Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Kwa kipi wewe ulichokichanganua?Wewe kaa pembeni huna akili ya kujadili vitu vikubwa,uwezo wako wakuchanganua mambo ni mdogo sana.
Kama unataka mjadara uwe mzuri na DPword tuione ya maana,
Utuambie share yetu kama nchi ni ngapi kwa mwezi ama kwa mwaka kwa mjibu wa mkataba?
Utuambie, ni lini mkataba utakoma?
Utuambie, kwa kuwa mkataba unamanufaa makubwa, kwa nini bandari za Zanzibar hazikuingizwa kwenye mkataba huu wenye mafaida kibao?
Utuambie, Ni kwa nini ziwe bandari zote za bara, nchi kavu na majini?
Kwa nini kwa nini kwa nini unashabikia mkataba unaowapa warabu milele yote?
Inasemekana kwamba, kwenye silabas zetu kumeingizwa lugha ya kiarabu, Hii ni kusema tayari tunaanza kuwa chini ya mwarabu au ni kujifunza lugha ambayo itaitawala Tz