Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
I know where you are, they are almost turning off the WIFI, so you will be lost in the air in no time. Find great money, free things have costs to pay if you are not carefulA lack of mental health is good for me.
You lack reasoning. Punk ass.
🥱 siku hizi nawe umeanze hivi viroja?You’re a fuckin moron, get your ass the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala outta here. Dimwit.
I got money probably more than your whole clan.I know where you are, they are almost turning off the WIFI, so you will be lost in the air in no time. Find great money, free things have costs to pay if you are not careful
Viroja gani tena Mkongwe mwenzangu?😄mbona tupo wote humu long time ago? We umeona utofauti gani?🥱 siku hizi nawe umeanze hivi viroja?
Nimeona maneno yasiyo ya staha nikashtuka.Viroja gani tena Mkongwe mwenzangu?😄mbona tupo wote humu long time ago? We umeona utofauti gani?
aliwakimbia marekani labda maisha yalikuwa magumu ....
Pamoja na umri wangu huu, huwa namkumbuka Mzee Swai na huwa natamani hata niongee naye kwa simu ila hayupo tena. Hao watoto walitamba na kumtukana akiwa hai, ila kuna muda watamkumbuka na kujutia. Watatamani wamuombe msamaha ila hawataweza, siku hiyo mama yao hatakuwepo wala huyo Mange naye hatakuwepo. Ni wao agaimst the world, Watamtafuta but he will be is no longer. Maisha hayapo kama wafikiriavyo sasa na muda ni jibu zuri. Yatupasa tusameheane na tuishi kwa utaratibu kwenye huu kipindi kifupi tukiwa juu ya uso wa ncho.Watoto wanaomkataaga Baba yao huwa hawafikagi mbali. Wanakiwa na hisia sana, hawajali chochote wala kumsikiliza mtu yoyote mpaka wakutana na watoto wa mama wenzao hapo ndo hutokea mengi.
Uniwie radhi kwa Hilo.Nimeona maneno yasiyo ya staha nikashtuka.
Sikutegemea kusoma maneno hayo kutoka kwako great thinker.
-Le Mbebez
-Boma Liwanza
-Boma Ye
-Le Mutuz
-Le Big Boss
-Akili Kubwaz
-Kokobanga
-Mobimba
-American Spirit
-Free Education.
-Straight Talk.
-Facts
-Case Closed.
Unaweza usimkubali mzazi wako na usitake ukaribu nae ila kumtukana ni laana. Kama ni kweli itawatafuna sana
Hapo ndo tumetofautiana brother, mimi sijagusa mahusiano ya lemutuz na ex wife wake ila niliangalia tu zile texts kati ya yule binti na faza wake. Kwa mtu mwenye akili timamu yule binti alionesha kutaka kumaliza zile tofauti ila lemutuz akaweka pride..
IIla haina haja ya ubishani, tuwaachie wenyewe
Hai halalishi mkuu bali tunapo watelekeza watoto na mama yao utarajie kila aina ya matokeo hasi.Sasa mkuu ndo inahalalisha kummwagia mzazi matusi makubwa kama yale na kuyasambaza mtandaoni?
Baba yao ameshaenda, hata wakimsamehe sasa hivi is too late! Yeye aliyeomba msamaha kabla ya kifo chake yuko vizuri tu mbele ya muumba wake, kisanga wanacho ambao waligoma kusamehe.Watoto wa Lemutuz kama mnasoma ujumbe huu msameheni baba yenu aande kwa amani aliwakimbia marekani labda maisha yalikuwa magumu ....ASHAMPOO hapa.
Sameheni kwa kuwa nanyi mtasamehewa.Ni ngumu kusamehe.....
Yapo niliyopitia mkuuSameheni kwa kuwa nanyi mtasamehewa.
Btw, mbona unaonekana kuumia sana?
Sawa. Ni kweli ktk maisha tunapitia mengiYapo niliyopitia mkuu
HakikaSawa. Ni kweli ktk maisha tunapitia mengi