Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

Unajuwa wote manongelea mkataba kwa sabau lugha ya Kiswahili bado ipo finyu.

Kuna makubaliano = Agreement.

Kuna mkataba = Contract.


Tusiyachanye hayo mawili. Niayaonayo mimi mpaka sasa ni makubaliano, bado sijaona mkataba. Ndiyo nikasema:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Kwahiyo Bunge liliridhia makubaliano?
 
Biashara isiyo na ukomo kuwaachia waarabu ni utumwa wa kijinga.
Kweli kabisa. Hakuna biashara isiyo na ukomo. Mpaka sasa hatuna mkataba wa kibiashara, au wewe unaufahamu tunao?

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Kwahiyo Bunge liliridhia makubaliano?
Bunge liliridhia tena siku hizi majadiliano ya Bunge ni mubashara "live" Nisome tena kisha ujibu:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
Nimekuelewa.

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Nimejiuliza kuhusu DP World kama taratibu za kumpata ilitangazwa tenda kama taratibu zetu zinavyotaka au utaratibu gani ulitumika?
 
Jambo ni jepesi sema upande mmoja umezidiwa na sababu ni ile ile toka enzi za bwana(Transparency).

Hakuna anayepinga uwezekaji ata waje waarabu wainvest kila kona ya nchi hii hakuna anayepinga ila maswali ni haya: Je,mkataba au makubaliano kama wasemavyo ukomo wake lini?Je,kuna maelezo yoyote ya namna watanzania watapata kitu cha ziada tofauti na ilivyokuwa mwanzo kabla ya ujio wa hawa wazee mashariki ya kati
Makubaliano yamesema ukomo ujadiliwe na uainishwe kwenye mikataba ya kazi.

Umewekwa ukomo wa kujadiliwa hayo kwenye kifungu cha 5:4 cha makubaliano, ndani ya miezi 12, Kimojawapo kijulikane. Au mkataba unavunjwa au mkataba utaisinisha vinginevyo.

Hiyo mikataba ndiyo inajadiliwa hivi sasa, na Waziri Mkuu kishatangaza, kasema mkataba wa uendeshaji utakuwa na ukpmo, hautakuwa bila kikomo kama wengi walivyoaminishwa.
 
Miparaganyiko kama hiyo ndiyo huondolewa na haya makubaliani ya awali,
Hata mtu ukitaka kucheka, inakuwa ngumu sana kucheka huku moyoni unasikia maumivu.

Huu mstari uliouandika hapa kweli unauchukulia kuwa na maana ya unafuu kwa Tanzania, kwa "Makubaliano" kama yale yaliyoandikwa ndani ya IGA?

Hivi watu kwa nini hawataki kutumia vizuri akili zao walizo nazo kichwani?

Unaona kabisa ukitokea "mparaganyiko" kati ya TPA na DP World, nafuu ya Tanzania ni kukimbilia kwa "Makubaliano" kama yalivyoelezwa ndani ya 'IGA'?

Hata kama ni kutaka kuchanganya watu wenye akili hafifu, hii haiwezi kamwe kuwa ndiyo njia sahihi.
 
Lione swali lililoulizwa, unalo jibu au una swali lako tulijadili? Au mawazo yako tuyajadili. Hao wanaoona "haya" achana nao.
Tender ya kuwapata DP world ilitangazwa lini? Na ilikuwaje hadi wakapatikana wao? Makampuni mengine kwenye hiyo tender walikuwa akina nani?
 
Sasa mtu kama huyu ambae anaonyesha wazi kabisa chuki yake dhidi ya race nyingine utamfahamishaje au utajadili nae nini?
Wewe achana na kujadili mtu au watu, wewe jadili mada:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
 
  1. Only give out Short leases
  2. Hakuna kumpa mtu exclusivity watu tofauti wanaomba tender za muda mfupi mfupi
  3. Transparency kila kitu kiwe wazi
  4. Percent yoyote atakayopewa mdau yoyote isizidi 49 percent (state bado iwe na say na sio vinginevyo)
  5. Hii ni short-time tujifunze sio lazima tubinafsishe mambo yote tunaweza ku-outsource baadhi ya kazi ambazo ni ngumu na tu-concentrate kwenye rahisi sio kuwaachia the kitchen sink
  6. Tuache tabia ya kusema fulani kafanya na sisi tufanye ifike wakati na sisi tuwe mfano waseme fanyeni kama watanzania
  7. Tujiulize kwanini hatuwezi ili tutibu huo ugonjwa ili kesho tuweze
  8. Tu-plan na sisi sio kufanya ndani tu (tuna bandali nyingi sana) maybe ifike wakati sababu tuna mashamba darasa tuwe wabobezi ili na sisi tuitwe kwenye kuwafanyia wengine (sababu tatizo letu kubwa ni ku-settle for mediocrity)
1) Hilo limekubalika na PM kishalisema jana, kuwa lease itakuwa fupi. Ukumbuke lease za bandari zina vigeZo vya ROI. huwekwa ukomo wa lease kulinga na volume na marejesho ya uwekezaji. Volume ikiwa kubwa na uwekezaji mdogo basi inakuwa lease ya muda mfupi zaidi, ikiwa uwekezaji mkubwa na volume ya kurudisha mtahi na faida ni kubwa, lease itachukuwa muda mrefu. Huwa average ya 25 Years.
 
2. Hakuna kumpa mtu exclusivity watu tofauti wanaomba tender za muda mfupi mfupi

2) Exclusivity inategemea na ctivity na uwekezaji aliouweka. Mfano ununuwe Toyota ipo ndani ya mkaba ukaifunge kifaa caha Nissan halafu umwabie toyita nitengenezee gari langu kwa sababu hakuna exclisivity ya mimi kufutokufunga kifaa ch a Nissan? Utaona kuwa hilo jaliwezekani. Kwa hiyo exclusivity ya logistics ni subjective.

Mfani hivi sasa Tanzania kuna bandari kavu ndogo ndogo za watu binafsi, huwezi kumazimisha amuweke humo ndani kwenye eneno lake na muwekezaji mwingine. Au unaonaje?

Mfano banadati yetu umwambie DP World nnakupa beths namba 8 mapaka 10 ufanye shughuli zako za makontena, berth 4 mpala 7 nampa mwingine afanye shushuli hizo hizo. kuatakuwa na conflicts ulizojiundia mwenyewe na hakuna mwekezaji ataeyakubali hayo. Exclusivity ni subject kwa yale wakayokubaliana na kila mmoja kwa shughuli zake amabazo haziingiliani na mwengine, Na nduyo ilivyo hivi sasa.
 
Nawe kujibu hivyo hutofautiana huyo uliyemjibu.

Mada yako kuu, kama walivyoichangia baadhi ya WanaJF, ni marudio ya utetezi wa uwekezaji wa DPW kwenye bandari za Tanzania bara kuwa una faida, ili kuwaondoa kwenye reli wanaopinga IGA kuwa na vifungu batili (naamini hutorudia swali lako ulilozoea "vifungu vipi?" au "umeusoma?").
inawezekana hajaona haya uliyoandika hapa, au inawezekana kasoma na huenda hakuelewa; kwa sababu nami ningependa kusoma jibu lake kuhusu hili swali ulilouliza.
 
3. Transparency kila kitu kiwe wazi

Hakuna mkataba wa kibiashara wa Kimtaifa (hata wa kitaifa) unaokuwa "fully transparent".

Huwezi kufanya biashara ukazianika mbinu zako za kibiashara. "Transparency" inaishia kwenye IGA na au labda HGA lakini siyo kwenye operational contracts.

Kuna kitu kwenye biashara kinaitwa "Non disclosure agreement" huwezi kuwa nayo hiyo halafu ukasema utakuwa "transparent" itakuwa ni "contradiction".
 
Mkuu 'Logicos' popote ulipo, nakupa kongole.

Nimesoma. 'points' za maoni yako yalivyokuwa 'quoted'.
Ninakubaliana nawe moja kwa moja.

Na kama itafanyika kama unavyopendekeza, sijui makubaliano ya IGA kama yanavyosomeka yatakuwa na maana gani tena?
Hiyo IGA italazimu iondolewe moja kwa moja, au iandikwe upya; hata kama hao wanaohadaa watu kwamba huo siyo Mkataba; ni lazima marekebisho ya vifungu vibovu viondolewe katika makubaliano hayo kabla ya hiyo mikataba ya uwekezaji haijaingiwa.
 
4. Percent yoyote atakayopewa mdau yoyote isizidi 49 percent (state bado iwe na say na sio vinginevyo

Hilo nalo linategemea, Mwekezaji hawezi kuleta mtambo wakae wa Dollar million mbili ili ufanya kazi zake, kunuu-ununuwa hutaki halafu umeambi hili ni langi kwa 51%

Pia huwezi kuwa na eneo lako kama nchi ukamwambia mwekezaji hili lako kwa 49%, utakuwa umajiumizzzza.


% za shares za makampuni zitategemea kila mtu kaweka mtaji ngapi.

Sasa hivi pale bandarini kuna watu wana ctrane zao binafsi 100% na ukizitaka zikuhudumie unawalipa huduma ya ctrame jkwa masaa itayotumika. Na hawalipii hata maegesho ya bandarini.

Ndiyo hao pia wenye makelele mengi, wanahjuwasasa limebuma. Maana DP World cranes zao za makontena ni tofauti kabbisa na hawatozihitaji hizi za zilizopo za TPA na za kina Karamagi na mama Anna Tibaijuka.
 
Back
Top Bottom