Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Wachina kutokuamini katika mungu hakujaa leo na hakujaanza juzi tu hapo ukatoliki ulipoanza

Wamekuwa wakiishi hivyo pasipo kuzingatia masuala hayo kwa muda mrefu hata kabla ya ukomunisti na serikali inayotambulika rasmi kuwa ni serikali rasmi inayoishi katika misingi ya ukana Mungu.

Ukatoliki China haujawabadili chochote ila wenyewe ndio wame umebadilisha mpaka papa na Kanisa kila siku wanalia lia kuhusu wachina na serikali yao.

Wachina wengi wanaamini katika Dini za jadi ikiwemo Buddhism.

Wewe unashindwa kuelewa kuwa serikali yao ndio haiamini katika Mungu lakini wananchi waô Wanaamini katika mîungu.

Hata Hapa Tanzania serikali yetu Haina Dini(haiamini katika mîungu) lakini watanzania Karibu wote wanadini íwe za jadi au Dini za kikoloni.

Acha kuchanganya Mambo
 
Nchi Ipi hizô Mkuu.

Kwenda Kanisani au kutokwenda Haimanishi Mtu haamini katika Miungu.

Nchi za Magharibi zimepata maendeleo Makubwa Sana Kwa kuamini uwepo wa Miungu.
Zimejengwa na wanaoamini katika Mîungu.

Ni Sawa na wachagga wa Zamani ndîo walikuwa kizazi Bora Kwa sababu waliamini katika mîungu tofauti na wachaga wa kileo.
Nchi za Magharibi zimeanza kupata maendeleo makubwa baada ya kuanza kutenganisha dini na siasa za nchi, baada ya kuanza kupinga na kuliweka kanisa mbali na kukumbatia sayansi ndio mapinduzi yote mpaka ya viwanda yakaja.

Age of enlightenment iliyo fungua akili za wazungu wengi imeplay big role kwenye maendeleo ya mataifa ya magharibi.

Wazungu walikuwa wajinga wajinga kabla
 
Nchi za Magharibi zimeanza kupata maendeleo makubwa baada ya kuanza kutenganisha dini na siasa za nchi, baada ya kuanza kupinga na kuliweka kanisa mbali na kukumbatia sayansi ndio mapinduzi yote mpaka ya viwanda yakaja.

Age of enlightenment iliyo fungua akili za wazungu wengi imeplay big role kwenye maendeleo ya mataifa ya magharibi.

Wazungu walikuwa wajinga wajinga kabla

Kama nchi Ipi.
Nipe mfano mmoja.

Marekani?
Germany?
France?
Belgium?
England?
Au nchi Ipi àmbayo imepata maendeleo baàda ya kuacha mîungu?
Moja tuu.
 
Mungu ni jibu jepesi kwa maswali magumu ambayo watu wavivu na wasiofikiri sana tu hawataki au hawawezi kuyapatia majibu.

Ni rahisi kumshukuru na kumuomba mwenyezi Mungu kuliko kuchukua wajibu wa kuchunguza tatizo na kulimaliza.
 
Wapalestina hiyo vita watatoboa tuu hata ichukue Miaka elfu.
Wayahudi wameshashindwa Kwa sababu hakuna kinachowaunganisha kiroho.
Hiyo Allah, Allah haiwezi kuwasaidia kwa namna yoyote watafute namna ya kupambana.

Hata Saudia ananua mifumo ya ukinzi wa anga wa kimarekani sidhani kama anajali kuhusu protection ya Allah kwa watu wake vile vile kwa Iran juzi tu hapa tumeona reaction ya ADS zake kwa mashambulizi ya Israel, Israel yeye ndie tumeshazoea
 
Hiyo Allah, Allah haiwezi kuwasaidia kwa namna yoyote watafute namna ya kupambana.

Hata Saudia ananua mifumo ya ukinzi wa anga wa kimarekani sidhani kama anajali kuhusu protection ya Allah kwa watu wake vile vile kwa Iran juzi tu hapa tumeona reaction ya ADS zake kwa mashambulizi ya Israel, Israel yeye ndie tumeshazoea

Omba uhai
Huoni Huko Magharibi tayari wanahofu ya kumezwa na Allah kupitia Islam.

Ukiwa na upeo mdogo Huwezi elewa haya mambo
 
Wachina wengi wanaamini katika Dini za jadi ikiwemo Buddhism.

Wewe unashindwa kuelewa kuwa serikali yao ndio haiamini katika Mungu lakini wananchi waô Wanaamini katika mîungu.

Hata Hapa Tanzania serikali yetu Haina Dini(haiamini katika mîungu) lakini watanzania Karibu wote wanadini íwe za jadi au Dini za kikoloni.

Acha kuchanganya Mambo
Secularism ni tofauti kubwa na Atheism
 
Nahisi huu kama ukumbusho na mfano wa watu waliotangulia mbele za haki kwenye makaburi yao jinsi wanatamani kuongea na kutoa yaliyo kwenye moyo. Jinsi wanavyotamani kuongea nasisi tulio duniani

Too sad
 
Omba uhai
Huoni Huko Magharibi tayari wanahofu ya kumezwa na Allah kupitia Islam.

Ukiwa na upeo mdogo Huwezi elewa haya mambo
Hakuna hofu yoyote zaidi ya uhamiaji ambao haueleweki ata nchi yako ikikamata wasomali na waethiopia ni kuwatia rumande.

Mpaka mkuu wako wa majeshi anaweweseka, hakuna taifa litachekelea kupokea kila sampuli ya watu multiculturalism ni moja ya kitu kigumu sana
 
Secularism ni tofauti kubwa na Atheism

Hakuna tofauti.

Secularism NI political ideology inayoondoa na kuepusha Dini kuchanganywa kwèñye shughuli ñyiñgine za Binadamu kama siasa.

Atheism ni Imani ya kumwondoa Mungu kama msingi wa uwèpo wa yanayoendelea Kwa binadamu.

Msingi wa secularism ni atheism

Embu nipe tofauti kûbwa unayoiona Hapo.
 
Nchi Ipi hizô Mkuu.

Kwenda Kanisani au kutokwenda Haimanishi Mtu haamini katika Miungu.

Nchi za Magharibi zimepata maendeleo Makubwa Sana Kwa kuamini uwepo wa Miungu.
Zimejengwa na wanaoamini katika Mîungu.

Ni Sawa na wachagga wa Zamani ndîo walikuwa kizazi Bora Kwa sababu waliamini katika mîungu tofauti na wachaga wa kileo.
Mkuu, Ulaya dini na uwepo wa Mungu ni kama non existence. Nimebahatika kuishi kwa muda mrefu kwenye nchi za Scandinavia. Hukuti hizi ''acting'' za huku kwetu Afrika specifically Bongo za kutamka Mungu kila wakati. Makanisa hayana watu na nyumbani watu hawasali. BTW wewe unazungumzia Mungu gani? Mungu tuliyeletewa na waarabu na wazungu au mababu zetu waliokuwa wanamwabudu? Kama ni yule wa mababu zetu, mbona tuliambiwa ni ni wa uongo na sasa hivi tunamwamini huyu wa wazungu na waarabu?
 
Hakuna hofu yoyote zaidi ya uhamiaji ambao haueleweki ata nchi yako ikikamata wasomali na waethiopia ni kuwatia rumande.

Mpaka mkuu wako wa majeshi anaweweseka, hakuna taifa litachekelea kupokea kila sampuli ya watu multiculturalism ni moja ya kitu kigumu sana

Unaeleza mambo àmbayo Akili yako haiyaelewi Mkûu.
 
Maisha Bila Mungu hayafai kitu Yoda

Ukiwa Mpumbavu Huwezi elewa haya Mambo.
Na Moja ya Sifa ya Mpumbavu ni upumbavu usiojificha na kujifanya, kuwaza, kusema Hakuna Mungu au kutomtegemea Mungu.
Huyo Mungu anaye tegemewa kasaidia nini hapo kwenye hilo jengo?

Huyo Mungu anayetegemewa, Alishindwaje kuzuia hilo jengo lisianguke?

Huyo Mungu anayetegemewa, Kashindwaje kuwaokoa watu ambao mpaka sasa wameshafariki kutokana na mkasa wa jengo hilo?

Hivi huyo Mungu pamoja na wewe mna jielewa kweli?
 
Mkuu, Ulaya dini na uwepo wa Mungu ni kama non existence. Nimebahatika kuishi kwa muda mrefu kwenye nchi za Scandinavia. Hukuti hizi ''acting'' za huku kwetu Afrika specifically Bongo za kutamka Mungu kila wakati. Makanisa hayana watu na nyumbani watu hawasali. BTW wewe unazungumzia Mungu gani? Mungu tuliyeletewa na waarabu na wazungu au mababu zetu waliokuwa wanamwabudu? Kama ni yule wa mababu zetu, mbona tuliambiwa ni ni wa uongo na sasa hivi tunamwamini huyu wa wazungu na waarabu?

Nimekuambia kwenda Kanisani au msikitini haimaanishi unaamini au hauamini Mungu.
 
Huyo Mungu anaye tegemewa kasaidia nini hapo kwenye hilo jengo?

Huyo Mungu anayetegemewa, Alishindwaje kuzuia hilo jengo lisianguke?

Huyo Mungu anayetegemewa, Kashindwaje kuwaokoa watu ambao mpaka sasa wameshafariki kutokana na mkasa wa jengo hilo?

Hivi huyo Mungu pamoja na wewe mna jielewa kweli?

Wewe unapoelezea neno Mungu unalielewaje?

Embu fafanua jinsi unavyoelewa dhana Mungu Kisha tujadili maswali uliyouliza.

Maana siô ajabu haya dhana yenyewe huielewi na wengi wa atheists ambao hawana elimu ya kiroho ndipo hukwama
 
Back
Top Bottom