Faiza, hivi Ile Sheria ya bunge ambayo waliitumia inahusu bunge kuijadili mikataba na siyo makubaliano. Acha kupotosha wasomaji. Ikikupendeza itafute ujiridhishe.Kweli kabisa. Hakuna biashara isiyo na ukomo. Mpaka sasa hatuna mkataba wa kibiashara, au wewe unaufahamu tunao?
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
5. Hii ni short-time tujifunze sio lazima tubinafsishe mambo yote tunaweza ku-outsource baadhi ya kazi ambazo ni ngumu na
Moja kukubali tu maneno ya PM itakuwa ni uwendawazimu kulingana na kwamba we have been here before...; Once bitten twice Shy; fool me once shame on you, fool me twice shame on me (Na hili tutahakikisha vipi kwamba halifanyiki tena ni pale tu kuwa na transparency kwamba kila kinachofanyika kitawekwa wazi) lakini hili haliwezekani kamwe...; litakuja zimwi la siri za mikataba hence kuna uwezekano kwamba hatutajua abadan katani...1) Hilo limekubalika na PM kishalisema jana, kuwa lease itakuwa fupi. Ukumbuke lease za bandari zina vigeZo vya ROI. huwekwa ukomo wa lease kulinga na volume na marejesho ya uwekezaji. Volume ikiwa kubwa na uwekezaji mdogo basi inakuwa lease ya muda mfupi zaidi, ikiwa uwekezaji mkubwa na volume ya kurudisha mtahi na faida ni kubwa, lease itachukuwa muda mrefu. Huwa average ya 25 Years.
7. Tuache tabia ya kusema fulani kafanya na sisi tufanye ifike wakati na sisi tuwe mfano waseme fanyeni kama watanzania
8. Tu-plan na sisi sio kufanya ndani tu (tuna bandali nyingi sana) maybe ifike wakati sababu tuna mashamba darasa tuwe wabobezi ili na sisi tuitwe kwenye kuwafanyia wengine (sababu tatizo letu kubwa ni ku-settle for mediocrity)
Kwa mfano wako wa Toyota nakupa mfano halisi Toyota anakwambia kuanzia leo hakuna kutumia gari lingine bali Toyota au kama wachezaji mpira wanavyoambiwa kwamba wewe brand yako ni Nike hivyo utavaa Nike maisha yako yote (ndio kama huyu Bwana kama ni kweli kwamba amepewa Bandari zote za Maziwa yote...; Vilevile inategemea shida yetu ipo wapi katika uendeshaji apakuaji meli au ni kitu gani; tunaweza kutafuta muwekezaji / msaidizi katika mambo ambayo ni magumu kwetu; Tunaweza kuamua kumpa DP World Tanga; Dar tukawapa watu tofauti tofauti na Bagamayo mchina (kwa mikataba ambayo ni open na transparent) tukawaacha wakashindana na sio kumpa mmoja yote wala yoyote 100 percent (kama unavyojua hapa what is at stake sio economic factors pekee bali na security factors)2) Exclusivity inategemea na ctivity na uwekezaji aliouweka. Mfano ununuwe Toyota ipo ndani ya mkaba ukaifunge kifaa caha Nissan halafu umwabie toyita nitengenezee gari langu kwa sababu hakuna exclisivity ya mimi kufutokufunga kifaa ch a Nissan? Utaona kuwa hilo jaliwezekani. Kwa hiyo exclusivity ya logistics ni subjective.
Mfani hivi sasa Tanzania kuna bandari kavu ndogo ndogo za watu binafsi, huwezi kumazimisha amuweke humo ndani kwenye eneno lake na muwekezaji mwingine. Au unaonaje?
Mfano banadati yetu umwambie DP World nnakupa beths namba 8 mapaka 10 ufanye shughuli zako za makontena, berth 4 mpala 7 nampa mwingine afanye shushuli hizo hizo. kuatakuwa na conflicts ulizojiundia mwenyewe na hakuna mwekezaji ataeyakubali hayo. Exclusivity ni subject kwa yale wakayokubaliana na kila mmoja kwa shughuli zake amabazo haziingiliani na mwengine, Na nduyo ilivyo hivi sasa.
Hilo la katiba watajuwa wabunge, mimi sifahamu. Mimi nnachojuwa makubaliano yalipelekwa bungeni yakaridhiwa.Katiba ya nchi inaruhusu Bunge kuridhia makubaliano? Agreement
Nataka kuamini kuwa Faiza ameanzisha uzi huu kwa nia njema ya kutaka tuelimishane kama tulivyokuwa tunafanya miaka mingi iliyopita.Chuki ni kama hiyo uliyoiwasilisha hapa,personal attack,kwanini usijikite kwenye mada na ukajadili mada badala ya kumjadili mleta mada?
Kwani mwisho thd ngapi ambazo mtu anaruhusiwa kufungua kuhusu bandari?
Wewe ulitaka mleta mada apitwe na nani kwa kufungua thd za bandari ili wewe uone ndio sawa?
Kwa hiyo ukifungua thd za bandari ndio unatumika? Vipi na wale wanaofungua thd za kupinga nao una amini kua wanatumika? Au unaamini wa upande mmoja tu kua ndio wanatumika?
Hatuna mkataba na DP World kwa hiyo swali lako halina maana.Nimejiuliza kuhusu DP World kama taratibu za kumpata ilitangazwa tenda kama taratibu zetu zinavyotaka au utaratibu gani ulitumika?
Ninavyojua mimi ni kuwa hawaendeshi kwa sababu bado hawajaingia katika HGA na TPA.Hilo la katiba watajuwa wabunge, mimi sifahamu. Mimi nnachojuwa makubaliano yalipelekwa bungeni yakaridhiwa.
Swali langu lipo palepale:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Na haya yamo kwenye msahafu gani ? Narudia tena fool me once shame on you, fool me twice shame on me... ; Kwahio sababu mpaka sasa hakuna kitu kama hicho tuendelee na huu upuuzi kumbuka hizi sio mali za watawala na anayesign...., bali ni mali za wananchi kwahio kuendelea kufungwa na kipengele kama hiki tutakuwa tunaongelea haya haya till kingdom come..... Kuna kipindi Utumwa ulikuwa legal na order of the day haimaanishi wangeendelea kufanya hivyo, sababu mpaka wakati huo hakuna sehemu ambapo watumwa hawakuwepo....;Hakuna mkataba wa kibiashara wa Kimtaifa (hata wa kitaifa) unaokuwa "fully transparent".
Huwezi kufanya biashara ukazianika mbinu zako za kibiashara. "Transparency" inaishia kwenye IGA na au labda HGA lakini siyo kwenye operational contracts.
Kuna kitu kwenye biashara kinaitwa "Non disclosure agreement" huwezi kuwa nayo hiyo halafu ukasema utakuwa "transparent" itakuwa ni "contradiction".
Tunatakiwa kuwauliza viongozi wetu kwanini wameshindwa kuwashughulikia wezi pale bandarini .Tuliwapa kazi ya kuendeleza uchumi wa Taifa, ila wamewaachia wajanja watafune mapato ya bandarini. Kuwapa wageni kuendesha bandari ni kama viongozi kukwepa majukumu yao. Kimsingi mapato halisi ya bandari zetu hayajulikana kwakuwa wajanja wachache wanachepusha mapato. Inatakiwa tuwafunge na kufirisi Mali za wafanyakazi wasio waaminifu kwanza halafu ndio tufikirie kuleta mbia pale bandarini.Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
makubaliano = agreement. kilichasainiwa ni IGA. Kirefu chake nini?Tinatakiwa kuelewana kwanza kuwa kilichoridhiwa na Bunge au kulichosainiwa na Serikali ni Mkataba au Makubaliano.
Je, kisheria kuna tofauti gani kati ya Mkataba na Makubaliano?
Baada ya kuelewana kwenye hiyo hoja ndio turudi kwenye vipengele.
Kimsingi huo Mkataba/Makubaliano tayari umeanza kutekelezwa kulingana na kile kifungu kinachozungumzia "entry into force".
Weka post moja swali moja.1. Ni kweli DP World imetumia IGA ili kukwepa ushindani katika kitafuta mwekezaji?
2. Nani alisaini ule mkataba kwa upande wa Dubai? Na nani alishuhudia utiaji saini wa ule mkataba kwa upande wa Dubai...
Huo ndiyo ukwe;i, hakukutana nae kwa bahati mbya, Tanzania walishiriki hayo maonesho na Mama alitembelea, na kwa protokali kaenda makamo wa Rais ikabidi apokewe na Makamo wa Rais.Unaambiwa mwekezaji walimuona tu kwenye maonesho pale Dubai basi wakampenda na wakagawa aendeshe bandari za bahari ya hindi ukanda wa Tanga hadi mtwara, na bandari za ziwa nyasa, tanganyika na victoria, hawa watu ni wapuuzi wa kiwango cha mwisho
Sijakuelewa ni swali au au ni maelezo kwa muoni wako?Na haya yamo kwenye msahafu gani ? Narudia tena fool me once shame on you, fool me twice shame on me... ; Kwahio sababu mpaka sasa hakuna kitu kama...
Kwa hiyo tuwe watu wa kuumwa tu na kwenda kutibiwa kila siku,na si kutafuta chanzo cha kuumwa kwetu ili kesho kutwa tusiumwe tena au tukiumwa tujitibu wenyewe!!!??kama hatuwezzi kujitibu tutafute dokta anaeweza kututibu. Simpo.
Kwahiyo unatetea jambo usilojua asili yake.Hilo la katiba watajuwa wabunge, mimi sifahamu. Mimi nnachojuwa makubaliano yalipelekwa bungeni yakaridhiwa.
Swali langu lipo palepale:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?