Unajua mipasho tu, empty head.Chuki ni kama hiyo uliyoiwasilisha hapa,personal attack,kwanini usijikite kwenye mada na ukajadili mada badala ya kumjadili mleta mada?
Kwani mwisho thd ngapi ambazo mtu anaruhusiwa kufungua kuhusu bandari?
Wewe ulitaka mleta mada apitwe na nani kwa kufungua thd za bandari ili wewe uone ndio sawa?
Kwa hiyo ukifungua thd za bandari ndio unatumika? Vipi na wale wanaofungua thd za kupinga nao una amini kua wanatumika? Au unaamini wa upande mmoja tu kua ndio wanatumika?
Sijazihesabu, wewe zihesabu utuletee jibu.Chuki iko wapi zaidi ni kwamba huyu ajuza anatumika hivi kuna mtu ambae amempita kwa kufungua thread za kuhusu bandari humu jF?
Idiot.Wewe kaa pembeni huna akili ya kujadili vitu vikubwa,uwezo wako wakuchanganua mambo ni mdogo sana.
Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zakeKama unataka mjadara uwe mzuri na DPword tuione ya maana,
Utuambie share yetu kama nchi ni ngapi kwa mwezi ama kwa mwaka kwa mjibu wa mkataba?
Utuambie, ni lini mkataba utakoma?
Utuambie, kwa kuwa mkataba unamanufaa makubwa, kwa nini bandari za Zanzibar hazikuingizwa kwenye mkataba huu wenye mafaida kibao?
Utuambie, Ni kwa nini ziwe bandari zote za bara, nchi kavu na majini?
Kwa nini kwa nini kwa nini unashabikia mkataba unaowapa warabu milele yote?
Inasemekana kwamba, kwenye silabas zetu kumeingizwa lugha ya kiarabu, Hii ni kusema tayari tunaanza kuwa chini ya mwarabu au ni kujifunza lugha ambayo itaitawala Tz
AlooLeo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Sasa mtu kama huyu ambae anaonyesha wazi kabisa chuki yake dhidi ya race nyingine utamfahamishaje au utajadili nae nini?Biashara isiyo na ukomo kuwaachia waarabu ni utumwa wa kijinga.
Hamuwataki hao waarabu wewe na nani?Hatuwataki warabu period, kwanza hata wananuka mavi …
Wewe punguani kaa pembeni,unahangaika sana kukata mauno kila ukiona thd za aina hii,mtu mwenyewe empty set ila unajitutumua tu ili mradi na wewe uonekane umo humu JF.Idiot.
Unapotanguliza "mooring" ya jahazi lako kwa kuandika wale wa JAMBO watoe mawazo na "wapya" wa JF watulize mizuka,una maanisha hao watu wa pande mbili wana akili tofauti na Uraia tofauti?Nimeanza kuamini "uzee ku..anin."!Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Huna akili ya kuelewa nilichoandika hapo,tafuta kazi bado hujachelewa.Unajua mipasho tu, empty head.
Hamuwataki hao waarabu wewe na nani?
Msimamo wangu upo wazi, pia ntaka nifahamu na misimamo na sababu za wengine.Ulishaonyesha msimamo wako lkn huyohuyo bado unaleta mjadala wa nini tena, au umegundua upepo utabadirika soon.
JokaKuu Bams Kalamu Nguruvi3Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Mkuu, hili la bandari si ni la kimuungano?Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zake
Hilo mbona limeshatolewa ufafanuzi mara nyingi sana.kutoendesha hao Dpw haimaanishi kilichokubaliwa hawakipati. Ni suala la muda tu.
Muhimu vipengere tatanishi viondolewe katika hayo makubaliano/mkataba kificho; ila sipingi uwekezaji wa Dpw
Hilo unalosema mbona siyo jipya kwa banadari ya Dar, ilikuwepo kampuni imesahiliwa Tanzania inatwa TICTS lakini hiyo ni kampuni ya nje.FaizaFoxy afadhali Leo umekuja kwa utaratibu mzuri. Kwa mtazami wangu, hili la Bandari baada ya Serikali kuchakata na kufikia uamuzi wa uendeshaji wa bandari uwe chini ya wageni ingetangaza nia yake ya (intention) kuwapa wawekezaji bandari zake huku ikitoa manufaa ya kufanya hivyo na muda wa uwekezaji huo. Hiyo ingefanya wananchi ktk makundi kutoa maoni, ushauri na mapendekezo yao. Bunge nalo lingepata fursa ya kushauri Serikali.
Lakini Sasa hali ni tofauti, gizani tayari Serikali ilishasaini makubalino ambayo huwezi kuyabadilisha tena. Mwekezaji tayari ana mamlaka makubwa ya kuingia HGA bila kuathiri IGA ambayo ni dira yake. Hapo wananchi watashauiri nini sasa zaidi ya kukataa uwekezaji huo?!
Ilitakiwa illetwe rasimu (draft) IGA ili wananchi wachakate na kushauri. Then inakuja IGA yenye mapendekezo ya wananchi wa Tanganyika.