Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

"Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi?"

Tatizo ni zile kauli kwamba Sisi ni matajiri na tunafanya miradi hii kwa kodi za watanzania
 
watanzania hata uwakumbushe aliyoyafanya jpm bado wanaona ndoto sio kweli wacha mungu atuletee ukame ndio utajua kama ulikuwa hujui
... MNAANZA KUOMBA 'NATURAL CATASTROPHIES' ZILIANGUKIE TAIFA YAANI!
POLENI! ... HIZO NI HARUSI ... YAANI KIFO CHA WENGI!
1f605.png
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya

Unayasoma wapi ya kukopa unaouongelea unayoyaongelea kiongozi?

Kama donor country hatukukopa kwenye awamu ya tano, tulikuwa tukitumia pesa zetu wenyewe.

Ninakazia - awamu ya tano hatukukopa kabisa!
 
Alikuwa mwizi,muuaji na asiyependa kuona watu wakiishi vzr kwa haki!

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Bora angeiba tu akaenda zake. Lakini hili la kuua na kutesa wanaomkosoa ni DOA kubwa kwenye uongozi wake. Magufuli alikuwa na nafasi kubwa sana ya kuitwa Rais bora kwa sababu aliyajua vizuri madhaifu ya mtangulizi wake maana alifanya kazi chini yake kwa miaka 10. Lakini kilichompelekea kuruhusu Mauaji, Mateso na ubambikiaji kesi kwa Watanzania wenzake!!!!! Duh! Mungu amrehemu.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Mikopo kila kila Kijiji nchi nzima maisha yalikuwa rahisi Sana tofauti na sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
10 Nyerere + 10 Mwinyi + 10 Mkapa + 10 Kikwete + Samia = 5 Magufuli [emoji3]

This man was a Legend! Uthubutu mkubwa umefanyika katika awamu ya tano.Huyu mwamba ameweka standard ya uongozi/Urais unapaswa uweje.
Hii siyo kweli.
Kajifunze kuhusu Nyerere utakuja kurekebisha hoja yako.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Hamna kitu hapa. Maneno meeeeeeeengi EVIDENCE UNJUSTIFIABLE!
 
Watu kama kina nape ilikuwa wa kufutiwa uanachama muda sana. JK tu anamlea sababu huwa anamtumia. Nakumbuka mzee makamba akiwa katibu mkuu alimuambia nape umelaaniwa mbinguni na duniani, wakataka wamfute uanachama, kumuokoa na dhoruba JK akampa ukuu wa wilaya masasi ili kumlinda.

Lakini akiwa katibu muenezi walitaka wakizamishe chama shimoni. Ni figisufigisu zilizojaa aibu zikishuhudiwa na dunia nzima ndio ziliokoa hicho chama. Ni katika kipindi ambacho ye akiwa mwenezi chama kilipasuka vipande vipande waziwazi.

Ni katika kipindi chake ambacho wanaccm wakienda kwenye vikao walikuwa wanaficha sare wanaenda kuvalia ukumbini. Ilikuwa bora utembee uchi utakuwa salama zaidi kuliko hatari kuu ya kuvaa nguo za ccm.

Ila tumeshuhudia ndani ya miaka mitano namna nguo za ccm zilivyotengeneza ajira maeneo mbalimbali nchini. Hivi vitu kina Nape hawataki kuvisikia. Wao walizoea vya kunyonga.
Watu kama nyinyi ndiyo mnalifanya taifa letu lizidi kuwa masikini wa kutupwa
 
Mpango hapo hawezi chomoka. Probably ndiye mlemgwa pamoja na akina Dotto. Ila swali ni kwamba hii Inawezekana kwenye serikali na Bunge hili? Ile fear aliokuwa ya Magufuli kwa wateule wake inamsaidia sana Maza kufanya kazi zake.
Kufanya kazi kwa uoga au hofu ni ujinga mtupu na kama taifa hatuhitaji kuendelea kuishi kwenye utawala wa kuishi kwenye hofu
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND
Hata hio awamu ya tano kulikua na majizi makubwa na misuse ya resources. Na wizi huenda ukawa makubwa zaidi, let's wait and see
 
Mimi ninachowashangaa nyie ni kwamba sasa kama pesa haijaibiwa si ndiyo vizuri ukaguzi ufanyike kama alivyosema Nape ili tujue mbivu na mbichi? Mbona mmepaniki? Kama amejenga hayo yote tuachie sasa tume huru ifanye ukaguzi kujua je ni kweli SGR imetumia this much? Ni kweli kwamba barabara zimetumia this much?
Kwani CAG alikuwa hakagui? repoti iliyosomwa baada ya JPM kufariki haikuwa ya ukaguzi?
 
Sasa kwanini alikuwa anajikopea akiwa chumbani kwake..!??

Kwani nchi ilikuwa yake peke yake!??

Acheni kutetea ujinga.
Si angekuwa wazi tuhh!!??
Rais wa sasa, makamu wa Rais wa sasa, waziri mkuu wanajua. Baraza la mawaziri ambao 60% ni wale wale walikuwepo.
 
Kashfa nyingi ziliibuka wakati wa JK kwa sababu aliruhusu uhuru wa kuongea,Magu hakuruhusu huu uhuru ndio maana unaona wanaanza kuongea sasa hivi.

Believe me,hakuna kipindi wizi umefanyika kama awamu ya Magu,awamu hii inapita awamu zote kwa wizi na ufujaji pesa.

Be a critical thinker you'll understand.
kwa sasa kuna uhuru wa kuongea na uhuru wa vyombo vya habari, kwa kuwa umesema beleive me tunaomba utupe evidence ya huo wizi awamu ya 5
 
Hapo mtu kaomba tu uchunguzi wa matumizi ya mikopo watu wanakuja na mada kibao zilizo nje ya hoja.

Akija mwingine akaomba uchunguzi wa bei za ndege na utaratibu wa kuzinunua napo zitakuja mada kibao zilizo nje ya hoja.
Nape alikuwa mbunge kipindi cha JPM, kwa nini hakusema pale bungeni kwa sababu wabunge wetu tumewapa kinga. alishindwa ni wakati wananchi wa MTAMA tulimpeleka kutetea haki zetu.
 
Sasa kwanini alikuwa anajikopea akiwa chumbani kwake..!??

Kwani nchi ilikuwa yake peke yake!??

Acheni kutetea ujinga.
Si angekuwa wazi tuhh!!??
Kama ingekuwa chumbani basi tusingejua hizo data kwa sababu zipo BOT tangu 2020
 
Ebu wacha kurohoja ujinga watu wameuliza na wanataka kujua hiyo mikopo ilitumika inavyo paswa?

Inakuwaje mnaogopa kuchunguzwa kama siyo hofu ya kuumbuliwa kwa mliyo yafanya gizani?

Hakuna awamu iliyo kumbwa na ufisadi hapa tanzania zaidi ya awamu ya 5.
Repoti za ukaguzi si zipo si ukasome.
 
Back
Top Bottom