Watanzania wawili wakamatwa India kwa usafirishaji wa kilo 1.5 ya dawa za kulevya

Fanya tafiti hata wanaokamatwa hapa bongo ambao tunaowafahamu wanayofanya biashara hizo za ngada , fuatilia Imani zao, au wale wazamiaji wa Afrika ya kusini wanao uza ngada huko wapeleleze ukikuta 100 basi 90 ni WA kwenu
Warabu wanauza Sana unga Hasa Huko Afughan
 
Hayo majina mbona yanamrengo wa kigaidi.

adriz kahtaan Accumen Mo
 
Fanya tafiti hata wanaokamatwa hapa bongo ambao tunaowafahamu wanayofanya biashara hizo za ngada , fuatilia Imani zao, au wale wazamiaji wa Afrika ya kusini wanao uza ngada huko wapeleleze ukikuta 100 basi 90 ni WA kwenu
Unajua hizo shughuli ni za vijana wa mjini hasa Dar na DSM majority ni waislam ndo maana majina yanajirudia rudia ni sawa na matukio yanayofanyika nyanda za juu kusini ukayahusisha na ukristo kisa majina
 
Hao ni watanzania wengi hutumia majina ya bandia ya sikudanganye, sasa hivi watanzania wote wa nafanana kitabia.
Halafu ndio Wales ukiwakuta waking'aka Yesu siyo Mungu hadi mishipa yote ya shingo nije.
 
Ni sawa kuhusisha pesa za ndagu za nyanda za juu kusini na ukristo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…