maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
- Thread starter
-
- #61
Mkuu ogopa sana Majiji...hizi Cities Dunia Nzima ni Hatari sanaPesa na kusaka utajiri kunatupeleka pabaya tunashindwa kufikiri kuhusu aina za mishe tunazopiga uhalali wake na athari zake Kwetu na jamii kwa ujumla .
Unakutana nayo wapi? Inakuja vipi. Ukiwa na mshkaji mwenye mshkaji mwenye mipango ama ?Mipango ya mjini haipangwi inakuja tu...!
Hapo hapo...na ukipewa mpango uufanye straight..kuna watu hapa mjini wana baiskeli kama hamsini anachukua vijana huko vijijini anawalipa kwa mwezi..ndio wale vijana wanauza sumu ya panya na mapunyeUnakutana nayo wapi? Inakuja vipi. Ukiwa na mshkaji mwenye mshkaji mwenye mipango ama ?
Dah. Nakusoma sasa. Kweli Mjini Mipango. Nguvu tuache juko. Umenena vema. Niliona Arusha kuna baiskeli unapanda kwa TZS 500 from maeneo ya nnje ya Mji to center. Watu wabunifu sana.Hapo hapo...na ukipewa mpango uufanye straight..kuna watu hapa mjini wana baiskeli kama hamsini anachukua vijana huko vijijini anawalipa kwa mwezi..ndio wale vijana wanauza sumu ya panya na mapunye
Teh..Akitokea mtu anaeweza kutengeneza konyag,kvant value na pombe Kali zizote kimagumashi
Mniunganishe nae na mm nipige pesa natesaeka sana
Uko wapi mkuu. Chemistry inatoa guidance. Hata youtube.Akitokea mtu anaeweza kutengeneza konyag,kvant value na pombe Kali zizote kimagumashi
Mniunganishe nae na mm nipige pesa natesaeka sana
Mkuu hilo eneo ikifika night kali ni balaa tupu mzee unaweza toa hadi zambiPesa itafutwe kwa mjia yoyote,jana nilikuwa pale tiptop club nabado nilidharaulika kwa kijipesa changu cha lk3dadeq
Achana na hadithi za kizungu za kufikirika! Hakunaga hiyo kitu, once ur gone ur just gone.Jahannam.
Uzuri wa kipato bana ni pale ambapo kinatumika kukamilisha ratiba za kawaida za maisha!maishapopote mimi nakushauri utafakari na kujiuliza katika hizo shughuli, ipi ni shughuli halali ya kujitafutia kipato? Je shughuli hiyo unaweza kumfundisha mwanao ili nae afanye kuendeleza maisha?
Mjini shule, me najamaaa yangu yeye ni dalali wa warembo ukitaka mrembo mkali anakupa anakula half na hwa warembo ana ndinga kali anapesa balaa
Mkush ni wewe unakodiwa au?Achana na hadithi za kizungu za kufikirika! Hakunaga hiyo kitu, once ur gone ur just gone.
Kweli Mkuu? Au unanipiga na kitu kizito?Panaitwa Hadesi...
Aisee acha kabisa.Unachochewa na makaa ya mawe
Sipati picha shetani kashindwa ila yeye imekua kazi kabisa kuchezea tako dahhuyo moto wake ni wa kipekee.
ilikuwaje kaka? yapi yalikusibu?Pesa itafutwe kwa mjia yoyote,jana nilikuwa pale tiptop club nabado nilidharaulika kwa kijipesa changu cha lk3dadeq
Chekecha...we si wa town kabisa...!Kweli Mkuu? Au unanipiga na kitu kizito?
Weupe wa SP....zamani kidogo kuna dawa flani za malaria zilikua zinauzwa kwa wacongo vibaya mno kule kariakoo..nafkiri ni SP...zinaenda tengenezea Carolite