Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Na maskini wana nguvu za kiume na uzazi mzuri hatari. Watoto sita, mtu unawezaje kuwalea kwa shughuli za shamba na biashara ndogo ndogo? Matokeo yake watoto wanasoma kwa kuunga unga hadi mtu anamaliza shule, kapitia mikono mingi kwa mjomba, shangazi, baba mkubwa etc.
 
Achana nao hawa vijana wana stress za maisha zinazosababishwa na uvivu wa kujitafuta wakitegemea kuna mtu atawasaidia.
Huwez sikia uiinga kama huu toka kwa mtu aliye serious kupambana na maisha.
Hivi vi generation Z vijinga jinga kutwa kushinda mitandaoni wakifikiri kufanikiwa kirahis ndio akil zao.
Wanataka kumudu maisha kwa google adds na you tube channels badala ya kufanya real work
sahihi lakini tunabidi tuheshimu mawazo ya mtu shida wanaume wengi hawa Hudumii watoto wao
 
sahihi lakini tunabidi tuheshimu mawazo ya mtu
Ni kwel ,kama vile, ambavyo alipaswa si tu kuheshimu mawazo yetu wengine bali ya baba kwanza aliyemzaa

kutohudumia watoto ni shida ambayo ina sababu nyingi sana na mara chache sana umasikin huwa sababu. Shida za kindoa, masuala ya uaminifu kwa wenzi n.k ndio maana kuna matajiri kibao wametelekeza watoto wao licha ya kuwa na uwezo wa kuwatunza. Na pia kuna masikin kibao wanaotunza watoto wao kwa hali na mali mpaka wanafanikiwa.
humo ma vyuoni asilimia kubwa ya wanafunzi ni watoto wa masikini

Shida inakuja sasa, umesomeshwa mpaka chuo kikuu ila bado UNATKA URITHI NA MALI ,huu ndio ufala sasa kama wa mleta mada na wajinga wenzie wanaounga mkono
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Hongera Mkuu kwa kuwa na mawazo ya namna hii!
Kuna dhana mbili lazma uzifahamu vyema kwanza! kuna familia za Kiafrika na Magharibi! Mitindo miwili tofauti ya maisha.

Umezungumzia dhana kwamba Obama ana watoto 2, Bush ana mtoto 1 na Clinton ana mtoto 1. Ila hao ni wachache, Donald John Trump ana watoto watano akiwemo Barron Trump mbona hujamzungumzia au kwa kuwa sio mtu wa muhimu katika kuunga mkono hoja yako? Genghis Khan alikuwa na watoto wangapi? Wanahistoria na wanasayansi wamejaribu kuangalia vinasaba tu wameona ni kazi ngumu kwani ni zaidi ya watoto mia moja na kitu.
Bi Eleanor pamoja na Rais Franklin D. Roosevelt walizaa watoto sita akiwemo rubani Elliott Roosevelt.

Kaya ambazo zina uwezo wa kuzaa wazae tu maana kila mtoto anakuja na sahani yake! Watoto sio mizigo hata siku moja; ila wazazi tunawaona ni mizigo kwa kuwazaa bila mipango.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Mshukuru Mungu alikuleta duniani kupitia wazazi wako ili leo uje ukufuru hivi.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Kwa dunia ya sasa ni kweli mkuu watoto hawana faida yoyote sana sana ni mitihani tu Mungu atuepushe nayo.

Vijana tunakufa tukiwa wadogo sio rahisi tena vijana wa sasa kuja kushuhudia mafanikio ya watoto wao.

Binafsi nimeshazika wazazi wangu wote wawili kwa nyakati tofauti na hakuna ata mzazi wangu 1 alieshuhudia mafanikio yangu ama kuyafaidi.

Kwa hatua kama iyo utasema kuzaa kuna faida gan mkuu ?
Wewe ukiwa hasara kwa wazazi wako,usi generalize wote.
Halafu watoto siyo mtaji,ni faraja tu.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Wewe ukiwa hasara kwa wazazi wako,usi generalize wote.
Halafu watoto siyo mtaji,ni faraja tu.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
Sawa watoto ni faraja ila uwe umejipata mkuu kwenye ilo wala hakuna ubishi

Ikiwa hujajipata mlo wako wa siku tu unaupigia mbio mpk inakua mtihani iyo faraja ya watoto utaipata saa ngapi mkuu?

AU nyinyi ndo wale wazazi maojua kubebesha wake zenu mimba ila mtoto akishazaliwa ankua kama hahusiki na ww vile hamuna mda na watoto wako, nyinyi ni mbio tu na kutafuta maisha hujui mtoto ameamkaje ama ameshindaje, amekulaje yaani hupati ata muda wa kuka na mtot wako mkapiga stori,
kama hufanyi ayo kuna haja gan ya kuwa na mtoto mkuu?
iyo faraja unayoizungumzaa wewe unaipatia wapi kwa hao watoto ukiwa hupati ata mda wa kukaa na watoto wako ?
 
Back
Top Bottom