Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.


Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Leo tuache jazba ? Unaomba poo ???

FAIZA FOXY HUNA moral authority ya kuasa uchangiaji wa kistaarabu na staha hata siku moja..

Ni kinara wa thread za udini, kejeli, unyanyasaji na dhihaka.

Jina lako ni ubini na utambulisho wa mada zinazoshusha hadhi ya jamvi kama MNAONITAKA NJOONI HUKU MNITONGOZE.

Kwenye sakata la DP World umenywea ghafla kwa sababu umezidiwa hoja, umezidiwa matusi, dhihaka, na idadi ya wachangiaji wanaopinga mkataba; kila kitu kwenye mada hii umezidiwa.

Watanzania wengi huchukulia mambo kijuu juu na kusahau rekodi ya mtu, lakini kwa watu makini huwezi kuwapumbaza na ughafla wa maoni ya kistaarabu.

Again, wewe FAIZA FOXY of all the people, HUNA MORAL STANDING ya kuwa voice of reason hapa JF.
 
Leo tuache jazba ?

Unaomba poo ???

FAIZA FOXY HUNA moral authority ya kuasa uchangiaji wa kistaarabu na staha hata siku moja..

Ni kinara wa thread za udini, kejeli, unyanyasaji na dhihaka.

Jina lako ni ubini na utambulisho wa mada zinazoshusha hadhi ya jamvi kama MNAONITAKA NJOONI HUKU MNITONGOZE.

Kwenye sakata la DP World umenywea ghafla kwa sababu umezidiwa hoja, matusi, dhihaka, na idadi ya wachangiaji wanaopinga mkataba; kila kitu kwenye mada hii umezidiwa.

Watanzania wengi huchukulia mambo kijuu juu na kusahau rekodi ya mtu, lakini kwa watu makini huwezi kuwapumbaza na ughafla wa maoni ya kistaarabu.

Again, wewe FAIZA FOXY of all the people HUNA MORAL AUTHORITY ya kuwa voice of reason hapa JF.
Yoye hayoi mawazo yako na sina sababu za kujadili yasiyokuwepo kwenye mada.

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Ni kweli, mpaka makubaliano ya mikataba midogo midogo inatapotiwa saini.
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.


Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Kama DP World wakiwa wawekezaji na waendeshaji wa bandari kwa mkataba usio na kasoro , na kwa kufuata taratibu na sheria zenye manufaa kwa Tanzania hakuna shida.
Changamoto iliyopo ni mkataba unaobishaniwa.
Hata hivyo, ni rahisi sana kuweka sawa jambo hili kwa upande wa serikali kujibu hoja zinazotolewa (zinazoonekana zina mashiko) kwa kueleza marekebisho itakayofanya, ikiwa ni pamoja na kurudisha bungeni.
 
Sijazihesabu, wewe zihesabu utuletee jibu.


Wakati unazihesabu, Sasa rudi kwenye mada. Achana na ajuza.

Akili kubwa inajadili maendeleo.
Akili ya kawaida inajadili matukio.
Akili ndogo (mbovu) inajadili watu.

Nawe kujibu hivyo hutofautiani huyo uliyemjibu.

Mada yako kuu, kama walivyoichangia baadhi ya WanaJF, ni marudio ya utetezi wa uwekezaji wa DPW kwenye bandari za Tanzania bara kuwa una faida, ili kuwaondoa kwenye reli wanaopinga IGA kuwa na vifungu batili (naamini hutorudia swali lako ulilozoea "vifungu vipi?" au "umeusoma?").
 
Chuki ni kama hiyo uliyoiwasilisha hapa,personal attack,kwanini usijikite kwenye mada na ukajadili mada badala ya kumjadili mleta mada?

Kwani mwisho thd ngapi ambazo mtu anaruhusiwa kufungua kuhusu bandari?

Wewe ulitaka mleta mada apitwe na nani kwa kufungua thd za bandari ili wewe uone ndio sawa?

Kwa hiyo ukifungua thd za bandari ndio unatumika? Vipi na wale wanaofungua thd za kupinga nao una amini kua wanatumika? Au unaamini wa upande mmoja tu kua ndio wanatumika?
Maswali yako yote kwa jamaa yanakosa logic.

denooJ kakuuliza maswali ambayo majibu yake hujayajibu katika mtiririko sahihi.

Wanaopinga Wana hoja na kila siku wanazianisha hapa,ila baadhi wanageuza kuwa "mnakataa mkataba wa DP world kisa ni waarabu,mna chuki na waarabu,mna chuki na dini". Kiuhalisia wabongo siyo watu wa kupinga mikataba,kwa Nini uwe huu tu?

1. Mama yenu kafanya ziara ngapi za uarabuni na Hakuna aliyeongea hata mmoja,why ije kuwa inshu ya mkataba na DP world ndiyo ipigwe kelele na kupingwa? Tatizo lipo.

2. Waarabu wamekuja na madege yao pale Kia kuchukua wanyama na watz wakapiga makelele vile vile,kwa nini mnaomtetea mama leo mnaingiza maneno "wanaopinga Wana agenda za kidini". Why leo mnakuja na hoja dhaifu ya dini wakati wanaopinga walimpinga pia katika swala la waarabu kuja na mandege ya cargo?

3. Hawakupigwa wamasai na kufukuzwa pale ngorongoro na watu wakapinga na kupiga makelele Sana kwamba mama anawafukuza wamasai na kugawa kipande cha nchi kwa wajomba zake waarabu? Kwa nini kipindi kile mlipomtetea hamkusema Kuna chuki ya udini badala yake mnakuja na hoja hii dhaifu leo?

Tuwe wakweli,kwenye inshu ya bandari mama and yenu kapuyanga,FULL STOP.
 
Nawe kujibu hivyo hutofautiana huyo uliyemjibu.

Mada yako kuu, kama walivyoichangia baadhi ya WanaJF, ni marudio ya utetezi wa uwekezaji wa DPW kwenye bandari za Tanzania bara kuwa una faida, ili kuwaondoa kwenye reli wanaopinga IGA kuwa na vifungu batili (naamini hutorudia swali lako ulilozoea "vifungu vipi?" au "umeusoma?").
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Kama unataka mjadara uwe mzuri na DPword tuione ya maana,

Utuambie share yetu kama nchi ni ngapi kwa mwezi ama kwa mwaka kwa mjibu wa mkataba?

Utuambie, ni lini mkataba utakoma?

Utuambie, kwa kuwa mkataba unamanufaa makubwa, kwa nini bandari za Zanzibar hazikuingizwa kwenye mkataba huu wenye mafaida kibao?

Utuambie, Ni kwa nini ziwe bandari zote za bara, nchi kavu na majini?

Kwa nini kwa nini kwa nini unashabikia mkataba unaowapa warabu milele yote?

Inasemekana kwamba, kwenye silabas zetu kumeingizwa lugha ya kiarabu, Hii ni kusema tayari tunaanza kuwa chini ya mwarabu au ni kujifunza lugha ambayo itaitawala Tz

Makubaliano ya IGA kila mtu anabaki na cheke, hayana shares wala mgawanyi wa sshares.


Litapokuja suala la mkataba wa uendeshaji, kuna mambo yameshauriwa na wasenahi wa serikali wamesema yanafanyiwa kazi, nayo ni:

DP World wasajili kamouni Tanzania na ikiwezekana iweke shares soko la mitaji ili Waytanzania wanunuwe.

Wengine wameshauri Tanzania waunde kampuni iingie ubia na DP World kwa shuguli zitazihusu bandari ya Tanzania.


Yote hayo yanawezekana, yakifikia hatua hiyo ndipo tutakapojuwa kama kuna shars .


Lakini, kumbu a kuwa DP Wor;d iundwe kam[uni isisundwe kam[uni, yeyen lazima ayalipia maeneneo atayokodishga kyfanyia huduma zake. Pia ni lazima serikali kama kupitia PTA itapokea mapato yana yowahusu kuhusu kodi za mapato. Hayo hayawahusu DP WSorld.

Natumaoi umenielewa.
 
Sijaona hilo kabisa, wala sijaona hata neno "Tanganyoka", sidhani hata kama kuna nchi inayoitwa "Tanganyika" leo hii.

Hata Kimataifa utaingia na nchi nyingine mkataba au makubaliano na nchi isiyokuwepo?

Nakupa darsa dogo tu:


Ukiona kuna mkataba wowote unaohusisha nchi mbili zilizo wanachama wa Umoja wa Mataifa, (integovernment au Bilateral agreements)elewa kuwa huo mkataba unalindwa na sheria na maazimio ya Umoja wa Mataiafa. Usiwe na shaka, hata uwe na upendeleo kwa mmoja au una mnyima haki mmoja basi haki yake utapatikana kwa nguvu za Umoja wa Mataifa.
sasa mfano; tuchukulie tumepata faida fungu flan kutokana na shughuli za Dpw kwa mwaka flan, fungu lake linaingia kwa azina ya nchi Tanzania(katiba inasema jambo la muungano) swali linakuja; na Zanzibar mapato yao ya bandari wanaingiza kwenye mfuko huu huu wa azina ya Tanzania au inakaa kule kwa serikali ya zanzibar?
 
Mkuu Proved , laiti mjadala ungekuwa 'live' ningeshawishika sana kujadiliana na FF
Kwasasa nimeona hoja nyingi za msingi kaziruka , anajibu maoni.

Kwa mwendo huu, I am out
Sujayaruka kwa makusudi, nairudia kila post, labda sijaifikia unayosema nimeiruka, wachangoaji ni wengi kuliko spidi yangu ya kujibu. Na huu mjadla wa wazi, unapoona nimeruka unajibu wewe kwa utashi wako.
 
Maswali yako yote kwa jamaa yanakosa logic.

denooJ kakuuliza maswali ambayo majibu yake hujayajibu katika mtiririko sahihi.

Wanaopinga Wana hoja na kila siku wanazianisha hapa,ila baadhi wanageuza kuwa "mnakataa mkataba wa DP world kisa ni waarabu,mna chuki na waarabu,mna chuki na dini". Kiuhalisia wabongo siyo watu wa kupinga mikataba,kwa Nini uwe huu tu?

1. Mama yenu kafanya ziara ngapi za uarabuni na Hakuna aliyeongea hata mmoja,why ije kuwa inshu ya mkataba na DP world ndiyo ipigwe kelele na kupingwa? Tatizo lipo.

2. Waarabu wamekuja na madege yao pale Kia kuchukua wanyama na watz wakapiga makelele vile vile,kwa nini mnaomtetea mama leo mnaingiza maneno "wanaopinga Wana agenda za kidini". Why leo mnakuja na hoja dhaifu ya dini wakati wanaopinga walimpinga pia katika swala la waarabu kuja na mandege ya cargo?

3. Hawakupigwa wamasai na kufukuzwa pale ngorongoro na watu wakapinga na kupiga makelele Sana kwamba mama anawafukuza wamasai na kugawa kipande cha nchi kwa wajomba zake waarabu? Kwa nini kipindi kile mlipomtetea hamkusema Kuna chuki ya udini badala yake mnakuja na hoja hii dhaifu leo?

Tuwe wakweli,kwenye inshu ya bandari mama and yenu kapuyanga,FULL STOP.
Kwahiyo wewe ndio unapanga humu jf kua maswali gani yana logic na yapi hayana logic?

Wewe hayo maswali yako uliyoweka hapa ndio unaona yana logic? Nani amekupa hayo mamlaka ya kutathmini maswali ya watu na kutoa conclusion kua yana logic au hayana?

Huyo uliyemtag anazunguka na viswali vyake vyakipumbavu kila thd na kila akijibiwa ndio kwanza anakomaza fuvu,huyo ameshajikoki kubishana na kutokukubali,so kumjibu au kumuelewesha ni kazi bure,

Ukitaka heshima yangu iendelee kwako,basi usirudie tena kujudge maswali yangu kama yana logic au hayana coz huna mamlaka hayo.
 
Mimi sidhani kama Watanzania hawataki wawekezaji. Isipokuwa ni vile tu wamechoshwa na hii mikataba ya Kimangungo, inayofanywa na watawala wetu baada ya kupewa rushwa.
Unajuwa wote manongelea mkataba kwa sabau lugha ya Kiswahili bado ipo finyu.

Kuna makubaliano = Agreement.

Kuna mkataba = Contract.


Tusiyachanye hayo mawili. Niayaonayo mimi mpaka sasa ni makubaliano, bado sijaona mkataba. Ndiyo nikasema:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Ajabu sana kitu kama Watanzania wamekikubali haitaji nguvu nyingi kukipaka rangi kiwe cheupee.
Watanzania tupo millioni 60 kila mmoja namuono wake na kila mmoja na jinsi anavyolishwa ujinga au ujanja na anao waamini. Ndiyo maana tunalo binge linalotutungia sheria. Na makubaliano yamepelekwa bungeni. Mimi narudia:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Hujui kitu. Kila siku nikikuuliza kama umewahi hata kuusoma ule mkataba wa hovyo wa bandari, unanijibu mimi nilikuwa mpigaji bandarini!.

Nikikuuliza tena, kama mimi ni mpigaji unanifahamu kwanini usiwaite polisi wanikamate, kisha nifunguliwe mashtaka mahakamani, huna jibu!.

Hii inaonesha jinsi mnaotetea ule mkataba wa hovyo, akiwemo FaizaFoxy mlivyoishiwa hoja, mnaruka ruka tu.
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Nianze na wewe madam mheshimiwa.
Majibu ya nyodo yapumzishe kwanza

ntarejea kujadili
Nimekuelewa.

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Back
Top Bottom