Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Narudia hakuna mtu mwenye future na malengo atakae kubali nafasi za kuteuliwa ambazo hauna uhakika nao siku unaamka asubuh umetenguliwa kiufupi siasa ina wenyewe na sio wote wanaweza kuwa wanasiasa wamefanya maamuzi mazuri sana hao viongozi wanastahili pongezi.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Zamani nyakati za Nyerere mkuu wa Wilaya akiwa anaitwa Area Comissioner kilikuwa ni cheo chenye heshima sana. Mpaka mtu uteuliwe kuwa Area Comissioner lazima uwe ni mtu wa shoka sana. Lakini siku hizi, dah!
Sikuhizi ukiwa kada tu unayeonekana onekana kwenye matukio muhimu unaweza lamba hiko cheo.
 
Hzi nafasi zinawafaa "ma-jobless" (hasa wale chawa wa chama) sio kwa watu wenye kipato cha kueleweka!
 
Asante mkuu. Lakini hiyo 9.5mil si msukuma mwenzetu ndiye alijiwekea kutaka tujue ni mtakatifu sana asiye mlafi? Sidhani kama huyu wa sasa amejipangia kimshahara kidogo hivyo.

Hata hivyo cheo cha DC kwa sasa kinaonekana kunajisika sana maana ufunguo wa engine ya wilaya uko mikononi mwa DED na timu yake ya wataalamu. DC wamebaki na wataalamu wa nyuki na wanyamapori tu😀
 
Mapinduzi na mabadiliko ya viongozi wa vyama huru vya kitaaluma kama CWT, TLS, Chama cha Madaktari Tanganyika n.k yanatakiwa ili kuweza kushutua mamlaka husika
Tatizo wameingiziwa mamluki wa TISS
 
Ila si ni ajira ya kudumu?
 
Kwani walimu wote ni waajiliwa wa serikali .....!!? Kama mtu haitaki hiyo kazi kwa nini umlazimishe? Na uteuzi unatakiwa umcosult Mteuliwa kabla ya kumtangaza. Huo ndio ustaarabu. Hii ya kuteua watu bila ridhaa yao ni uhuni na inaonyesha ni jinsi gani CCM wanavyofikiri wamemiliki wananchi.
 
Ila we msukuma mjeuri sana! Kwamba unamsaidia Rais kuwalipa mshahara maDC wake kadhaa! 😅😅🤭
 
That's very good. Hizo actions ndizo pia zitathibitisha Umungu wa Urais wa Tanzania .... Katiba Mpya ni Lazima!
 
Walimu hawa ni watumishi wa umma
Kitawakuta kitu kwani ni kinyume na mikataba yao
 
Walimu hawa ni watumishi wa umma
Kitawakuta kitu kwani ni kinyume na mikataba yao
Fine hata kama ni watumishi wa umma bado wana haki zao za msingi. Watumishi wa umma siyo wananjeshi .... Wanajeshi unaweza kuwadeploy popote na wakati wowote. Hii Katiba ya Kikomunist ndiyo inasababisha haya yote ya kuwafanya wananchi wawewatumwa kwenye nchi yao. Tatizo ni CCM kuendelea wa chama kimeshika UTAMU na kuvifanya vyama vya Wafanyakazi kama taasisi za serikali ..... Na kwa kufanya hivyo wameweza kubana hazi za wafanyakazi.
 
Rais kuteua watu bila kuwauliza kama watakubali teuzi ni dharau na ujinga.
 
Mtumishi wa umma unaweza kuwa deployed popote kwa majukumu yoyote na mwajiri wako/serikali

Ndo mikataba yao inavyosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…