Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni msemaji mkuu wa serikali?Wewe ni Gerson Msigwa??
Kama ni mgonjwa anathibitisha ubinadamu wake. Getting sick doesn't mean that one is dead.
Leo ndio nimesikiliza haya maono ya Lema hadi nikatetemeka kwa woga.Mwanga wa milele umwangazie na pumziko analostahili umpatie eeh Mwenyezi Mungu
Really!!HEART ATTACK,but everything is under control.
Afe tu
Wewe endelea kuwazia Chadema, maombi mabaya sana yako ndani ya wenye narudia, wenye ccm wenyewe.Kama uzushi tu wa kwamba anaumwa wameshangilia namna hii Twiter ,vipi siku anasitaafu?
Itakuwa kicheko kikubwa kwa mafisadi chadema
Mnasema "it is not done till is done". Mbona haraka, muda ukifika watasema tu.Hii ni barua Msigwa ameambiwa aandike