Watoto wa shule sekondari siku hizi hawapendi kuchomekea! Nani alaumiwe kati ya Wizara, Wazazi au Walimu?

Watoto wa shule sekondari siku hizi hawapendi kuchomekea! Nani alaumiwe kati ya Wizara, Wazazi au Walimu?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hili bomu la utovu wa nidham nani analilea?

Unaweza kufikiri wizara ya elimu imebadili utamaduni wa uvaaji!

Siku hizi watoto wa shule za sekondari hususani hizi za kutwa hawapendi kabisa kuchomekea sare za shule, katika 100 utakuta watano tu ndiyo wanaochomekea!

Hata ukitazama hizo suruali wanazovaa nyingi ni njiwa (yaani hazifuniki kiwiko) Mashati yao ya shule mengi ni madogo hayafiki kiunoni (Vitopu) Wengine hawana hata vibebeo (mabegi) wanabeba daftali kitozi mkononi Haya yote yanatia sana mashaka tunaandaa wasomi gani

Je, hii style ya uvaaji tunaandaa watumishi wenye sifa gani huko baadae?

Je, nani anastahili hizo lawama? Wizara, wazazi au walimu?

Au tusubiri watumishi wasio na nidhamu baadae ndipo tuwakanye!?
 
Hili bomu la utomvi wa nidham nani analilea?
Unaweza kufilili wizara ya elimu imebadili utamaduni wa uvaaji!

Siku hizi watoto wa shule za sekondari hususani hizi za kutwa hawapendi kabisa kuchomekea sare za shule, katika 100 utakuta watano tu ndiyo wanaochomekea!

Hata ukitazamahizo suruali wanazovaa nyingi ni njiwa (yaani hazifuniki kiwiko)

Mashati yao ya shule mengi ni madogo hayafiki kiunoni (Vitopu)
Wengine hawana hata vibebeo (mabegi) wanabeba daftali kitozi mkononi Haya yote yanatia sana mashaka tunaandaa wasomi gani

Je hii style ya uvaaji tunaandaa watumishi wenye sifa gani huko baadae?

Je; nani anastahili hizo lawama? Wizara, wazazi au walimu?

Au tusubili watumishi wasio na nidhamu baadae ndipo tuwakanye!?
Wanaandaliwa ili waje kujiajiri asa wachomekee ili iwaje?
 
Hili bomu la utovu wa nidham nani analilea?
Unaweza kufilili wizara ya elimu imebadili utamaduni wa uvaaji!

Siku hizi watoto wa shule za sekondari hususani hizi za kutwa hawapendi kabisa kuchomekea sare za shule, katika 100 utakuta watano tu ndiyo wanaochomekea!

Hata ukitazamahizo suruali wanazovaa nyingi ni njiwa (yaani hazifuniki kiwiko)

Mashati yao ya shule mengi ni madogo hayafiki kiunoni (Vitopu)
Wengine hawana hata vibebeo (mabegi) wanabeba daftali kitozi mkononi Haya yote yanatia sana mashaka tunaandaa wasomi gani

Je hii style ya uvaaji tunaandaa watumishi wenye sifa gani huko baadae?

Je; nani anastahili hizo lawama? Wizara, wazazi au walimu?

Au tusubili watumishi wasio na nidhamu baadae ndipo tuwakanye!?
Sifa sijui

ila kwenye nani alaumiwe ni mzigo wa wazazi wenyewe
 
Kwa ujumla nidham ya wanafunz wengi imeshuka especially shule za kata, siasa zimetawala sana unakuta mtoto anafanya makosa wakuu wa shule wanogopa kutoa adhabu kwa sababu za kisiasa kuwa wataonekani hawajali, coz suala hilo ataingiloa diwan, M/Kiti wa chama, mtendaji wa kata/mtaa/kijiji, so siasa zimezidi sana,

Lakin pia mzazi haoni umuhimu wa kumfatilia mwanane coz elimu ni bure lakini kungekuepo na ada angefatilia koz anasikia uchungu kwa ada yake, sasa halip ada anafatilia nini, mwisho wa siku nidhamu inaporomoka na ufaulu unashuka
 
Kwa ujumla nidham ya wanafunz wengi imeshuka especially shule za kata, siasa zimetawala sana unakuta mtoto anafanya makosa wakuu wa shule wanogopa kutoa adhabu kwa sababu za kisiasa kuwa wataonekani hawajali, coz suala hilo ataingiloa diwan, M/Kiti wa chama, mtendaji wa kata/mtaa/kijiji, so siasa zimezidi sana,

Lakin pia mzazi haoni umuhimu wa kumfatilia mwanane coz elimu ni bure lakini kungekuepo na ada angefatilia koz anasikia uchungu kwa ada yake, sasa halip ada anafatilia nini, mwisho wa siku nidhamu inaporomoka na ufaulu unashuka
Mnawaonea walimu tu. Kwani anayewashonea uniform wanafunzi ni walimu? Wanafunzi wanapotoka nyumbani kwenda shuleni wazazi hawawaoni?

Kazi ya mwalimu ni kufundisha taaluma, malezi ni jukumu la wazazi

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...
 
Naomba Walimu mtuache kama tulivyo.Tumechoka sasa!

Mamlaka zilipotupiga 'dash' kwenye mishahara na stahiki nyingine,kwa miaka mingi,si raia walifurahi?

Kwenye mitandao wakati wa sensa tulifanyiwa kila aina ya kejeli,mkafikia hatua ya kusema bora kuwa Mwendesha bodaboda kuliko kuwa Mwalimu.
 
Nashangaa sana.kama mdau wa elimu nasikitika.Tena nawaona hawa wa hizi shule za kata.sijajua hivi huwa walimu wa nidham siku hiz hakuna au? Kwanza wanashona vinjiwa na vichupa anavaa vimoka hana soks.yaan elimu na nidhamu ni mate na ulimi.usipokuw na nidham jua tu utaishia kusindikiza wenzio.
 
Back
Top Bottom