Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

Chuki ni kama hiyo uliyoiwasilisha hapa,personal attack,kwanini usijikite kwenye mada na ukajadili mada badala ya kumjadili mleta mada?

Kwani mwisho thd ngapi ambazo mtu anaruhusiwa kufungua kuhusu bandari?

Wewe ulitaka mleta mada apitwe na nani kwa kufungua thd za bandari ili wewe uone ndio sawa?

Kwa hiyo ukifungua thd za bandari ndio unatumika? Vipi na wale wanaofungua thd za kupinga nao una amini kua wanatumika? Au unaamini wa upande mmoja tu kua ndio wanatumika?
Unajua mipasho tu, empty head.
 
Chuki iko wapi zaidi ni kwamba huyu ajuza anatumika hivi kuna mtu ambae amempita kwa kufungua thread za kuhusu bandari humu jF?
Sijazihesabu, wewe zihesabu utuletee jibu.


Wakati unazihesabu, Sasa rudi kwenye mada. Achana na ajuza.

Akili kubwa inajadili maendeleo.
Akili ya kawaida inajadili matukio.
Akili ndogo (mbovu) inajadili watu.
 
Kama unataka mjadara uwe mzuri na DPword tuione ya maana,

Utuambie share yetu kama nchi ni ngapi kwa mwezi ama kwa mwaka kwa mjibu wa mkataba?

Utuambie, ni lini mkataba utakoma?

Utuambie, kwa kuwa mkataba unamanufaa makubwa, kwa nini bandari za Zanzibar hazikuingizwa kwenye mkataba huu wenye mafaida kibao?

Utuambie, Ni kwa nini ziwe bandari zote za bara, nchi kavu na majini?

Kwa nini kwa nini kwa nini unashabikia mkataba unaowapa warabu milele yote?

Inasemekana kwamba, kwenye silabas zetu kumeingizwa lugha ya kiarabu, Hii ni kusema tayari tunaanza kuwa chini ya mwarabu au ni kujifunza lugha ambayo itaitawala Tz
Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zake
 
Jambo ni jepesi sema upande mmoja umezidiwa na sababu ni ile ile toka enzi za bwana(Transparency).

Hakuna anayepinga uwezekaji ata waje waarabu wainvest kila kona ya nchi hii hakuna anayepinga ila maswali ni haya: Je,mkataba au makubaliano kama wasemavyo ukomo wake lini?Je,kuna maelezo yoyote ya namna watanzania watapata kitu cha ziada tofauti na ilivyokuwa mwanzo kabla ya ujio wa hawa wazee mashariki ya kati
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.


Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Aloo
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.


Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Unapotanguliza "mooring" ya jahazi lako kwa kuandika wale wa JAMBO watoe mawazo na "wapya" wa JF watulize mizuka,una maanisha hao watu wa pande mbili wana akili tofauti na Uraia tofauti?Nimeanza kuamini "uzee ku..anin."!
 
Ulishaonyesha msimamo wako lkn huyohuyo bado unaleta mjadala wa nini tena, au umegundua upepo utabadirika soon.
Msimamo wangu upo wazi, pia ntaka nifahamu na misimamo na sababu za wengine.


Ulewa wako na wangu ni tofauti, au tupo sawa kiuelewa? Unaloweza kuliona wewe jema mimi naweza kuliona baya, na nnaloweza kuliona mimi jema, wewe uanweza kuliona mabaya. Ndiyo maana tnajadili hapa.


Lazima ifike pahala tuwe na "common grounds" zinazozungumzika kwa faida ya Tanzania.

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
  1. Only give out Short leases
  2. Hakuna kumpa mtu exclusivity watu tofauti wanaomba tender za muda mfupi mfupi
  3. Transparency kila kitu kiwe wazi
  4. Percent yoyote atakayopewa mdau yoyote isizidi 49 percent (state bado iwe na say na sio vinginevyo)
  5. Hii ni short-time tujifunze sio lazima tubinafsishe mambo yote tunaweza ku-outsource baadhi ya kazi ambazo ni ngumu na tu-concentrate kwenye rahisi sio kuwaachia the kitchen sink
  6. Tuache tabia ya kusema fulani kafanya na sisi tufanye ifike wakati na sisi tuwe mfano waseme fanyeni kama watanzania
  7. Tujiulize kwanini hatuwezi ili tutibu huo ugonjwa ili kesho tuweze
  8. Tu-plan na sisi sio kufanya ndani tu (tuna bandali nyingi sana) maybe ifike wakati sababu tuna mashamba darasa tuwe wabobezi ili na sisi tuitwe kwenye kuwafanyia wengine (sababu tatizo letu kubwa ni ku-settle for mediocrity)
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.


Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
JokaKuu Bams Kalamu Nguruvi3
 
FaizaFoxy afadhali Leo umekuja kwa utaratibu mzuri. Kwa mtazami wangu, hili la Bandari baada ya Serikali kuchakata na kufikia uamuzi wa uendeshaji wa bandari uwe chini ya wageni ingetangaza nia yake ya (intention) kuwapa wawekezaji bandari zake huku ikitoa manufaa ya kufanya hivyo na muda wa uwekezaji huo. Hiyo ingefanya wananchi ktk makundi kutoa maoni, ushauri na mapendekezo yao. Bunge nalo lingepata fursa ya kushauri Serikali.

Lakini Sasa hali ni tofauti, gizani tayari Serikali ilishasaini makubalino ambayo huwezi kuyabadilisha tena. Mwekezaji tayari ana mamlaka makubwa ya kuingia HGA bila kuathiri IGA ambayo ni dira yake. Hapo wananchi watashauiri nini sasa zaidi ya kukataa uwekezaji huo?!

Ilitakiwa illetwe rasimu (draft) IGA ili wananchi wachakate na kushauri. Then inakuja IGA yenye mapendekezo ya wananchi wa Tanganyika.
 
kutoendesha hao Dpw haimaanishi kilichokubaliwa hawakipati. Ni suala la muda tu.
Muhimu vipengere tatanishi viondolewe katika hayo makubaliano/mkataba kificho; ila sipingi uwekezaji wa Dpw
Hilo mbona limeshatolewa ufafanuzi mara nyingi sana.

Mfano kipengele kipi kimoja amabacho majibu yake hayajakuridhisha na unataka kiondolewe. Tuwe "specific".
 
FaizaFoxy afadhali Leo umekuja kwa utaratibu mzuri. Kwa mtazami wangu, hili la Bandari baada ya Serikali kuchakata na kufikia uamuzi wa uendeshaji wa bandari uwe chini ya wageni ingetangaza nia yake ya (intention) kuwapa wawekezaji bandari zake huku ikitoa manufaa ya kufanya hivyo na muda wa uwekezaji huo. Hiyo ingefanya wananchi ktk makundi kutoa maoni, ushauri na mapendekezo yao. Bunge nalo lingepata fursa ya kushauri Serikali.

Lakini Sasa hali ni tofauti, gizani tayari Serikali ilishasaini makubalino ambayo huwezi kuyabadilisha tena. Mwekezaji tayari ana mamlaka makubwa ya kuingia HGA bila kuathiri IGA ambayo ni dira yake. Hapo wananchi watashauiri nini sasa zaidi ya kukataa uwekezaji huo?!

Ilitakiwa illetwe rasimu (draft) IGA ili wananchi wachakate na kushauri. Then inakuja IGA yenye mapendekezo ya wananchi wa Tanganyika.
Hilo unalosema mbona siyo jipya kwa banadari ya Dar, ilikuwepo kampuni imesahiliwa Tanzania inatwa TICTS lakini hiyo ni kampuni ya nje.

Na hilo hilo ndilo litafanyika kwa DP World, limejibiwa sana hilo, kuwa wafunguwe kampuni, tena juzi Possy kasema hawa wameambiwa kampuni itayofunguliwa Tanzania na iwekwe pia kwenye soko la hisa ambapo kila Mtanzania atakuwa na fursa ya kununuwa hisa, kitu ambaxho TICTS hawakukifanya kwa miaka 22.

Silioni tatizo hapo kwa kuwa mkataba wa uendeshaji bado haupo.

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Back
Top Bottom