Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

A lack of mental health is good for me.

You lack reasoning. Punk ass.
I know where you are, they are almost turning off the WIFI, so you will be lost in the air in no time. Find great money, free things have costs to pay if you are not careful
 
I know where you are, they are almost turning off the WIFI, so you will be lost in the air in no time. Find great money, free things have costs to pay if you are not careful
I got money probably more than your whole clan.
 
Nikiwa mdogo kaka zangu na wadogo zangu baada ya Baba na Mama kutokea kutokuelewana Baba aliamua kuondoka nyumbani kwetu na kutuacha na Mama Baba aliondoka nikiwa na miaka 7 nilikuja kuonana naye nikiwa na miaka 17, katika hiyo miaka 10, tulilishwa sumu kuwa Baba hatupendi katutelekeza, hivyo tuhesabu hatuna Baba.

Baada ya kukua na kuonana na Baba akiwa kaanzisha familia nyingine tuliupata upande wa pili wa mgogoro wa wazazi wetu. Ukweli wanawake wengi ni chanzo cha kufanya watoto wawachukie Baba zao na wao kubaki watakatifu. Akina Baba wamebeba mengi sana mioyoni mwao.. miaka 15 nilimchukia Baba pasipo sababu za msingi. Wazazi tukigombana hebu tusiwaingize watoto kwenye ugomvi hasa wakiwa wadogo.
 
Watoto wanaomkataaga Baba yao huwa hawafikagi mbali. Wanakiwa na hisia sana, hawajali chochote wala kumsikiliza mtu yoyote mpaka wakutana na watoto wa mama wenzao hapo ndo hutokea mengi.
Pamoja na umri wangu huu, huwa namkumbuka Mzee Swai na huwa natamani hata niongee naye kwa simu ila hayupo tena. Hao watoto walitamba na kumtukana akiwa hai, ila kuna muda watamkumbuka na kujutia. Watatamani wamuombe msamaha ila hawataweza, siku hiyo mama yao hatakuwepo wala huyo Mange naye hatakuwepo. Ni wao agaimst the world, Watamtafuta but he will be is no longer. Maisha hayapo kama wafikiriavyo sasa na muda ni jibu zuri. Yatupasa tusameheane na tuishi kwa utaratibu kwenye huu kipindi kifupi tukiwa juu ya uso wa ncho.
 
Hapo ndo tumetofautiana brother, mimi sijagusa mahusiano ya lemutuz na ex wife wake ila niliangalia tu zile texts kati ya yule binti na faza wake. Kwa mtu mwenye akili timamu yule binti alionesha kutaka kumaliza zile tofauti ila lemutuz akaweka pride..

IIla haina haja ya ubishani, tuwaachie wenyewe

Yaan ile text lemutuz utafikiri alikuwa anamuandikia Rafiki yake
 
Kuna Binadamu ni wapumbavu sana.
Mmekazana kutupa lawama kwa mama kwamba aliwajaza sumu watoto. Ina maana lemutuz alijazwa sumu na nani hadi asitake
Kurekebisha na watoto wake? Kwani alipogombana na mke wake alikua amegombana na watoto pia?

Ujinga tu mna kazi ya kufukia ujinga kwa manufaa gani haswa?
 
Watoto wa Lemutuz kama mnasoma ujumbe huu msameheni baba yenu aande kwa amani aliwakimbia marekani labda maisha yalikuwa magumu ....ASHAMPOO hapa.
Baba yao ameshaenda, hata wakimsamehe sasa hivi is too late! Yeye aliyeomba msamaha kabla ya kifo chake yuko vizuri tu mbele ya muumba wake, kisanga wanacho ambao waligoma kusamehe.
 
Back
Top Bottom