Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Hakuna kitu hapo!

Makato yashushwe!

Huo utetezi haujitaji makato ya asilimia mbili ya mshahara!
 
KINA MAMA WANASIMAMIA UKWELI NA KUFIKISHA UJUMBE BILA KUYUMBA

Dina Mathamani - Tunafuatilia waalimu walionyanganywa barua zao


Dina Mathamani asisitiza mamlaka husika kuzingatia haki za waalimu mfano Likizo, mafunzo, matibabu na mazingira mazuri ya kazi kwa waalimu yatizamwe kwa karibu ..
 
Hamna kitu hapo! CWT iondolewe HAINA tija KWA Mwalimu!!!

HAINA mchango wowote KWA MSTAKABALI wa walimu nchini!

Makato makubwa AMBAYO hayana tija KWA walimu!
 
KATIBU MKUU WA CWT Bw. Japhet Maganga ahaidi wajumbe wa mkutano wa CWT kuwa kauli mbiu ya kwenda pamoja, kuwa wamoja na mshikamano ataitekeleza bila kuyumba ...

 
Si kweli, unautamani usiku na mchana!
 
Mh
 
KATIBU CWT ACHARUKA - "MNATOA KIPAUMBELE UJENZI WA MADARASA MNASAHAU NYUMBA ZA WALIMU

CWT kinaomba yafuatayo yakatiliwa mkazo - Maslahi ya waalimu mfano Increment / nyongeza ya mishahara, posho ya muda wa ziada kwani darasa lina wanafunzi 100 ambalo lilitakiwa darasa kuwa na waalimu wawili kwa idadi hiyo ya wanafunzi darasani, teaching allowance na nyumba za walimu zikijengwa basi waalimu watafanya kazi vizuri zaidi anamalizia Katibu wa CWT wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…