vya maana kidogoHakuna atakayebakia salama akibainika Kuchezea Fedha za umma
Mimi nakula kutokana na kazi za mikono yangu na kwa jasho langu kupitia jembe languLuka Luka Luka 🤣🤣🤣, kweli njaa ni mbaya
Basi nenda ukaziguse fedha za umma uone kitakachokupataWewe kijana acha kuota. Ungekua unaota basi hata vitu vya maana kidogo
Mimi naeleza ukweli na siyo uchawaacha uchawa ndugu
Rais wetu mpendwa alimaanisha kuwa kila kiongozi atosheke na kipato chake anachostahili kupata kwa mujibu wa sheria na katiba,siyo kuingia Tamaa ya kujipatia mali kinyume na utaratibu wa kisheriaserikali gani kupambana na mabadhilifu mkuu, hii hi ya "kuleni urefu wa kamba" hii hii ya "hilo nalo kalitizameni" ???!
Teuzi zinakupita tu ndugu wa Mbozi! Kaza butiNenda ukazichezee ili uone kitakacho kukuta Kama hutajikuta unavuta pumzi ukiwa magereza