Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Watanzania wana bidii ya maombi sana, bila dhana ya Mungu watakosa maana ya maisha kabisa

Mkuu yesu alitwaliwa mawinguni kwenda kwa baba mbele za wanafunzi wake mbinguni itakua ni juu 🤔 na parapanda na baragumu zikilia tutamwona akishuka mawinguni kama njiwa , kila jicho litamwona , kwa kanisa lililopo Buza andika ✍️
Hapo ndo walikosea Sana Maana Juu ya Dunia kuna Mars na chini ya Dunia kuna Venus and Vice versa...

Hivi unajua Hilo Fungu/aya ya Kupaa Iliongezwa Haikuwepo kwenye Manuscrips za Zamani?

Ni vigumu kumuona mtu akishuka Mawinguni kwa Pamoja...
Unless Earth is Flat
 
hili ni uthibitisho kuwa bado Wtz ni wajinga na mjinga huwa hapendi kuwajibika. Sifa kuu ya watu wajinga ni kuhamisha lawama. Kuanguka kwa jengo ni kutokana na uzembe kuanzia juu mpaka chini.

Ila kwakuwa tunapenda miujiza tunampa mungu na shetani mzigo wa ujinga wetu.

Hebu fikiri kidogo ingelikuwa watu wote tunawajibika ilivyo kweli.
1) Watoa vibali vya ujenzi wangesimamia nafasi yao.
2)Mmiliki angesimamia nafasi yake.
3)Wapangaji wa jengo wangesimamia nafasi zao kwa kukataa mmiliki kuanzisha ujenzi wakati wao wakiendelea na biashara zao.
3)Mashushushu(usalama wa raia) wangesimamia kupata na kuchakata taarifa za ujenzi holela unaoendelea.

Kupitia hapa unaona kuwa binadamu hasa BLACK PEOPLE wanachangamoto ya kutumia akili kuyaendea mambo na hatupendi kuwajibuka.
 
Nachoju binadamu ni kiumbe cha kiroho .

Ila level zimetofautina .

Nadhani sio vibaya kumtegemea Mungu ila muhimu bidii katika jambo ziwepo za kutosha.
 
Hapo ndo walikosea Sana Maana Juu ya Dunia kuna Mars na chini ya Dunia kuna Venus and Vice versa...

Hivi unajua Hilo Fungu/aya ya Kupaa Iliongezwa Haikuwepo kwenye Manuscrips za Zamani?

Ni vigumu kumuona mtu akishuka Mawinguni kwa Pamoja...
Unless Earth is Flat
Ngoja nisome kitabu cha ufunuo mwanzo mwisho leo🤔
 
Maisha Bila Mungu hayafai kitu Yoda

Ukiwa Mpumbavu Huwezi elewa haya Mambo.
Na Moja ya Sifa ya Mpumbavu ni upumbavu usiojificha na kujifanya, kuwaza, kusema Hakuna Mungu au kutomtegemea Mungu.
Kwahiyo waliokufa pale ndo wapumbavu,waliokuwa hawamwamini Mungu?...na pia huyo Mungu akaamua kuwaokoa wachache ili waende wakamshukuru?.... Na pia huyo Mungu ndo aliruhusu hilo janga litokee....?🤔🤔🤔🚮
 
Mkuu unataka kusema wewe ndio Mungu?
Zaburi 82:6..

"Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia."
"I have said, Ye are gods; and all of you are children of the most High."

Nakuongeza na Fungu Jingine Kabisa Pale Yesu alipojiita Mwana wa mungu


Yohana 10:33-35

"
Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu. "

"The Jews answered him, saying, For a good work we stone thee not; but for blasphemy; and because that thou, being a man, makest thyself God."

Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?

Jesus answered them, Is it not written in your law, I said, Ye are gods?

Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu; na maandiko hayawezi kutanguka

If he called them gods, unto whom the word of God came, and the scripture cannot be broken;"......"



Kama alituita Mungu Maandiko Hayawezi Kutanguka Tutaendelea Kuwa Mungu...

Na Nakuongeza Kuhusu Ufalme wa Mungu...

Luka 17:20-21

"Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;

And when he was demanded of the Pharisees, when the kingdom of God should come, he answered them and said, The kingdom of God cometh not with observation:

wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.

Neither shall they say, Lo here! or, lo there! for,
behold, the kingdom of God is within you."
 
Mungu yupo ndugu Hilo halina ubishi, haushangai hata taifa la wajanja zaidi marekani wanamuamini Mungu wewe ni Nani upinge,in God we trust
 
Jitahidini ambao bado wamefukiwa huko chini wafuate hizo sheria ili nao watoke salama kama wengine waliotoka hai.
Watumiwe tutorials na wakina mwamposa kwa njia ya WhatsApp,...
 
Kwa Sababu Akili ya binadamu Iko limited,
Ingekuwa Akili ya binadamu ni infinity tusingekuwa na haja ya Kuamini.

Akili ya binadamu inategemea milango ya fahamu àmbayo Iko limited ili kuthibitisha uwèpo wa Jambo.

Mfano, MTU àmbaye ni kiziwi au kipofu Huwezi kuniambia kwamba anatakiwa kujua kûna kitu kinaitwa sauti ambacho tangu kuzaliwa hajawahi kukisikia.

Au Mtu àmbaye NI kipofu Huwezi kumtaka ajue uwèpo wa Nuru àmbayo tangu kuzaliwa hakuwahi kuiona.

Hivi Siku kipofu tangu kuzaliwa àmbaye hajawahi kuona Mwezi Hapo angani akikuambia hakuna Mwezi utamthibitishiaje?
passion_amo1
 
Mungu anaedaiwa kwamba ni yeye kaunda akili ya binadamu iliyopo limited wala hapaswi kukasirika wengine wakisema hayupo , hapo sioni sababu ya wewe kusema asiye amini ni mpumbavu kwa sababu hata wewe unae amini hauwezi kuthibitisha unachokiamini 🤔🤔🤔🤔

Nimekuambia kipofu unamthibitishiaje kûna Mwezi juu ya anga?
Kama utashindwa kuthibitisha itaamaanisha Mwezi haupo?

Kwa tafsiri ya nani mpumbavu ni asiyeamini uwepo wa mungu?

Kwa tafsiri yenyewe na neno "upumbavu"
 
Mimi ili niamini tena kuna Mungu lazima nimuone. Haiwezekani kukawa na Miungu zaidi ya 3,000 lakini wa kwako ndiyo wa kweli na wengine ni wa uongo.

Baada ya kuhoji maswali yasiyokuwa na majibu ya moja kwa moja na kubaki njia panda imani yangu ilitoka 50% mpaka 0%. Sijawahi kuamini dhana ya kuwa kuna Mungu kwa 100%
Kila mtu anasema wakwake ndo wa ukweli,...ukimuuliza amekusaidia nini au yupoje,..majibu yake utaishia kuchoka tu,....
 
Back
Top Bottom