'Vita havina macho', hao wananchi wa kawaida ndio waathirika wakuu wa vita popote inapotokea duniani.Mafisadi wakiwa na neema hawawakumbuki Raia, ila wakishaanz akufumuana Risasi wanataka kufanya hiyo vita ni ya Nchi nzima wakati sio kweli.
Wajikalie pembeni Miamba ipambane
Trump ni mpuuzi.Hata Donald Trump ni Dictator tyu. Na ameshasema, watashughulikia wachina kwanza, halafu waje kulokota "rare earth" minerals.
Hizi sio vita zamasikini.
Wenyewe banakunywa kofi
KP sio mtu wa mchezo mchezoTOKEA MWANZO UNATETEA HUO UJINGA
Rwanda inachuku madini bureSheria tu za kimataifa zinawabeba ndiyo maana mnajiona mnaweza sana. Tanzania madini si yapo pia mbona amvamii Kama mlivyovamia congo?.
Kuwaondoa m23 kongo ni ndoto za abunuasi, vigogo wa kubwa wa serikali ya drc ndio wanufaikajiCongo wawe serious na mambo yao. M 23 walipofurushwa 2014?, ilibidi waandamwe huko walikokimbilia wanyimwe nafasi ya kupumua.
Mnachezeshwa ngoma msiyoijua na msisahau mnauchaguzi October 😁😁Kuingia Goma kutokea Bukavu ni kipengele sababu miji hii inatenganishwa na ziwa Kivu.
Hapa wanatakiwa kuingilia Nyiragongo. Uzuri hesabu za kuingilia wapi hazipo sababutayari wapo Gomba.
Kinachotakiwa ni kuwapelekea kipigo cha haja, lazima tu watarudi nyuma na mji pekee watakao retreat ni Gisenyi.
Wakikimbilia Gisenyi , maana yake tayari wapo Rwanda (na siku zote ndipo wanapotokea na kukimbilia). Hapa watatakiwa kuongeza nguvu na kasi ya mashambulizi na kutojali mpaka, maana yake na wenyewe watavuka, wakivuka Rwanda itapaniki na kujibu, kitedo cha kujibu inakuwa tayari wameshai drug rasmi Rwanda vitani.
Rwanda ikishakuwa rasmi war mode, na wenye wana activate vikosi vilivyopo kule Bukavu ili viingie Rwanda wakiuvuka mto Ruzizi. Hapo ngoma inakuwa inogile.
Ili Goma itulie inatakiwa watu anaoweza kujitoa ufahamu. Ukijifanya ni mtu wa kutaka ku make sense kamwe eneo lile halitatulia.
Siku zote M23 wakizidiwa, mji wanaokimbilia ni Gisenyi, wakikimbilia Gisenyi wanawaacha. Yaani majeshi ya waasi wakimbilie nchi nyingine na silaha zao halafu nchi hiyo inabaki kiwaaminisha kuwa haihusiki? Ujinga huu.
Ku deal na Kagame inahitaji watu wanaoweza kujifyatua akili kama JK na General Mwakibolwa, an Kagame akishajua anakabiliana watu wa aina ile huwa anakuwa muoga sana. Huufyata mapema.
Elewa neno "Congo wawe serious" nimelitumia ktk upana unaowahusisha na wao.Kuwaondoa m23 kongo ni ndoto za abunuasi, vigogo wa kubwa wa serikali ya drc ndio wanufaikaji
Apo kwenye userious ndiyo hapawezekani😁😁😁Elewa neno "Congo wawe serious" nimelitumia ktk upana unaowahusisha na wao.
Kwa maana hio mpaka sasa wjeshi tishio la SADC ni SANDF ya south africa pamoja na JWTZ ya Tanzania.Tuna mchango wetu katika kujaribu kuleta amani ya Congo, ingawa ni changamoto
TOKA MAKTABA :
29 January 2024
VITA MASHARIKI YA CONGO: Kikosi Kipya cha battalian ya Kitanzania Kilichopo Kivu Kaskazini Kikiwa na Mamlaka ya Kulazimisha amani
View attachment 3214140
Kikosi kipya cha wanajeshi wa Tanzania kimetumwa katika jimbo la Kivu Kaskazini lililokumbwa na vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kama kikosi cha pili cha ujumbe wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC).
Kikosi cha Tanzania kitachukua nafasi ya jeshi la kikanda la Jumuiya ya Afrika ya Mashariki EAC na kuchukua jukumu la kushambulia, kulingana na vyanzo vya kijeshi.
"Wanajeshi wa Tanzania wanawasili ili kuongeza nguvu ya askari wa SADC ambao wana mamlaka ya kulazimisha waasi wakubali amani ," alisema Luteni Kanali Guillaume Ndjike, msemaji wa gavana wa kijeshi wa Kivu Kaskazini.
“Uko pale kupigana na adui, waasi wa M23. Haupo kwa doria za jiji au kufahamiana na watu wa Kongo. Tuko hapa kushughulikia lengo letu,” alisema Meja Jenerali Monwabisi Dyakopu wa Afrika Kusini SADF mkuu wa kikosi cha nchi wanachama wa SADC, katika hotuba yake ya kuwaribisha.
Wanajeshi hawa wa SADC, wakiwa na mamlaka ya kushambulia, watachukua nafasi zilizoachwa na jeshi la kikanda la EAC (Burundi, Sudan Kusini, Kenya na Uganda) kama ilivyoamuliwa na serikali iliyotaja kutoridhika na kuendelea kuwepo uasi katika maeneo yaliyovamiwa M23 na kutokuwa na utulivu.
Wakati huo huo, kikosi cha Afrika Kusini cha SADC ambacho kilikuwa cha kwanza kuwasili Goma Desemba 2023, hivi karibuni kilishambuliwa na kundi la waasi la M23.
Kutumwa kwa wanajeshi wa SADC mashariki mwa DRC kuliidhinishwa wakati wa Mkutano wa 43 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali huko Luanda, Angola.
Kikosi hicho kipya kitaundwa na wanajeshi kutoka Malawi, Afrika Kusini na Tanzania kufuatia kuondolewa kwa wanajeshi 89 wa mwisho wa Kenya wa Jeshi la Kanda ya EAC ambao waliacha ardhi ya Kongo Alhamisi Desemba 21 kupitia Goma
Tofautisha raia na JWTZ. Wale hawacheki na wowote when it comes to business 😂Watanzania mlivyo walaini walaini thubutuni mchakazwe
Inachukua congo Sasa kwanini mnakataa kagame hausikiRwanda inachuku madini bure
Watanzania mlivyo walaini walaini thubutuni mchakazwe
Kwa maana hio mpaka sasa wjeshi tishio la SADC ni SANDF ya south africa pamoja na JWTZ ya Tanzania.