Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
He is among the 6%. Don't underestimate the power of prayer, especially from the people he has uplifted through his dedication to serve the public.
Sisi public tuombe Mungu afanye nini maana hatujui kinachoendelea!
 
Kijana
Kumbe Rais wa nchi hapasi kuumwa / kuugua na akiugua tuu nchi inakuwa hatarini!!
Sasa mkuu hujui umuhimu wa taasisi ya uraisi?chochote hatarishi kiachotokea kwa raisi kinatishia usalama wa nchi.
 
Alitakiwa aende Uingereza akose michango AFE siyo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hawezi kufa kirahisi hivyo kwani muda wote kabla ya kufa huko alipata wapi mpunga? Kifo ni mpango wa muumba kila ndege huruka kwa mbawa zake.
 
Mimi naona tokea majuz mpka sku inayofaa tungelikosa internet nchi nzima potelea mbaliiii
 
Kuna whatsapp zinasambaa zinasema kuwa, habari za JPM kuwa amefariki si za kweli bali alipata heart attack na amekimbizwa Dar na helicopter ya jeshi then Afrika Kusini then Germany...

Huo ujumbe unaonesha umetoka kwa Vicky Emmanuel Nchimbi, sifahamu ukweli wake na unaambatana na ujumbe wa kigogo unaosema "wanangoja nini kumpa kimeo mama Samia"?

Sina uwezo wa kuapandisha hapa.

Na mwingine unasema...

There have been reports of men suffering heart attacks or chest pain after taking the popular drug V.
Bibi shikamoo vipi siku hizi huji msoga kutusalimia wajukuu zako
 
Unajitekenya na kucheka mwenyewe 😳
Mtu wa kwenu huyo ni mgeni au kijana
all in all ugonjwa ni ugonjwa sasa mambo yabadilike, upendo na amani vifuate
watu wasameheane waliotishiwa kuuawa waliosingiziwa kesi, waliokosa vyeti halali, waliobomolewa, waliotumbuliwa ni zaidi ya 25% ya watanzania wanaumizwa.
Ubabe utaisha na muda utatamalaki kwa maombi yetu na muda ukiwadia atafuata mwingine kama Katiba yetu inavyosema tena kwa demokrasia.
Wewe wa Masasi acha kulia kila masika na mvua zake mafuriko na neema ziwafikie na wengine basi
 
Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.

Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.

Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.

Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen

Afie huko!
 
Lisemwalo lipo na kama halipo laja. Haiwezekani kuitisha tu kikao cha baraza la Mawaziri eti Bwana mkubwa ameugua ghafla. Kikao hiki hakiitishwi hovyo eti kijadili afya ya mtu. Nadhani kuna kubwa zaidi ya hili.

Sasa nikiangalia viongozi wawili wa juu, kuna uwezekano mmoja wao kumrithi bwana mkubwa kwa kipindi cha mwaka moja uliobaki. Je wasawahili wanarudi tena ktk siasa zetu!

Let us wait the truth na muda utaongea.
 
Ni siku ya tatu leo kumekuwa na taarifa zinazotolewa na baadhi ya watuamiaji wa mitandao ya kijamii kuhusu afya ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania alipokuwa ktk ziara mikoa ya kusini.

Na wengine kufika mbali kabisa kwa kuzusha kabisa taarifa za kifo kitu ambacho baadhi ya wapinzani wa kasi ya awamu ya tano wamekuwa wakifurahi na kushangilia katika mitandao na kuleta taharuki majumbani na mitaani kiasi watu wengi kuuliza Nini kinaendelea.

Taarifa hizi zimekuwa zikitolewa na watz ndani na nje ya nchi wakati Ikulu haijatoa taarifa yoyote kuhusu kuwa Rais ni mgonjwa.

Nadhani tuna sheria na kanuni kuhusu kutoa taarifa hasa zinazohusu usalama wa nchi Sasa hawa wanaotoa taarifa za kuzusha tu toka katika chanzo ambacho hakijulikani na kuleta taharuki wanatakiwa kufanywa Nini na mamlaka husika kisheria.

Nadhani mamlaka husika Kuna haja ya kutoa mtu mmoja kama mfano ili liwe fundisho kwa wengine wenye nia kama hii.

Ukisoma mitandao ya kijamii ndiyo utajua Nini kinasambazwa na kuleta maneno chini kwa chini na taharuki mpaka makanisani watumishi wameanza maombi ya kukemea kinachoendelea.

Kama huna taarifa acha kuzusha taarifa na kama una taarifa sahihi basi jitoe muhanga kwa kutoa taarifa kamili inayoeleweka sio kutoa taarifa za kuwachanganya watz.

Watz wengi wanaelewa sana nia mbaya za watu kwa serikali hi na kama ndiyo kutafuta mtaji wa kura ktk uchaguzi wa November basi hapo mmepata zero kabisa.

Watu wa Cyber happy mna kazi ya kufanya kuondoa uchafu kama huu katika nchi yetu.

Ni muhimu kuwa na taarifa za kweli kuliko uzushi.....tena wakome wote wenye nia mbovu na Serikali.
Shilingi ina pande mbili.
Kuna upande wa kusifu na upande wa kukosoa. Itabakia kuwa hivyo milele.
 
Mimi mkristo naambiwa ktk biblia kuomba bila kukoma,kama nakukera mkuu zima data wewe
Mungu huombwa mara moja tu na husikia. Sasa wewe hiki unacho kifanya umu ni kumkufuru Mungu tu chakufanya zima data subiri majibu aliye kwambia Mungu huombwa uku kwenye mitandao ni nani?

Na aliye kwambia kuwa Rais anaumwa ni nani?
 
*Wapiga madili

*Wapinzani

*Wasomi wanaosubiria ajira zaidi ya miaka mi4

*Waliotumbuliwa

*Vyeti feki

*Wasifiaji wanafki wenye uchu wa madaraka

Bado tu unadhani ataendelea kupendwa na kila Mtu ?

Tumuombee Rais wetu maana vita aliyonayo si ya kitoto hata kidogo.
Wanataman RAIS afe waendeleze madili yao

Huu ni upepo tu utapita , wapinzani tushawazoea
 
Hii imedhihirisha kuwa Rais John Joseph Pombe Magufuli ni kipenzi cha watanzania yeye anawapenda na wao wanampenda baada ya Rais wa watanzania kujichimbia ikulu kama kawaida yake

Watanzania wameanza kuwa na hamu naye wanahisi kukosa kusikia sauti ni kama kupoteza ala nzuri masikioni mwao,
Ni hakika 2020 Magufuli atachukua nchi kweupe saa asubuhi kwa mahaba wanayoyaonyesha!

Magufuli habagui watu kwa vyama wala dini wote anawapa maendeleo!

Nani kakwambia wananchi wote tunampenda?

Atleast myself hapa,will never like that nigga!

Never!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom