Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Nyie ndiyo kati ya wale mnaosababisha hao wanaowanunua wakirudi kwao wanaandika "MY AFRICA EXPERIENCE WITH SEX TOUR" Kijana umesomea kuongoza watalii baadae unaanza kujiuza au kuwaimbia wateja wako ili walale, what's this bullshit!.
 
Sio bahili ni utamaduni wao "asiyefanya Kazi na asile"
 
Nyie ndiyo kati ya wale mnaosababisha hao wanaowanunua wakirudi kwao wanaandika "MY AFRICA EXPERIENCE WITH SEX TOUR" Kijana umesomea kuongoza watalii baadae unaanza kujiuza au kuwaimbia wateja wako ili walale, what's this bullshit!.
Kujiuza sio kosa ni hiari ya mteja kununua au kuto.
Kuna utalii wa kufata ngono pia
 
Haa
Ukistaajabu Ya Mussa Utaona Ya Firauni
Yaani Umegonga Kwenye Ugoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…